Salumsas
Member
- Jun 19, 2020
- 39
- 61
Salute Wakuu
Utangulizi
Wengi mmesikia kuhusu ugonjwa wa Kisukari wengine wakilalamika kuwa na huu ugonjwa hatari au wamekatazwa (hospitali) kutumia baadhi ya vyakula ili kuepuka madhara zaidi ya huu ugonjwa. Trust me I guarantee this is the perfect thread tutaelewa kila kitu hapa na hakuna ataebaki mtupu. Pia hongera sn kwa kuwa tayari kujifunza kuhusu Afya Yako you're one in a million.
Tuendeleee
Miaka kadhaa iliyopita nilimpoteza Marehemu Bibi yangu mpenzi "Mungu amrehemu Amin" Kutokana. na chanzo cha huu ugonjwa wa kiSukari, mm kama kijana na mjukuu wake mpendwa iliniuma sana sana na ilinichukuwa muda mrefu kusahau maumivu yale kutokana na upendo wangu kwake nilijiaahidi One day when I'm growing up I'm gonna be a Doctor specialist for Diabetics Mellitus yaani mtaamlamu wa magonjwa haya ya Kisukari na Matatizo ya Moyo,, Alhamdullihah I'm about to made it. I'm in University of Zambia faculty of healthy. Never the rest.
Ugonjwa wa Kisukari ni nini haswa?
ugonjwa wa Kisukari ni tatizo sugu linalitokana na Matatizo yakiyopo kwenye mfumo wa utoaji vichocheo. Hata hivyo tatizo hili limetokana kuwa kubwa na kuongezeka kutokana na sababu lukuki ambazo watu hushindwa kuziepuka.
Kama ilivyo jina lake Kisukari hutokana na kuongezeka sukari kwenye damu huitwa Glucose na ndio chanzo cha nishati kwenye mwili.
Insulin ndio hufanya glucose iingie kwenye seli na iweze kuunguzwa ili kupata nishati ambayo hutumika kwenye matumizi ya mwili.
Kiufupi Ugonjwa wa kisukari ni ugonjwa ambao hutokea wakati sukari yako ya damu iko juu sana. Insulini, homoni inayotengenezwa na kongosho, husaidia sukari kutoka kwa chakula kuingia kwenye seli zako kutumiwa kwa nguvu.
Twende taratibu sasa..
Ni muhimu sana kuzingatia ulaji wetu wa misosi kama vyakula vya wanga, keki, vileja, biscuit nk ambavyo huchukua kiwango kikubwa Cha sukari Pia vinywaji kama Soda, Juice , Pombe ambayo wafanya biashara huweka kiwango kikubwa sana cha sukari kwenye bidhaa zao. Wafanyabiashara wanachoangalia wao ni Pesa tu na sio Afya Yako Kuna kanuni moja kibiashara inasema kama unataka kutajirika usitatue Matatizo ya asili (natural challenge) tatua Matatizo ya watu ya kujitakia why? Becoz Matatizo haya ni scalable since ujinga ni universal. Uzia watu cheap dopamine kama Sigara, Pombe wajinga wengi watuvuta tu. Angalia mfano kama Coca Cola Ile chupa ya Mil 500 kiwango Cha sukari inawekwa mule ni kama gram350 ambayo ni Sawa na vijiko 8 mpk 12 vya sukari. Can you imagine that jaribu kuimwaga soda kwenye taiz au floor acha ikauke then utaiyona inavyogandiana na sukari hutoitamani tena kuinywa.
sisemi kwamba usinywe soda Lahasha! ila kunywa kwa kurefresh mind tu atleat ones a week or twice. Ukitamani sana jaribu kunywa maji hamu yote itaondoka hio itakua afadhali ×100.
Viko vyanzo mbalimbali, navyo ni
1. Shinikizo la juu la damu (B.P)
2. Viwango vya juu vya triglyceride (Mafuta)
3. Lishe yenye Mafuta mengi na Wanga
4. Utumiaji mkubwa wa Pombe
5. Ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi
6. Mtindo wa maisha usiofaa kiafya
7. Uzito na unene uliozidi
8. Kuto ushughulisha mwili
9. Umri
Sasa twenda kwenye Dalili nazo ni
1. Kunywa maji mengi kuliko kawaida na kusikia kiu kila wakati.
2. Kwenda haja ndogo mara kwa mara. Watoto kukojoa kitandani.
3.Kuwa dhaifu, kukosa nguvu na 4.kujisikia mchovu kila wakati.
5. Kupungua uzito au kukonda.
6. Kusikia njaa kila wakati na kula sana.
7. Wanawake kuwashwa ukeni.
8. Kutoona vizuri.
9. Kupungua nguvu za kiume au hamu ya kujamiiana kwa wanawake.
10. Ganzi, kuchomwachomwa au kutohisi unapoguswa sehemu za miguu, viganja na vidole
11. Miguu kuoza na hata kupata gangrini.
12. Kukaukwa na ngozi.
13. Vidonda au majeraha sehemu yoyote ya mwili.
Majipu mwilini.
