theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,750
- 15,636
mkuu mambo ya afya yana umuhimu wake .... karibu leo nadhani nitashusha nondo kuhusiana na U.T.I naona pia ni tatizo linaloisumbua jamii kwa sanaSawa comrade
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu mambo ya afya yana umuhimu wake .... karibu leo nadhani nitashusha nondo kuhusiana na U.T.I naona pia ni tatizo linaloisumbua jamii kwa sanaSawa comrade
Mkuu hiyo dawa inaitwa benzyl penicillin au kwa jina lingine ni penicillin-G ni kiboko wa gram negative bacterial wote include hao wa gonorrhoea..... but angekuchoma oxytetracycline ndio ungejuta kuzaliwa mkuu ungehisi huo mwili si wako mkuu all in all kumbuka kufanya ngono salama...
Lazma uende hosptal ufanyiwe vipimo kama urinalysis then culture baada ya hapo iki julikana ni hao gram negative gonoccocal . Una anza treatment una anza na start inj: powerceff 1g. Then cipro mg 500 bd 10/7 + doxy 100mg b/d 7/7.ukifata nlicho kwambia utakuwa salama.Wakubwa habari za kazi natumai mu wazima.Naombe msaada wenu kwa wanaoijua dawa ya kutibu ugonjwa huu.
Sh ngapi dozi mkuudawa zipo pia hazina gharama ila sindano zinachomwa kwenye mshipa mkuu, uyo jamaa hafai angekwambia kama alikua na maambukiz
Muulize mpenzi wako dawa anayotumiaMpenzi wangu alikua anaumwa gono katibiwa bila kuniambia mimi sijui hili wala lile nikasex nae.
Jana nikaanza kuisi maumivu wakati wa kukojoa nilipo mwambia akaniambia ni gono daa nimechanganyikiwa.
Please ni dawa ipi naweza tumia nikapona kwasababu amesex na mimi kabla ya kumaliza dozi na mbaya zaidi sikujua kwasababu alikua mbali.
Msaada wenu jamani
Muombe vyeti vyake usome dawa aliyoandikiwaNimemuuliza kaniambia kua yy alichelewa hivyo aliandikiwa sindani tano na dawa ameisahau jina. hivyo kanishauri niwahi hospital