Ugonjwa wa kiharusi/ kupooza (stroke): Kinga, tiba na jinsi ya kukabiliana na maradhi haya

Asante; je chance ya kupona kwa watu waliopata stroke ikoje. Kupona nikiwa na maana ya kutokufa, hata kama atakuwa mlemavu?
ipo chance ya kupona ikiwa kama atawahi kutumia dawa za tiba mbadala.

Asilimia 75 ya wagonjwa wa kiharusi wanaonusurika kifo huwa walemavu na kusababisha kuathirika kwa ufanyaji kazi wao na kuajiriwa. Ulemavu unaweza kuwa wa kimwili au kiakili au vyote kwa pamoja.

Ulemavu wa kimwili ni pamoja na

Ulegevu wa misuli
Kujihisi ganzi sehemu mbalimbali za mwili hususani zilizoathirika
Kujikojolea
Kutoona vizuri
Kushindwa kuendelea na shughuli za kila siku
Vichomi
Vidonda shinikizo
Kukosa hamu ya chakula.
Ulemavu wa akili hujumuisha vitu kama
Mgonjwa kuwa na wasiwasi
Hofu ya mashambulizi, na
Unyongovu nyumba kubwa
 
Last edited by a moderator:
binafsi nashukuru sana naleo nirudie for the second time kukushukuru MziziMkavu u played your role on ma moms treatment and now she walks and talk as normal. Hakuna tena kutetemeka wala kushindwa kutumia sehem za mwili wake and hata uso umerudi to its normal position.

Mkuu ktika watu ambao huwa najiskia kuwaombea kwa Mungu ni wewe you said it nikajaribu now mma ni mzima kabisa. Umeshiri katika kuisimamia furaha yangu duniani MziziMkavu.

nawashauri wana jf doctors wawe wanatilia maanani ushauri wanaopewa na madatari hapa huwa unasadia sana.
 
Last edited by a moderator:
binafsi nashukuru sana naleo nirudie for the second time kukushukuru MziziMkavu u played your role on ma moms treatment and now she walks and talk as normal. Hakuna tena kutetemeka wala kushindwa kutumia sehem za mwili wake and hata uso umerudi to its normal position.

Mkuu ktika watu ambao huwa najiskia kuwaombea kwa Mungu ni wewe you said it nikajaribu now mma ni mzima kabisa. Umeshiri katika kuisimamia furaha yangu duniani MziziMkavu.

nawashauri wana jf doctors wawe wanatilia maanani ushauri wanaopewa na madatari hapa huwa unasadia sana.
Asante na wewe Mama yetu Mwenyeezi Mungu atampa afaya njema inshallah. gfsonwin
 
Last edited by a moderator:
Unajua nimekuwa interested na hii thread kwa kuwa my dady amepatwa na stroke recently ya upande mmoja, yeye ni aged kiasi 73 years na naweza sema ni over weight. Yani nimetoka ku google kuhusu stroke tu naingia JF doctor nakuta huu uzi.

Napenda baba yangu apone hata kama atakuwa na ulemavu that's why nimeuliza chance ya kupona. Yeye aligunduliwa kuwa ana pressure hata mwaka haujaisha amepata stroke. Mimi niko mbali lakini najua yuko na madaktari bingwa ingawa these days naamini kuwa tunapaswa kutafuta additional medical information whenever possible, hasa katika ulimwengu wa sasa wa IT.

Nashukuru sana kwa kunipa moyo kuwa anaweza kuishi au hata kupona.
 
mkuu mzizi big up sana. pale umesema ni vizuri kuwa makini kutoa dawa za kuyeyusha damu ni kweli kabisa kama vile asprin au clopidogrel sababu utaifanya damu kuwa nyepesi zaidi na hivyo kuvuja kirahisi kwenye ubongo.
 
ZABIBU NA MACHUNGWA KINGA DHIDI YA MARADHI YA KIHARUSI

Utafiti mpya uliofanyika nchini Marekani umesema ya kwamba kula machungwa na zabibu kunaweza kupunguza uwezekano wa kupata kiharusi (Stroke).

