100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 3,584
- 11,970
Purukushani za hapa na pale zilitokea baaada ya walinzi wa Putin kukataa kuweka suitcase zao zisipite kwenye scanner, inasemekana kwamba suitcase hizo zilikuwa zina code za siri za silaha za nuclear za Russia.
Inasemekana kwamba baada ya walinzi hao wa karibu kabisa wa Putin kufika eneo la tukio waliambiwa kuweka suitcase hizo ndogo kwenye mkanda wa X-ray ili vitazamwe, walinzi wa Putin walikataa na hapo ndipo purukushani na kusukumana kulipoanza.
Inasemekana codes za silaha za nuclear za Russia huwa zinatembea na raisi muda wote, na popote aendapo walinzi wanakuwa nazo nyuma yake.
Hata hivyo baadae baada ya mkubwa wa majeshi South Africa kuitwa waliruhusiwa kuingia na suitcase zao na walinzi wengine wakilazmishwa kutumia mlango wa nyuma.
Maoni yangu. Walinzi wa Putin walipaswa wawe karibu na Putin muda wote, Putin anaonekana kutangulia na baadae walinzi kufuatia, hii ilipelekea walinzi wa kwenye huo mkutano kufikiri vingine pia ikizingatiwa walikataa suicase zisimulikwe na X-ray.
ilikuwa ni mwaka 2013 BRICS summit ilipofanyika South Africa ambapo Putin alihudhuria.
Inasemekana kwamba baada ya walinzi hao wa karibu kabisa wa Putin kufika eneo la tukio waliambiwa kuweka suitcase hizo ndogo kwenye mkanda wa X-ray ili vitazamwe, walinzi wa Putin walikataa na hapo ndipo purukushani na kusukumana kulipoanza.
Inasemekana codes za silaha za nuclear za Russia huwa zinatembea na raisi muda wote, na popote aendapo walinzi wanakuwa nazo nyuma yake.
Hata hivyo baadae baada ya mkubwa wa majeshi South Africa kuitwa waliruhusiwa kuingia na suitcase zao na walinzi wengine wakilazmishwa kutumia mlango wa nyuma.
Maoni yangu. Walinzi wa Putin walipaswa wawe karibu na Putin muda wote, Putin anaonekana kutangulia na baadae walinzi kufuatia, hii ilipelekea walinzi wa kwenye huo mkutano kufikiri vingine pia ikizingatiwa walikataa suicase zisimulikwe na X-ray.
ilikuwa ni mwaka 2013 BRICS summit ilipofanyika South Africa ambapo Putin alihudhuria.