sawa mkuu asante naku dm sasa hivi
Naomba uni DM tuone tunasaidianaje
Naomba uni DM tuone tunasaidianaje
Mkuu fuata ushauri huu.
Na mimi mwenyewe nina tatizo kama lako ulivyojielezea.
Nikaenda kwa nesi mmoja ni jirani yangu akaniangalia wingi wa damu akaona iko sawa...
baada ya tatzo niliumwa kama mara mbili malaria nilikua na wa kg 60Nilikua na tatizo hili ... kuna dokta Mashamba wa Kairuki kitengo cha ENT allinisaidia sana.
Mkuu UZITO na AGE yako avimatch kabsa.