Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,759
- 12,175
Kuna msuguano mkubwa baina ya Mengi na Muhongo ambao unatishia uchumi wa taifa katika sekta za madini na nishati!
Si serikali wala bunge wanaochukuwa hatua za kuusuluhisha ugomvi huu!
Kutokana na maelezo ya Mbatia katika bunge la bajeti leo ugomvi baina ya watu hawa unahatarisha uwekezaji wa wazawa katika sekta za madini na nishati!
Kwa nini serikali, kwa maana ya Pinda na JK hawachukuwi hatua za kumaliza sintofahahamu hii?!
Si serikali wala bunge wanaochukuwa hatua za kuusuluhisha ugomvi huu!
Kutokana na maelezo ya Mbatia katika bunge la bajeti leo ugomvi baina ya watu hawa unahatarisha uwekezaji wa wazawa katika sekta za madini na nishati!
Kwa nini serikali, kwa maana ya Pinda na JK hawachukuwi hatua za kumaliza sintofahahamu hii?!