carcinoma
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 5,059
- 13,718
Mkuu hapo kuna possibilities mbili.
1. Mtoto hajifanyishi kuzimia bali ni kweli anakata moto.. hilo tatizo sio la kiroho ni la psychiatry...jina nimesahau lkn inatokea mtu ana hofu ya ndani kuhusu kitu flani kwahio mwili automatically unakata moto..
Unaweza kukuta mtu anaogopa mitihani ikifika siku ya pepa anaparalize upande mmoja. Sio kwamba anajifanyisha nop... huyo mtoto mpeleke kwa psychiatrist atarudi akiwa mpyaaaaa kabisa.
2.. possibility ya pili ni kwamba dogo anakuectia.
Hapa solution fanya kama member mmoja alivyoshauri juu.. mpeleke shule nyingine kwa siri bila yeye kujua kama anapelekwa shule.. yaani mdanganye mnaenda hospitali kumbe unaenda shule... uone kama atazima njiani
NB: hapa maombi hayahusiki.. hata ukimpeleka kwenye maombi fanya hivyo kwaajili ya psychological treatment lakini ukitegemea ka muujiza katoke anga za mbali kamponye mwanao...sahau!
1. Mtoto hajifanyishi kuzimia bali ni kweli anakata moto.. hilo tatizo sio la kiroho ni la psychiatry...jina nimesahau lkn inatokea mtu ana hofu ya ndani kuhusu kitu flani kwahio mwili automatically unakata moto..
Unaweza kukuta mtu anaogopa mitihani ikifika siku ya pepa anaparalize upande mmoja. Sio kwamba anajifanyisha nop... huyo mtoto mpeleke kwa psychiatrist atarudi akiwa mpyaaaaa kabisa.
2.. possibility ya pili ni kwamba dogo anakuectia.
Hapa solution fanya kama member mmoja alivyoshauri juu.. mpeleke shule nyingine kwa siri bila yeye kujua kama anapelekwa shule.. yaani mdanganye mnaenda hospitali kumbe unaenda shule... uone kama atazima njiani
NB: hapa maombi hayahusiki.. hata ukimpeleka kwenye maombi fanya hivyo kwaajili ya psychological treatment lakini ukitegemea ka muujiza katoke anga za mbali kamponye mwanao...sahau!