hata kwa akili ya kawaida m2 hawezi kusema ugawaji wa chakula katika jimbo la uchaguzi igunga ni hali ambayo haikupangwa, kama wananchi wa igunga watahadaika na chjakula cha misaada imekula kwao, nawashauri chakula wapokee lakini mmgombea wamchague mwenye vgezo na c mtoa chakula!