14. Kuhara kila wakati.
MADHARA YA UGONJWA WA KISUKARI.
Endapo ugonjwa wa kisukari utapuuzwa au kutotibiwa inavyostahili yako madhara mengi yanaweza kujitokeza, moja ya madhara hayo ni pamoja na;
1. Magonjwa ya moyo.
2. Kiharusi.
3.kupungua kwa nguvu za kiume(uume kutokusimama).
4. Figo kushindwa kufanya kazi
5.Kupata upofu.
Epuka ugonjwa huu kwa kupunguza unene uliozidi, fuata taratibu za kitabibu katika kula na kunywa, epuka matumizi ya pombe, punguza msongo wa mawazo na uvutaji wa sigara.
Kunywa maji ya kutosha, fanya mazoezi na kula kiasi kingi cha mboga mboga na matunda, utaratibu huu utakusaidia kuimarisha afya yako na kupunguza hatari ya uongezekaji wa kiwango kingi cha sukari mwilini.
MWISHO
Kwakumaliza ili tusiharibu thread yetu na kwa kuzingatia vigezo na masharti ya Stories of Change JF tumalizie na
Ugonjwa wa Kaisukari unatibika kwa hali tofauti, pia kufuatana na mda wa tatizo, mara nyingi wagonjwa wamekuwa wakikata tamaa na kuwa wabishi, Ukiona Dalili zoote ambazo huielewi elewi haraka kamuone Daktari wala usione ubahili au usumbufu.
Hatahivyo Waswahili wanasema Bora nusu Shari kuliko Shari Kamili maana yake ni Bora kujua Afya Yako Mapema KABLA ya maji hahaha korogeka ni vyema tukapunguza utumiaji wa Sukari kwaajili ya Afya zetu. You're CEO of your own life. Hakuna mtu atakae kuthamini ww kama ww mwenyewe hujithamini Jipende , Jilinde na ijali Afya Yako.
JamiiForum has been a family since Day One kama una Swali au Maoni kuhusiana na Mada yetu usisite Kutuambia ili kwa Pamoja tujifunze, Tuelemike na Tubadilishane mitazamo.
Pia Guy musisahau kunipigia Kura ili tusonge MBELE.
VOTE plz 🙏.
Utangulizi
Wengi mmesikia kuhusu ugonjwa wa Kisukari wengine wakilalamika kuwa na huu ugonjwa hatari au wamekatazwa (hospitali) kutumia baadhi ya vyakula ili kuepuka madhara zaidi ya huu ugonjwa. Trust me I guarantee this is the perfect thread tutaelewa kila kitu hapa na hakuna ataebaki mtupu. Pia hongera sn kwa kuwa tayari kujifunza kuhusu Afya Yako you're one in a million.
Tuendeleee
Miaka kadhaa iliyopita nilimpoteza Marehemu Bibi yangu mpenzi "Mungu amrehemu Amin" Kutokana. na chanzo cha huu ugonjwa wa kiSukari, mm kama kijana na mjukuu wake mpendwa iliniuma sana sana na ilinichukuwa muda mrefu kusahau maumivu yale kutokana na upendo wangu kwake nilijiaahidi One day when I'm growing up I'm gonna be a Doctor specialist for Diabetics Mellitus yaani mtaamlamu wa magonjwa haya ya Kisukari na Matatizo ya Moyo,, Alhamdullihah I'm about to made it. I'm in University of Zambia faculty of healthy. Never the rest.
Ugonjwa wa Kisukari ni nini haswa?
ugonjwa wa Kisukari ni tatizo sugu linalitokana na Matatizo yakiyopo kwenye mfumo wa utoaji vichocheo. Hata hivyo tatizo hili limetokana kuwa kubwa na kuongezeka kutokana na sababu lukuki ambazo watu hushindwa kuziepuka.
Kama ilivyo jina lake Kisukari hutokana na kuongezeka sukari kwenye damu huitwa Glucose na ndio chanzo cha nishati kwenye mwili.
Insulin ndio hufanya glucose iingie kwenye seli na iweze kuunguzwa ili kupata nishati ambayo hutumika kwenye matumizi ya mwili.
Kiufupi Ugonjwa wa kisukari ni ugonjwa ambao hutokea wakati sukari yako ya damu iko juu sana. Insulini, homoni inayotengenezwa na kongosho, husaidia sukari kutoka kwa chakula kuingia kwenye seli zako kutumiwa kwa nguvu.
Twende taratibu sasa..
