Jamani nimesikia kukosa kwa prof msolla kuwa waziri wkt alistahili kumetokana na mabwana wakubwa wawili wa nchi hii yaani rostam , na el kisa:
Lowassa: Kwanza alimshawishi msolla ajenge chuo kikuu kikubwa tanzania yaani udom kwake arusha eneo la monduli
pili: Kushuka kwa gharama za mawasiliano ambazo zimeiathiri vodacom aliyeko swaiba wake na yeye
rostam: Ishu ya kushuka gharama za mawasiliano vodacom (tsh 1 kwa sek)
lukuvi: Hampendi kabisa lowassa kutokana na ujumbe wa nec iringa
natoa hoja michango jamani ka nimekosea.
Lowassa: Kwanza alimshawishi msolla ajenge chuo kikuu kikubwa tanzania yaani udom kwake arusha eneo la monduli
pili: Kushuka kwa gharama za mawasiliano ambazo zimeiathiri vodacom aliyeko swaiba wake na yeye
rostam: Ishu ya kushuka gharama za mawasiliano vodacom (tsh 1 kwa sek)
lukuvi: Hampendi kabisa lowassa kutokana na ujumbe wa nec iringa
natoa hoja michango jamani ka nimekosea.