Omba toba haraka sana, Mungu hana sifa ya usahaulifu kabisa.Nikki mbishi
Unju bahau kale, mwenyezi mungu siku ya kihama usimsahau babu tale.../
Omba toba haraka sana, Mungu hana sifa ya usahaulifu kabisa.Nikki mbishi
Unju bahau kale, mwenyezi mungu siku ya kihama usimsahau babu tale.../
Toba ndio kitu gani?Omba toba haraka sana, Mungu hana sifa ya usahaulifu kabisa.
RepentToba ndio kitu gani?
Hapo umebadilisha lugha hujaelezea maana ya hicho kitu. Hilo neno Hata ukinitajia kwa kilugha chako utakua hujajibu swali langu zaidi utaendelea kunichanganya tuRepent
Endelea kuchanganyikiwaHapo umebadilisha lugha hujaelezea maana ya hicho kitu. Hilo neno Hata ukinitajia kwa kilugha chako utakua hujajibu swali langu zaidi utaendelea kunichanganya tu
Kuna ngoma yake inaitwa maji ni uhai huo mstari unapatikana humoHii bar ipo kwenye nyimbo gani?
Babu Tale anatembelea mizizi ya Abdu Bonge.
Yeye mwenyewe ukiachana na Ndumba na uswahili koko, hana jipya.
Anamuondoa mkewe kisa, ubunge. Kwani atazikwa na hilo jimbo?Mbona Abdu Bonge alikufa mda mrefu sana, kwasasa Babu tale ni Mbunge, wewe endelea na Story zilizochakaa
Amemuondoaje mkewe? unao ushahidi wa kutosha juu ya dai lako, au unaleta porojo za vijiweni baada ya kunywa al kasusu?Anamuondoa mkewe kisa, ubunge
Kwan atazikwa na Hilo jimbo
CCM nyinyi n hovyo sana bila ndumba hamuez jiamin kabsaAmemuondoaje mkewe? unao ushahidi wa kutosha juu ya dai lako, au unaleta porojo za vijiweni baada ya kunywa al kasusu?
Bado ujathibitisha alimuondoaje mkewe?CCM nyinyi n hovyo sana bila ndumba hamuez jiamin kabsa
😁😁😁Nikki Mbishi
Unju bahau kale, mwenyezi mungu siku ya kiama usimsahau Babu Tale.../
Babu tale au wakaziMtu mwenyewe alikuwa mganga unategemea nini?