ugomvi wa posho za kampeni umeleta kero kwa wakazi huko arumeru

Jackbauer

JF-Expert Member
Oct 28, 2010
6,038
2,199
hii nimeipata kwa rafiki yangu mmoja mitaa ya USA kwenye kambi ya timu ya kampeni ya ccm.anasema hawalali kwa raha kwani mijamaa ya ccm ikitoka kwenye kampeni hufikia mitaa hiyo kuchukua mgao.mara nyingi kuna kelele na matusi kuashiria mgao wa posho hauendi kama ulivyopangwa.
Jirekebisheni jamani
 
Title thread havishabihihani na haieleweki unachotaka kumaanisha
 
Back
Top Bottom