Ugonjwa hatari wa Nguruwe Dar

emgoa

Member
Jun 23, 2012
11
1
Wapendwa nimepigiwa simu na rafiki yangu ataniambia kuna ugonjwa wa kutetemeka ambao unaua sana nguruwe huko Tabata na Kinyerezi. Mwenye habari kamili na tafadhali atujuze hapa.
 
Wapendwa nimepigiwa simu na rafiki yangu ataniambia kuna ugonjwa wa kutetemeka ambao unaua sana nguruwe huko Tabata na Kinyerezi. Mwenye habari kamili na tafadhali atujuze hapa.

Wewe wa kwako wameonyesha dalili yoyote.......?.......wahi kwa mtaalam haraka.......hiyo hali isijesababisha uhaba wa hicho kitoweo msimu huu wa sikukuu.........
 
Wapendwa nimepigiwa simu na rafiki yangu ataniambia kuna ugonjwa wa kutetemeka ambao unaua sana nguruwe huko Tabata na Kinyerezi. Mwenye habari kamili na tafadhali atujuze hapa.
Wacha zife zinaharibu mzingira
 
Wewe wa kwako wameonyesha dalili yoyote.......?.......wahi kwa mtaalam haraka.......hiyo hali isijesababisha uhaba wa hicho kitoweo msimu huu wa sikukuu.........
inakuwaje uibuliwe kutoka mafichoni na hii thread??.....lazima kuna kitu!
 
Hello..... Karibuni Sana Katika group linalohusu ufugaji wa nguruwe

Karibu Sana wewe mtaalamu wa mifugo, mfugaji, mnunuzi, pamoja na Wale wenye kiu ya kujifunza zaidi kuhusu ufugaji huu wenye tija na kipato cha uhakika.....

Click link ifuatayo kujiunga......

Zingatia kujitambulisha pindi tu uingiapo katika group hili
ZINGATIA KUJITAMBULISHA PINDI TU UINGIAPO KATIKA GROUP HILI... JINA, MKOA, SHUGHULI

TSA- PIG FARMING
 
Back
Top Bottom