Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
hii nimeipata kwa rafiki yangu mmoja mitaa ya USA kwenye kambi ya timu ya kampeni ya ccm.anasema hawalali kwa raha kwani mijamaa ya ccm ikitoka kwenye kampeni hufikia mitaa hiyo kuchukua mgao.mara nyingi kuna kelele na matusi kuashiria mgao wa posho hauendi kama ulivyopangwa.
Jirekebisheni jamani
Jirekebisheni jamani