Ugonjwa mpya unaohusianishwa na Covid19 wawashambulia watoto

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,010
9,875
Watoto wengi nchini Uingereza na Marekani wameathirika na ugonjwa usio wa kawaida unaosababisha uvimbe wenye kuhusishwa na #CoronaVirus

Watoto 100 nchini Uingereza wameathirika na utafiti unaonesha kwamba dalili kama hizo zimeonekana kwa watoto wa sehemu nyengine barani Ulaya

Dkt Mike Ryna Mkurugenzi wa WHO amesema kadiri visa vya #CoronaVirus vinavyoongezeka ndivyo dalili zaidi zinavyozidi kutokea

====
A newly identified condition called multi-system inflammatory syndrome in children (MIS-C) is “a bit of a confused picture” right now, Dr. Maria Van Kerkhove, the World Health Organization (WHO) technical lead on Covid-19, said Friday.

“We know so far, very little about this inflammatory syndrome,” she said.
Van Kerkhove said WHO has put out a case definition, describing what symptoms may look like.

“We need to have clinicians use this case definition to determine how many children fit that definition, and then we need specific data collected from each of those patients,” she said at a news briefing.

“We need to understand if the syndrome is associated with Covid-19 or not. As I mentioned before, some of the children have not tested positive for Covid-19, while others have,” Van Kerkhove added. “So right now it's a bit of a confused picture, although more information is coming.”
It’s not clear if the syndrome is what’s called a post-viral syndrome, or a direct result of infection, said Dr. Mike Ryan, executive director of WHO’s Health Emergencies Program.

“What we don't know yet is whether those rare things that happen are associated directly with the virus — and the virus directly attacking the cells and those organs — or is what we are seeing also the result of the immune response to the virus?" he said.

Ryan likened this to what happens with the Ebola virus and bleeding: “It's not the virus that causes the bleeding. it's very often the immune response to the presence of the virus that depletes the capacity of the blood to clot. So when a person bleeds, the bleeding continues," Ryan said.

Ryan also said as the number of global coronavirus cases grows, “you start to potentially notice much more rarer syndromes.”
 
Ni uvimbe wa sehemu gani na ukoje? Na pia taarifa inasema hawana uhakika kama kuna uhusiano na Covid-19, hivyo unapotosha.
 
Ugonjwa unaitwa Kawasaki. Bado wanaostudy kama unarelation na Covi. Kawasaki ni ugonjwa uliopo tokea miaka mingi.

Ila watoto wanaopata huo ugonjwa safari hii wameongezeka na wengi wanakutwa washadevelop covi antibodies.
 
Bill and Melinda ground works with the idea and IInfrastructure Support from China
Go on bro....
 
Back
Top Bottom