Utafiti huo uliangalia faida za matunda chachu(Citrus Fruit) pekee kwa mara ya kwanza tofauti na tafiti nyingi ambazo tumezizoea zinazoangalia umuhimu wa matunda na mboga za majani kwa afya kiujumla.

Utafiti huu umehusisha maelfu ya wanawake wanaoshiriki katika tafiti ya manesi Nurses Health Study lakini wataalamu wanaamini faida hizo za machungwa na zabibu pia zinapatikana kwa wanaume.

Timu ya watafiti katika chuo cha Norwich Medical School katika Chuo Kikuu cha East Anglia wamechunguza umuhimu wa kemikali aina ya flavonoidsambayo ni jamii ya antioxidant (kemikali zinauwa kemikali hatari za kwenye mwili) inayopatikana katika matunda, mboga za majani, chocolate nyeusi na wine nyekundu.

Utafiti huu ulifuatilia takwimu za miaka 14 za wanawake 69,222 ambao walikuwa wakishirki katika tafiti kwa kuandika kiwango chao cha kula matunda na mboga za majani kwa kila kipindi cha miaka 4. Timu hiyo ya utafiti iliangalia uhusiano wa aina sita ya flavonoids - flavanones,

anthocyanins, flavan-3-ols, flavonoid polymers, flavonols na flavones na hatari ya aina mbalimbali za kiharusi kama Ischaemic, Hemorrhagic na Total Stroke. Ilionekna wanawake waliokula kiwango kikubwa cha flavanones kwenye matunda chachu walikuwa na

asilimia 19 ya uwezekano wa kupunguza kiharusi kulinganisha na wanawake ambao walikula kiwango kidogo cha matunda hayo.
Kiwango kikubwa cha flavanones kilikuwa 45mg kwa siku kulinganisha na kiwango kidogo cha 25mg kwa siku. Utafiti huu ulichapishwa

katika jarida la Medical Journal Stroke umesema flavanones hupatikana kwa asilimia 82 kwenye machungwa na juisi ya machungwa na hupatikana kwa asilimia 14 kwenye zabibu na juisi ya zabibu. Hata hivyo watafiti hao wamesema kwa wale wenye kusudio la kuongeza

kiwango kikubwa cha flavanones itawalazimu kula tunda la chungwa kwa wingi na si juisi za machungwa zinazotengenezwa kiwandani kutokana na kiwango kikubwa cha sukari kinachopatikana katika juisi hizo za viwandani.

Professa Aedin Cassidy wa masuala ya lishe bora (nutrition) na ambaye alikuwa kiongozi wa utafiti huo amesema kula kwa wingi kwa matunda, mboga za majani, na hasa Vitamin C uhusishwa na kupunguza uwezekano wa kupata kiharusi. Flavanones hutoa kinga dhidhi ya

kiharusi kutokana na kuongeza ufanisi wa mishipa ya damu kwenye ubongo na kutokana na kuwa na uwezo wa kuzuia maambukizi mwilini (Anti-inflammatory effect).

Utafiti uliofanyika hapo awali ulionyesha ya kwamba ulaji wa matunda chachu na juisi yake na si matunda ya aina nyingine yoyote hupunguza uwezekano wa kupata kiharusi aina ya Ischaemic Stroke na kuvuja damu kwenye ubongo (Intracerebral Haemorrhage).


Utafiti mwingine uliofanyika kipindi cha nyuma ulionyesha hakuna uhusiano wowote wa matunda ya njano na machungwa katika kupunguza uwezekano wa kupata kiharusi lakini ulionyesha ya kwamba kuna uhusiano wa zabibu na mapeasi wa kupunguza uwezekano wa kupata kiharusi.

Katika utafiti mwingine uliofanyika nchini Sweden umeonyesha ya kwamba wanawake ambao walikula kiwango kikubwa chaantioxidant karibia asilimia 50 kutoka kwenye matunda na mboga za majani, ni wachache tu kati yao waliopata kiharusi ikilinganishwa na wanawake ambao walikuwa na kiwango kidogo cha antioxidant.

Matokeo ya utafiti huu yasiwafanye watu kuacha kula matunda ya aina nyingine pamoja na mboga za majani kwani nayo yana faida kubwa katika mwili wa binadamu.