Ni muhimu sana kuzingatia ulaji wetu wa misosi kama vyakula vya wanga, keki, vileja, biscuit nk ambavyo huchukua kiwango kikubwa Cha sukari Pia vinywaji kama Soda, Juice , Pombe ambayo wafanya biashara huweka kiwango kikubwa sana cha sukari kwenye bidhaa zao. Wafanyabiashara wanachoangalia wao ni Pesa tu na sio Afya Yako Kuna kanuni moja kibiashara inasema kama unataka kutajirika usitatue Matatizo ya asili (natural challenge) tatua Matatizo ya watu ya kujitakia why? Becoz Matatizo haya ni scalable since ujinga ni universal. Uzia watu cheap dopamine kama Sigara, Pombe wajinga wengi watuvuta tu. Angalia mfano kama Coca Cola Ile chupa ya Mil 500 kiwango Cha sukari inawekwa mule ni kama gram350 ambayo ni Sawa na vijiko 8 mpk 12 vya sukari. Can you imagine that jaribu kuimwaga soda kwenye taiz au floor acha ikauke then utaiyona inavyogandiana na sukari hutoitamani tena kuinywa.
sisemi kwamba usinywe soda Lahasha! ila kunywa kwa kurefresh mind tu atleat ones a week or twice. Ukitamani sana jaribu kunywa maji hamu yote itaondoka hio itakua afadhali ×100.
Viko vyanzo mbalimbali, navyo ni
1. Shinikizo la juu la damu (B.P)
2. Viwango vya juu vya triglyceride (Mafuta)
3. Lishe yenye Mafuta mengi na Wanga
4. Utumiaji mkubwa wa Pombe
5. Ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi
6. Mtindo wa maisha usiofaa kiafya
7. Uzito na unene uliozidi
8. Kuto ushughulisha mwili
9. Umri
Sasa twenda kwenye Dalili nazo ni
1. Kunywa maji mengi kuliko kawaida na kusikia kiu kila wakati.
2. Kwenda haja ndogo mara kwa mara. Watoto kukojoa kitandani.
3.Kuwa dhaifu, kukosa nguvu na 4.kujisikia mchovu kila wakati.
5. Kupungua uzito au kukonda.
6. Kusikia njaa kila wakati na kula sana.
7. Wanawake kuwashwa ukeni.
8. Kutoona vizuri.
9. Kupungua nguvu za kiume au hamu ya kujamiiana kwa wanawake.
10. Ganzi, kuchomwachomwa au kutohisi unapoguswa sehemu za miguu, viganja na vidole
11. Miguu kuoza na hata kupata gangrini.
12. Kukaukwa na ngozi.
13. Vidonda au majeraha sehemu yoyote ya mwili.
Majipu mwilini.
14. Kuhara kila wakati.
MADHARA YA UGONJWA WA KISUKARI.
Endapo ugonjwa wa kisukari utapuuzwa au kutotibiwa inavyostahili yako madhara mengi yanaweza kujitokeza, moja ya madhara hayo ni pamoja na;
1. Magonjwa ya moyo.
2. Kiharusi.
3.kupungua kwa nguvu za kiume(uume kutokusimama).
4. Figo kushindwa kufanya kazi
5.Kupata upofu.
Epuka ugonjwa huu kwa kupunguza unene uliozidi, fuata taratibu za kitabibu katika kula na kunywa, epuka matumizi ya pombe, punguza msongo wa mawazo na uvutaji wa sigara.
Kunywa maji ya kutosha, fanya mazoezi na kula kiasi kingi cha mboga mboga na matunda, utaratibu huu utakusaidia kuimarisha afya yako na kupunguza hatari ya uongezekaji wa kiwango kingi cha sukari mwilini.
MWISHO
Kwakumaliza ili tusiharibu thread yetu na kwa kuzingatia vigezo na masharti ya Stories of Change JF tumalizie na
Ugonjwa wa Kaisukari unatibika kwa hali tofauti, pia kufuatana na mda wa tatizo, mara nyingi wagonjwa wamekuwa wakikata tamaa na kuwa wabishi, Ukiona Dalili zoote ambazo huielewi elewi haraka kamuone Daktari wala usione ubahili au usumbufu.
Hatahivyo Waswahili wanasema Bora nusu Shari kuliko Shari Kamili maana yake ni Bora kujua Afya Yako Mapema KABLA ya maji hahaha korogeka ni vyema tukapunguza utumiaji wa Sukari kwaajili ya Afya zetu. You're CEO of your own life. Hakuna mtu atakae kuthamini ww kama ww mwenyewe hujithamini Jipende , Jilinde na ijali Afya Yako.
JamiiForum has been a family since Day One kama una Swali au Maoni kuhusiana na Mada yetu usisite Kutuambia ili kwa Pamoja tujifunze, Tuelemike na Tubadilishane mitazamo.
Pia Guy musisahau kunipigia Kura ili tusonge MBELE.
VOTE plz 🙏.