Hashpower7113
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,353
- 2,137
Sawa kabisa mkuu manengeloni kweli mkuu...mfanye apende shule...awe anapewa na vizawadi akifanya vzr...inasaidia sana sana...!mtoto ukimpa promise za ukwel hakuangushi hata kidg
Sawa kabisa mkuu manengeloni kweli mkuu...mfanye apende shule...awe anapewa na vizawadi akifanya vzr...inasaidia sana sana...!mtoto ukimpa promise za ukwel hakuangushi hata kidg
Mbona sioni wanaoshauri apelekwe kwa 'ostadhi'?
Mleta mada kwanini unakwepa kutupia taarifa ya maendeleo ya taaluma ya mwanao?
Hata jinsia?
Tupunguzie mzigo wa jinsi ya kukushauri.
mtoto hataki shule sioNaomba niwe mkweli...sipepesi macho..Huyo mtoto anajifanyisha..huyo mtoto ni mvivu...!kweli mtoto anakuzidi akili namna hyo jamani,?mlambe viboko atakaa sawa...!
najua mnaamini sana shirki..mie walaa!
Kuna kitu kinaitwa 'attention deficit disorder'. Mtoto akihisi hapati attention ya kutosha basi anatafuta sababu ya kupewa attention kwa lazima. Nakumbuka vizuri nilipokuwa mdogo sana kuna siku niliamua kujifanya naumwa nikawa najitetemesha vibaya kama mtu aliezidiwa na homa, nilijisia raha sana pale baba yangu alivyoacha kazi zake zote na kurudi nyumbani na kunikimbiza hospitali, ofcourse sikukutwa na kitu ila nilijisikia furaha ya ajabu kuona baba ananipenda kiasi kile.
Yesuuuuui,hv kumbe watoto wana mbinu nyingi hivyonajifunzaaa kwakweliNakushauri kwa njia ambayo mama yangu alitumia kutibu tatizo kama hilo kwa mdogo wangu wa mwisho ambalo lilikua limechukua takribani miezi tisa bila suluhisho
Mdogo wangu alikua darasa la sita na alikua akifika shule anazimia au akiwa njiani kwenda shule tulihangaika na hospital maombi na tiba mbadala bila mafanikio
Naye alikua analilia kwenda shue kama wako ila kumbe gia ya kulilia ilikua ili kutuaminisha kwamba kweli anazimia na anaumwa
Okafikia jatu nasi tukawa tunamlinda asitoke nyumbani ili asijezimia mwisho akafa kabisa
Basi mama mmoja mwenye busara akaongea na mama akanwambia iwe siri yao ajidai anampeleka kwa mtaalsmu (ambaye ndio huyo mama) hivyo mama alimchukua mdogo wangu mpaka kwa yule mama na yule mama akamwambia anampa dawa ya kunywa kutibu igonjwa wa kuzimia ila dawa ina sharti moja kama ambalo ni akawa anamwambia mama unauhakika mwanao kweli anaumwa kuzimia maana kama hana ugonjwa huo akinywa dawa hii atapata kifafa ambacho hakiponi
Na hio dawa nilipaka usoni ( alikua kampaka unga wa ugali akidanganya ni dawa) kama hana ugonjwa atakua na ukurutu uso wote hivyo mama kama unaamini anaumwa basi mpe anyww dawa hii hapahapa anapona
Kabla hajamaliza kusema mdogo wangu akaanza kulia anamuomba mganga yaani yule mm amutoe ile dawa usoni maana alikua anadanganya akaogopa kupata kifafa
Tangu siku hiyo mpaka leo hajazimia na mwezi huu kamaliza digriii
Ila alikua hataki shule
Ushauri wangu jaribu kumchunguza mara mia zaidi kama kweli ni mgonjwa
Hii ishu nilishaishuhudia ila kwa mdada mkubwa kabisa. Yeye alipambana mpaka akafika chuo ila huko majanga yalimzidia hasa kwenye mitihani full kuzimia.
Mkuu pole sana.
Wala usiende kwa waganga jikite tuu kwenye maombi.
Na asiombewe yeye tuu inabidi familia nzima mfanyiwe maombi ya ukombozi. Na nyie wazazi pia muwe mnaomba toba kwa ajili ya watoto wenu na vizazi vyenu. Ulimwengu wa roho una mambo mengi sana. Mtoto wenu anaweza kupona kupitia nyie.
Nakazia, usichoke kwenye kumtegemea Mungu. Yawezekana wakati ndiyo unachoka na Mungu ndiyo alikuwa anaanza kujibu.
Nadhani wewe umamaliza kila kituNakushauri kwa njia ambayo mama yangu alitumia kutibu tatizo kama hilo kwa mdogo wangu wa mwisho ambalo lilikua limechukua takribani miezi tisa bila suluhisho
Mdogo wangu alikua darasa la sita na alikua akifika shule anazimia au akiwa njiani kwenda shule tulihangaika na hospital maombi na tiba mbadala bila mafanikio
Naye alikua analilia kwenda shue kama wako ila kumbe gia ya kulilia ilikua ili kutuaminisha kwamba kweli anazimia na anaumwa
Okafikia jatu nasi tukawa tunamlinda asitoke nyumbani ili asijezimia mwisho akafa kabisa
Basi mama mmoja mwenye busara akaongea na mama akanwambia iwe siri yao ajidai anampeleka kwa mtaalsmu (ambaye ndio huyo mama) hivyo mama alimchukua mdogo wangu mpaka kwa yule mama na yule mama akamwambia anampa dawa ya kunywa kutibu igonjwa wa kuzimia ila dawa ina sharti moja kama ambalo ni akawa anamwambia mama unauhakika mwanao kweli anaumwa kuzimia maana kama hana ugonjwa huo akinywa dawa hii atapata kifafa ambacho hakiponi
Na hio dawa nilipaka usoni ( alikua kampaka unga wa ugali akidanganya ni dawa) kama hana ugonjwa atakua na ukurutu uso wote hivyo mama kama unaamini anaumwa basi mpe anyww dawa hii hapahapa anapona
Kabla hajamaliza kusema mdogo wangu akaanza kulia anamuomba mganga yaani yule mm amutoe ile dawa usoni maana alikua anadanganya akaogopa kupata kifafa
Tangu siku hiyo mpaka leo hajazimia na mwezi huu kamaliza digriii
Ila alikua hataki shule
Ushauri wangu jaribu kumchunguza mara mia zaidi kama kweli ni mgonjwa
Kuna wengine hawajawahi shuhudia hayo kila kitu kwao mzaha