peterbundalla
Member
- Dec 30, 2018
- 9
- 13
Kuna ugonjwa wa chemba moyo, ndugu yangu ameugua huo ugonjwa tiba yake ni ya asili.
Hivi huu ugonjwa wa chemba moyo na nchi za ulaya upo kwel?
Hivi huu ugonjwa wa chemba moyo na nchi za ulaya upo kwel?
Pole ndugu.Ndugu alifanikiwa kupata matibabu?Kuna ugonjwa wa chemba moyo, ndugu yangu ameugua huo ugonjwa tiba yake ni ya asili.
Hivi huu ugonjwa wa chemba moyo na nchi za ulaya upo kwel?