Kupunguza uwezekano wa kupata kiharusi inawezekana kama mtu atakula lishe bora iliyo na virutubisho vyote muhimu, kula matunda na mboga za majani kwa wingi, kufanya mazoezi mara kwa mara, kupunguza kiwango cha ulaji chumvi (kwani watu wenye asili ya Kiafrika wana

kiashiria cha asili kinachojulikana kama salt retention gene ambacho hufanya kiwango kidogo cha matumizi ya chumvi mwilini kuonekana kama kiwango kikubwa na hivyo kuongeza hatari ya kupata kiharusi), kupunguza uzito (kuwa kwenye uzito unaotakikana kiafya kulingana na umri na urefu wako), kupunguza kiwango cha matumizi ya mafuta katika chakula, kulala masaa ya kutosha na kupunguza msongo wa mawazo. Tafiti za afya
 
MziziMkavu
nisaidie hili, nimekuwa kwa karibia miezi miwili sasa natumia juisi
ya mchanganyiko wa chungwa na limao badala ya chai asubuhi
nishauri je niendelee na hili zoezi au linaweza kuniletea tena shida huko mbele.
 
Machungwa, Zabibu Hupunguza Uwezekano wa Kupata Kiharusi?



Utafiti mpya uliofanyika nchini Marekani umesema ya kwamba kula machungwa na zabibu kunaweza kupunguza uwezekano wa kupata kiharusi (Stroke).

Utafiti huo uliangalia faida za matunda chachu (Citrus Fruit) pekee kwa mara ya kwanza tofauti na tafiti nyingi ambazo tumezizoea zinazoangalia umuhimu wa matunda na mboga za majani kwa afya kiujumla.
Utafiti huu umehusisha maelfu ya wanawake wanaoshiriki katika tafiti ya manesi Nurses Health Study lakini wataalamu wanaamini faida hizo za machungwa na zabibu pia zinapatikana kwa wanaume.

Timu ya watafiti katika chuo cha Norwich Medical School katika Chuo Kikuu cha East Anglia wamechunguza umuhimu wa kemikali aina ya flavonoidsambayo ni jamii ya antioxidant (kemikali zinauwa kemikali hatari za kwenye mwili) inayopatikana katika matunda, mboga za majani, chocolate nyeusi na wine nyekundu.

Utafiti huu ulifuatilia takwimu za miaka 14 za wanawake 69,222 ambao walikuwa wakishirki katika tafiti kwa kuandika kiwango chao cha kula matunda na mboga za majani kwa kila kipindi cha miaka 4. Timu hiyo ya utafiti iliangalia

uhusiano wa aina sita ya flavonoids - flavanones, anthocyanins, flavan-3-ols, flavonoid polymers, flavonols na flavones na hatari ya aina mbalimbali za kiharusi kama Ischaemic, Hemorrhagic na Total Stroke. Ilionekna wanawake waliokula kiwango kikubwa cha flavanones kwenye matunda chachu walikuwa na asilimia 19 ya uwezekano wa

kupunguza kiharusi kulinganisha na wanawake ambao walikula kiwango kidogo cha matunda hayo.
Kiwango kikubwa cha flavanones kilikuwa 45mg kwa siku kulinganisha na kiwango kidogo cha 25mg kwa siku. Utafiti huu ulichapishwa katika jarida laMedical Journal Stroke umesema flavanones hupatikana kwa asilimia 82 kwenye

machungwa na juisi ya machungwa na hupatikana kwa asilimia 14 kwenye zabibu na juisi ya zabibu. Hata hivyo watafiti hao wamesema kwa wale wenye kusudio la kuongeza kiwango kikubwa cha flavanones itawalazimu kula tunda la chungwa kwa wingi na si juisi za machungwa zinazotengenezwa kiwandani kutokana na kiwango kikubwa cha sukari kinachopatikana katika juisi hizo za viwandani.

