Tatizo la Kizunguzungu: Fahamu chanzo, dalili na tiba yake

Mzizimkavu, Nina wifi yangu ana tatizo la kizunguzungu kikali sana lakini sababu ulizozitaja hana hata moja isipokuwa ni mnene sana. Je hii inaweza kuwa sababu?
 
Mzizimkavu, Nina wifi yangu ana tatizo la kizunguzungu kikali sana lakini sababu ulizozitaja hana hata moja isipokuwa ni mnene sana. Je hii inaweza kuwa sababu?
Inawezekana kizunguzungu chake kinasababishwa na huo unene na mtu akiwa mnene hakosi kuwa na Maradhi ya Presha, na hiyo presha ndio inachangia mtu kupata ugonjwa wa kizunguzungu na unene kiafya sio mzuri. Jaribu kumuuliza wifi yako je anayo maradhiya presha? kisha uje hapa utupe mrejesho wako Mkempia
 
Sorry Mzizimkavu nimechelewa kujibu
Wifi yangu hana asili ya presha, ispokuwa kipindi cha ujazito huwa anapata shiada ya mapigo ya moyo kubadilika. Nimemshauri aanze mazoezi lakini naona inakuwa shida kufanya kwasababu ana apetite ya kula kwa kiwango cha juu sana.
 
Naomba kujua ,nikiwa nimekaa naposimama najiskia kizunguzungu,tatizo ni nini. Na nifanye nn kukabiliana na tatizo hili,,(tiba)
 
Kizunguzungu (dizziness) kinasababishwa na vitu vingi kama vile shinikizo la juu damu (hypertension) upungufu wa damu (Anemia) au damu kuwa juu sana. Kabla ya matibabu ni vema ukaenda Hospital kupima hivo vipimo ujue nini chanzo cha tatizo lako. Na bila kusahau kupima sukari.

Pole sana ndugu
 
Kizunguzungu (dizziness) kinasababishwa na vitu vingi kama vile shinikizo la juu damu (hypertension) upungufu wa damu (Anemia) au damu kuwa juu sana. Kabla ya matibabu ni vema ukaenda Hospital kupima hivo vipimo ujue nini chanzo cha tatizo lako. Na bila kusahau kupima sukari.

Pole sana ndugu
Asante mkuu
 
Nikikaa au nikichumaa kwa muda mrefu nikisimama napata kizunguzungu

Hali ambayo hunipelekea nishindwe kufanya chochote mpaka zikipita dakika moja au mbili ndipo akili hujirudi

Hii ni dalili ya ugonjwa gani maana hali hii ilikuwa ikinitokea mara moja moja ila kwa siku za karibuni imekuwa mfululizo.

Wasalaam.
 
Niki kaa au nikichumaa kwa mda mrefu nikisimama napata kizunguzungu

Hali ambayo hunipelekea nishindwe kufanya chochote mpaka zikipita dakika moja au mbili ndipo akili hujirudi

Hii ni dalili ya ugonjwa gani maana hali hii ilikuwa ikinitokea mara moja moja ila kwa siku za karibuni imekua mfululizo.

Wasalaam.
Ke/Me
 
Pima damu kwanza , kwa kuongeza damu kula red meat na maini, mchicha uliowekwa nyanya nyingi, ukimaliza kula tu kula machingwa si nanasi. Kumbuka kunywa lita mbili za maji kwa siku.
Nashuku mkuu ntayafanyia kaz
 
Back
Top Bottom