joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Unajua maana ya kuishi kinyemela?Ati kufukuza watu wenye wanajifanyia kazi zao. Na hiyo sio wivu mko nayo??
Unajua maana ya kuishi kinyemela?Ati kufukuza watu wenye wanajifanyia kazi zao. Na hiyo sio wivu mko nayo??
Sijui mimiUnajua maana ya kuishi kinyemela?
Tanzania siyo shamba la bibi, msipoacha ushamba wenu wa akina jaguar tutawafutilia mbali mkawe walinzi wa mbwa wa kizungu nairobiAti kufukuza watu wenye wanajifanyia kazi zao. Na hiyo sio wivu mko nayo??
Tanzania ni shamba la umasikini wazembeTanzania siyo shamba la bibi, msipoacha ushamba wenu wa akina jaguar tutawafutilia mbali mkawe walinzi wa mbwa wa kizungu nairobi
43 Bob? Ukiishafanya sensa ya Wakenya wako wangapi kwetu huku nadhani utaifuta comment yako. Tofauti ya Wakenya na Watanzania ni kuwa Mkenya akiwa na kidogo anajivunia mpaka kero. Kila jirani atajua. Ila Watanzania ninwatu wa kimya kimya. Kama huamini omba sensa ya wakenya Tanzania. Wako wengi tunaishi nao kwa upendo, hatuna shida na ndugu zetu hawa.Bado utaona wakitutukana licha ya kuwapokea na kuwasaidia.
Karibu Tanzania. Achana na stori za kuambiwa, njoo uone mwenyewe kisha urudi ukawasimulie wenye mawazo mfu kama yako!Tanzania ni shamba la umasikini wazembe na mashoga
43 Bob? Ukiishafanya sensa ya Wakenya wako wangapi kwetu huku nadhani utaifuta comment yako. Tofauti ya Wakenya na Watanzania ni kuwa Mkenya akiwa na kidogo anajivunia mpaka kero. Kila jirani atajua. Ila Watanzania ninwatu wa kimya kimya. Kama huamini omba sensa ya wakenya Tanzania. Wako wengi tunaishi nao kwa upendo, hatuna shida na ndugu zetu hawa.
Punguzeni kelele 🤣🤣🤣
Huko Wakenya hawawezi kuwa wengi maana sera zenu za kichuki chuki mlizolishwa na Nyerere, Mkenya anayeishi huko anaishi kwa kuvumilia sana aidha hana namna inabidi tu, ila huku tunawapokea kwanza ukienda eneo la Gikomba utadhani uko Moshi mjini, kuna jamii ya Wachagga huwa wamekusanyika hapo wanapiga mishe zao bila usumbufu.
Kenya tunawapokea hadi omba omba wenu kila kona wamejazana kwenye barabara zetu... waganga wenu ndio usipime, tatizo hawaji wataalam ambao tunaweza kuwategemea kiuchumi, ni hawa kila kona
'Empower Your Beggars, Our Streets Are Full,' Kenyans Tell Magufuli (sokodirectory.com)
Huko Wakenya hawawezi kuwa wengi maana sera zenu za kichuki chuki mlizolishwa na Nyerere, Mkenya anayeishi huko anaishi kwa kuvumilia sana aidha hana namna inabidi tu, ila huku tunawapokea kwanza ukienda eneo la Gikomba utadhani uko Moshi mjini, kuna jamii ya Wachagga huwa wamekusanyika hapo wanapiga mishe zao bila usumbufu.
Kenya tunawapokea hadi omba omba wenu kila kona wamejazana kwenye barabara zetu... waganga wenu ndio usipime, tatizo hawaji wataalam ambao tunaweza kuwategemea kiuchumi, ni hawa kila kona
'Empower Your Beggars, Our Streets Are Full,' Kenyans Tell Magufuli (sokodirectory.com)
hivi unajua jinsi kunyaland mnavyocreate wezi dunia nzima halafu tunawaangalia tu,unaambiwa kwa siku TZ tunapokea wakunya 300 na kati yao 99% ni wezi
Huko Wakenya hawawezi kuwa wengi maana sera zenu za kichuki chuki mlizolishwa na Nyerere, Mkenya anayeishi huko anaishi kwa kuvumilia sana aidha hana namna inabidi tu, ila huku tunawapokea kwanza ukienda eneo la Gikomba utadhani uko Moshi mjini, kuna jamii ya Wachagga huwa wamekusanyika hapo wanapiga mishe zao bila usumbufu.
Kenya tunawapokea hadi omba omba wenu kila kona wamejazana kwenye barabara zetu... waganga wenu ndio usipime, tatizo hawaji wataalam ambao tunaweza kuwategemea kiuchumi, ni hawa kila kona
'Empower Your Beggars, Our Streets Are Full,' Kenyans Tell Magufuli (sokodirectory.com)