Professa Aedin Cassidy wa masuala ya lishe bora (nutrition) na ambaye alikuwa kiongozi wa utafiti huo amesema kula kwa wingi kwa matunda, mboga za majani, na hasa Vitamin C uhusishwa na kupunguza uwezekano wa kupata kiharusi. Flavanones hutoa kinga dhidhi ya kiharusi kutokana na kuongeza ufanisi wa mishipa ya damu kwenye ubongo

na kutokana na kuwa na uwezo wa kuzuia maambukizi mwilini (Anti-inflammatory effect).
Utafiti uliofanyika hapo awali ulionyesha ya kwamba ulaji wa matunda chachu na juisi yake na si matunda ya aina nyingine yoyote hupunguza uwezekano wa kupata kiharusi aina ya Ischaemic Stroke na kuvuja damu kwenye ubongo(Intracerebral Haemorrhage).

Utafiti mwingine uliofanyika kipindi cha nyuma ulionyesha hakuna uhusiano wowote wa matunda ya njano na machungwa katika kupunguza uwezekano wa kupata kiharusi lakini ulionyesha ya kwamba kuna uhusiano wa zabibu na mapeasi wa kupunguza uwezekano wa kupata kiharusi.

Katika utafiti mwingine uliofanyika nchini Sweden umeonyesha ya kwamba wanawake ambao walikula kiwango kikubwa cha antioxidant karibia asilimia 50 kutoka kwenye matunda na mboga za majani, ni wachache tu kati yao waliopata kiharusi ikilinganishwa na wanawake ambao walikuwa na kiwango kidogo cha antioxidant.

Matokeo ya utafiti huu yasiwafanye watu kuacha kula matunda ya aina nyingine pamoja na mboga za majani kwani nayo yana faida kubwa katika mwili wa binadamu.

Kupunguza uwezekano wa kupata kiharusi inawezekana kama mtu atakula lishe bora iliyo na virutubisho vyote muhimu, kula matunda na mboga za majani kwa wingi, kufanya mazoezi mara kwa mara, kupunguza kiwango cha ulaji chumvi (kwani watu wenye asili ya Kiafrika wana kiashiria cha asili kinachojulikana kama salt retention gene ambacho hufanya

kiwango kidogo cha matumizi ya chumvi mwilini kuonekana kama kiwango kikubwa na hivyo kuongeza hatari ya kupata kiharusi), kupunguza uzito (kuwa kwenye uzito unaotakikana kiafya kulingana na umri na urefu wako), kupunguza kiwango cha matumizi ya mafuta katika chakula, kulala masaa ya kutosha na kupunguza msongo wa mawazo.BUGANDO HEALTH MOVEMENT: Machungwa, Zabibu Hupunguza Uwezekano wa Kupata Kiharusi?
 
Asante sana na wewe pia akuzidishie Mungu kila la kheri sisi Mwenyeezi Mungu alituumba tuwe tunawasaidia watu wengine kimawazo,kidawa, kifikiria na kila kitu bila kuhitaji kitu chochote zaidi ya dua zenu tu. Ingawa sisi wengine hatujakwenda chuo kikuu

lakini mwenyeezi Mungu ametupa talent Vipaji vya kuwasaidia watu Tangu mwaka 1980 nilikuwa naweza kuwasaidia wengi tu na pia nina kipaji cha kuweza kumsoma mtu uso wake yaani psikoloji, saikoloji na kumjuwa huyu mtu ana matatizo gani na njia gani aweze kuifanya ili matatizo yake yamuondokee nina mambo mengi tu lakini machache ni hayo asante sana Mkuu ubarikiwe.

Mkuu shuke bila hekima ya Mungu ni bure ninachoamini ni ufahamu wa Mwenyezi Mungu ni bora sana kuliko hata kusoma shule na kumaliza shahada, Master na pengine Phd.
 
webmd_rm_illustration_of_stroke_causes_.jpg


What Is a Stroke?

Stroke is a medical emergency and a leading cause of death in the U.S. It occurs when a blood vessel in the brain bursts or, more commonly, when a blockage develops. Without treatment, cells in the brain quickly begin to die. The result can be serious disability or death. If a loved one is having stroke symptoms, seek emergency medical attention without delay.


getty_rm_illustration_of_stroke.jpg


Stroke Symptoms

Signs of a stroke may include:

  • Sudden numbness or weakness of the body, especially on one side.
  • Sudden vision changes in one or both eyes, or difficulty swallowing.
  • Sudden, severe headache with unknown cause.
  • Sudden problems with dizziness, walking
getty_rf_photo_of_man_taking_stroke_test.jpg

Stroke Test: Talk, Wave, Smile

The F.A.S.T. test helps spot symptoms. It stands for:
Face. Ask for a smile. Does one side droop?
Arms. When raised, does one side drift down?
Speech. Can the person repeat a simple sentence? Does he or she have trouble or slur words?
Time. Time is critical. Call 911 immediately if any symptoms are present.

phototake_rm_photo_of_brain_damage_from_stroke.jpg

Stroke: Time = Brain Damage

Every second counts when seeking treatment for a stroke. When deprived of oxygen, brain cells begin dying within minutes. There are clot-busting drugs that can curb brain damage, but they have to be used within three hours of the initial stroke symptoms. Once brain tissue has died, the body parts controlled by that area won't work properly. This is why stroke is a top cause of long-term disability.

 
princ_rm_photo_of_doctor_examining_mri_for_stroke_damage.jpg

Diagnosing a Stroke

When someone with stroke symptoms arrives in the ER, the first step is to determine which type of stroke is occurring. There are two main types, and they are not treated the same way. A CT scan can help doctors determine whether the symptoms are coming from a blocked blood vessel or a bleeding one. Additional tests may also be used to find the location of a blood clot or bleeding within the brain


princ_rm_photo_of_ct_scan_showing_ischemic_stroke.jpg

Ischemic Stroke

The most common type of stroke is known as an ischemic stroke. Nearly nine out of 10 strokes fall into this category. The culprit is a blood clot that obstructs a blood vessel inside the brain. The clot may develop on the spot or travel through the blood from elsewhere in the body.

princ_rm_photo_of_mra_of_hemorrhagic_stroke.jpg

Hemorrhagic Stroke

Hemorrhagic strokes are less common but far more likely to be fatal. They occur when a weakened blood vessel in the brain bursts. The result is bleeding inside the brain that can be difficult to stop.

 
princ_rm_photo_of_mini_stroke_seen_on_ultrasound.jpg


'Mini-Stroke' (TIA)

A transient ischemic attack, often called a "mini-stroke," is more like a close call. Blood flow is temporarily impaired to part of the brain, causing symptoms similar to an actual stroke. When the blood flows again, the symptoms disappear. A TIA is a warning sign that a stroke may happen soon. It's critical to see your doctor if you think you've had a TIA. There are therapies to reduce the risk of stroke.

getty_rm_photo_of_blocked_cartoid_artery.jpg

What Causes a Stroke

A common cause of stroke is atherosclerosis -- hardening of the arteries. Plaque made of fat, cholesterol, calcium, and other substances builds up in the arteries, leaving less space for blood to flow. A blood clot may lodge in this narrow space and cause an ischemic stroke. Atherosclerosis also makes it easier for a clot to form. Hemorrhagic strokes often result from uncontrolled high blood pressure that causes a weakened artery to burst.

getty_rf_photo_of_blood_pressure_monitor.jpg

Risk Factors: Chronic Conditions

Certain chronic conditions increase your risk of stroke. These include:

  • High blood pressure
  • High cholesterol
  • Diabetes
  • Obesity
Taking steps to control these conditions may reduce your risk.

 
getty_rf_photo_of_older_woman_smoking.jpg

Risk Factors: Behaviors

Certain behaviors also increase the risk of stroke:

  • Smoking
  • Getting too little exercise
  • Heavy use of alcohol

getty_rf_photo_of_salty_fish_and_chips.jpg

Risk Factors: Diet

A poor diet may increase the risk for stroke in a few significant ways. Eating too much fat and cholesterol can lead to arteries that are narrowed by plaque. Too much salt may contribute to high blood pressure. And too many calories can lead to obesity. A diet high in fruits, vegetables, whole grains, and fish may help lower stroke risk.

getty_rm_photo_of_person_with_high_stroke_risk.jpg


Risk Factors You Can't Control

Some stroke risk factors are beyond your control, such as getting older or having a family history of strokes. Gender plays a role, too, with men being more likely to have a stroke. However, more stroke deaths occur in women. Finally, race is an important risk factor. African-Americans, Native Americans, and Alaskan Natives are at greater risk compared to people of other ethnicities.
 
