thedaydreamer
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 372
- 88
leo asubuhi wakati wa BP ulipigwa wimbo wa ben paul jikubali, kwenye verse ya kwanza kuna maneno yalifichwa, ikabidi niutafute huo wimbo nisikilize vizuri sehemu gani ni offensive, kwa namna kumbukumbu yangu inaniambia sehemu iliyofichwa ni aliposema unaweza kuwa jay dee. Sijui kama kuna mtu mwingine alisikia na pia kama ndo hivyo wameamua je wanayo mamlaka hayo kuedit wimbo wa mtu ilhali hajatukana?