Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,606
- 696,727
Kuna unaofanana na huo wako chanzo kikiwa hizo sababu nilizotaja..Hapana hapana hapana mkuu..ni ugonjwa hatari na hauna uhusiano na Hali ya hewa.Mimi imenisunvua kuanzia mwezi wa sita Hadi sasa ndy napona tena nimeenda hospitali mara mbili
Hospital Walikuwa na mtazamo wako nikapewa dawa ya kupaka Tu lkn Hali ilizidi kuwa mbaya..Mara ya pili ndy wakawa serious nikapimwa Hadi damu na ukimwi juu nikapewa dozi ya maana ya wiki 16 now nipo wiki ya 3 lkn nimeshaanza kupona..kinachonisumbua ni madoa Tu maana Mimi ni mweupe sasa hivi sivai 'kauwoshi'
Unaambiwa usiombe huu ugonjwa ukimbilie kwenye pumbu utaimba haleluya..nilikuwa najikuna usiku wa manage Hadi napanic..ni ugonjwa hatari sn