Ugonjwa mpya wa kutokwa vipele

Hapana hapana hapana mkuu..ni ugonjwa hatari na hauna uhusiano na Hali ya hewa.Mimi imenisunvua kuanzia mwezi wa sita Hadi sasa ndy napona tena nimeenda hospitali mara mbili

Hospital Walikuwa na mtazamo wako nikapewa dawa ya kupaka Tu lkn Hali ilizidi kuwa mbaya..Mara ya pili ndy wakawa serious nikapimwa Hadi damu na ukimwi juu nikapewa dozi ya maana ya wiki 16 now nipo wiki ya 3 lkn nimeshaanza kupona..kinachonisumbua ni madoa Tu maana Mimi ni mweupe sasa hivi sivai 'kauwoshi'

Unaambiwa usiombe huu ugonjwa ukimbilie kwenye pumbu utaimba haleluya..nilikuwa najikuna usiku wa manage Hadi napanic..ni ugonjwa hatari sn
Kuna unaofanana na huo wako chanzo kikiwa hizo sababu nilizotaja..
 
hivyo vipele vilimpata rafiki yangu ye alienda kwa daktari wa ngozi akapewa dawa ya vidoge na lotion ya kupaka nadhani inauzwa elfu 15 na akaambiwa hivyo vipele ni ugonjwa na unaambukizwa kwa kushare mavazi, lodge kama mashuka ni machafu na pia ukiwa kwenye msongamamo wa watu ukigusana na mwenye vipele na pia huwa vinawasha sana wakati wa usiku

Basi nimeijua sababu
 
Timia B B E ni dawa ya kujipaka maramoja kwa siku, paka asubuhi baada ya kuoga na mwili kukauka, usioge tena jioni wala usipake, zingatia ni mara moja kwa siku.
Hii ndio dawa niliyotumia Mimi na familia yangu wote tukapona inaitwa BBE ni nyeupe ya majimaji ukijipaka utadhani umepaka uji wa chaki mwilini
 
Usijidai kwamba ndio unaelimu wakati wewe ni demu unakojoa umechuchumaa Sasa hestamine ndio kitu gani ni choroko au big g
ID yangu inaonyesha kabisa mimi ni mwanaume, kwa mujibu wa jamaa amesema kuna vyakula flani akila miwasho inapungua pia kuna vyakula flani akila miwasho inaongezeka, katika hali ya kawaida kuna vyakula vyenye histamine kwa wingi na vyenye histamine kiasi, ulipaswa kuingia mtandaoni na ku google histamine ni kitu gani.

Miwasho yeyote iwe allergy n.k inasababishwa na histamine, histamine ni chemicals ambazo immune system huwa inaachia kama kuna injury infection au allergy, kwa hio kama una histamine intolerance hata upake kitu gani sio suluhisho, tatizo ni la ndani ya mwili na sio nje.

Kumbuka jinsia sio cheo na usidharau mwanamke eti anakojoa amechuchumaa kwani mama yako huwa anakojoa amesimama? kama huna elimu hukusoma sema au uliza na si kutusi watu.
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom