Wapendwa nimepigiwa simu na rafiki yangu ataniambia kuna ugonjwa wa kutetemeka ambao unaua sana nguruwe huko Tabata na Kinyerezi. Mwenye habari kamili na tafadhali atujuze hapa.
Wacha zife zinaharibu mzingiraWapendwa nimepigiwa simu na rafiki yangu ataniambia kuna ugonjwa wa kutetemeka ambao unaua sana nguruwe huko Tabata na Kinyerezi. Mwenye habari kamili na tafadhali atujuze hapa.
inakuwaje uibuliwe kutoka mafichoni na hii thread??.....lazima kuna kitu!Wewe wa kwako wameonyesha dalili yoyote.......?.......wahi kwa mtaalam haraka.......hiyo hali isijesababisha uhaba wa hicho kitoweo msimu huu wa sikukuu.........
inakuwaje uibuliwe kutoka mafichoni na hii thread??.....lazima kuna kitu!