Nimeaza kufuga kuku wanyama kwa Mara ya kwanza lakini naona maendeleo ya ukuwaji WAke sio mbaya wanakua kwa kasi Sana ila kunakitu kinanipa mawazo Sana ila kuna kuku mmoja nimemkagua nikakuta Kama sugu chini ya unyao WA kuku kigumu Kweli je inaweza ikaw ni ugonjwa na Kama ni ugonjwa unaitwaje na Kama ni ugonjwa ninaweza nikawapa dawa gani