princ_rm_photo_of_angiogram_of-_stroke_patient_treated_with_tPA..jpg


Stroke: Emergency Treatment

For an ischemic stroke, emergency treatment focuses on medicine to restore blood flow. A clot-busting medication is highly effective at dissolving clots and minimizing long-term damage, but it must be given within three hours of the onset of symptoms. Hemorrhagic strokes are more difficult to manage. Treatment usually involves attempting to control high blood pressure, bleeding, and brain swelling.

getty_rf_photo_of_stroke_patient_with_walker_for_rehab.jpg

Stroke: Long-Term Damage

Whether a stroke causes long-term damage depends on its severity and how quickly treatment stabilizes the brain. The type of damage depends on where in the brain the stroke occurs. Common problems after a stroke include numbness in the arms or legs, difficulty walking, vision problems, trouble swallowing, and problems with speech and comprehension. These problems can be permanent, but many people regain most of their abilities.

phototake_rm_photo_of_stroke_speech_therapy_rehab.jpg

Stroke Rehab: Speech Therapy

Rehabilitation is the centerpiece of the stroke recovery process. It helps patients regain lost skills and learn to compensate for damage that can't be undone. The goal is to help restore as much independence as possible. For people who have trouble speaking, speech and language therapy is essential. A speech therapist can also help patients who have trouble swallowing.





 
getty_rm_photo_of_physical_therapy_for_stroke_vicitim.jpg

Stroke Rehab: Physical Therapy

Muscle weakness, as well as balance problems, are very common after a stroke. This can interfere with walking and other daily activities. Physical therapy is an effective way to regain strength, balance, and coordination. For fine motor skills, such as using a knife and fork, writing, and buttoning a shirt, occupational therapy can help.

getty_rm_photo_of_talking_about_stroke_experience.jpg

Stroke Rehab: Talk Therapy

It's common for stroke survivors and their loved ones to experience a wide range of intense emotions, such as fear, anger, worry, and grief. A psychologist or mental health counselor can provide strategies for coping with these emotions. A therapist can also watch for signs of depression, which frequently strikes people who are recovering from a stroke

getty_rf_photo_of_good_diet_for_stroke_prevention.jpg


Stroke Prevention: Lifestyle

People who have had a stroke or TIA can take steps to prevent a recurrence:

  • Quit smoking.
  • Exercise and maintain a healthy weight.
  • Limit alcohol and salt intake.
  • Eat a healthier diet with more veggies, fish, and whole grains.
getty_rm_photo_of_aspirin_to_help_lower_risk_of_stroke.jpg

Stroke Prevention: Medications

For people with a high risk of stroke, doctors often recommend medications to lower this risk. Anti-platelet medicines, including aspirin, keep platelets in the blood from sticking together and forming clots. Anti-clotting drugs, such as warfarin, may be needed to help ward off stroke in some patients. Finally, if you have high blood pressure, your doctor will prescribe medication to lower it.



 
phototake_rm_photo_of_surgery_to_prevent_stroke.jpg


Stroke Prevention: Surgery

In some cases, a stroke results from a narrowed carotid artery -- the blood vessels that travel up each side of the neck to bring blood to the brain. People who have had a mild stroke or TIA due to this problem may benefit from surgery known as carotid endarterectomy. This procedure removes plaque from the lining of the carotid arteries and can prevent additional strokes.


princ_rm_photo_of_balloon_and_stent_for_stroke_prevention.jpg


Stroke Prevention: Balloon and Stent

Doctors can also treat a clogged carotid artery without major surgery in some cases. The procedure, called angioplasty, involves temporarily inserting a catheter into the artery and inflating a tiny balloon to widen the area that is narrowed by plaque. A metal tube, called a stent, can be inserted and left in place to keep the artery open.


getty_rf_photo_of_stroke_victim_at_home.jpg



Life After a Stroke

More than half of people who have a stroke regain the ability to take care of themselves. Those who get clot-busting drugs soon enough may recover completely. And those who experience disability can often learn to function independently through therapy. While the risk of a second stroke is higher at first, this risk drops off over time.

 
Back
Top Bottom