Uganda yasalimisha umiliki uwanja wa ndege Entebbe kwa Wachina

Mi huwa najiuliza sana..
Mnawapa watu kazi ya kuchapisha hela halafu wanajifanya kuwakopesha..kumbe na wao wamechapisha za kwao halafu ndio wanawakopesha.Afrika tunatakiwa tutumie Dola tu..ndio tutanusurika na hili.
 
China ndio mkoloni mpya wa Afrika. Hatuchomoki niswala la muda kila nchi itaingia kwenye huu mtego. Ilianza Zambia, Djibouti, Uganda.... Kenya( Mombasa port) inanukia, Angola wako wanafanya warmup..
Tanzania nayo ipo njiani,Kenya imemkimbilia IMF na World Bank imsaidie kumlipa China deni la sgr.Kwani alipokuwa anakopa mbona hakuomba ushauri kutoka World Bank?
Makoloni mapya ya China ni DRC,Zambia, Zimbabwe, Uganda,Ethiopia, Kenya,Madagascar,Tanzania
 
This is a bloody shameful development for africa. Uganda waliingia mkenge katika swala la covid, hayo ma lock down yameuwa uchumi wao ndio maana deni limewashinda. Kenya nayo imepanga foleni. Subirini taarifa hivi punde. This is the result of being led by stupid leaders.
 
Tanzania nayo ipo njiani,Kenya imemkimbilia IMF na World Bank imsaidie kumlipa China deni la sgr.Kwani alipokuwa anakopa mbona hakuomba ushauri kutoka World Bank?
Makoloni mapya ya China ni DRC,Zambia, Zimbabwe, Uganda,Ethiopia, Kenya,Madagascar,Tanzania
Mwendazake angeingiza Tanzania kwenye mkono wa wachina,lakini Kwa sasa tishio hilo halipo tupo na Rais imara kama chuma.#ssh 2021-2030.
 
Mwendazake angeingiza Tanzania kwenye mkono wa wachina,lakini Kwa sasa tishio hilo halipo tupo na Rais imara kama chuma.#ssh 2021-2030.
Unaweza kuwa na Raisi muadilifu and all that lakini shida ikabaki kwa watendaji wake. China anatambua fika kuwa viongozi wa kiafrika(not necessarily maraisi) ni corrupt na anamfuko mrefu wa kutoa rushwa ndio maana hapati shida kupata anachotaka kwa gharama yoyote ya mkopaji. Hivi huu mkataba wa Tanesco na kampuni ya India ( Mahindra ) wenye gharama kubwa ni justified- [ nje ya mada lkn nataka kufocus ktk shida ya watendaji ]
 
Alafu uongozi wao unawaza kuongea senene kwenye ndege badala ya kuwaza jinsi ya kulipa deni la wenyewe.
 
Kuna siku nchi ya Tajikistan itamsalimisha Rais wake mwanamke kwa mabeberu ili akatiwe kisa deni limeshindikana kulipwa🤗🤗🤗

Hii ni baada ya nchi hiyo kushindwa kuwa huru baada ya miaka 60 ya uhuru chini ya chama mfu cha CCcM.
cxJ.jpg
AkUrDK.jpg
 
Bandari ya Bagamoyo hiyoooo
Project kama ya Bagamoyo, Rais anatakiwa awe kijana hata 45 years ili miaka yake 10 ikiisha wananchi wawe na muda mrefu wa kumsimanga kama mambo yameenda vibaya kama Uganda lakini hawa wazee wanaoongoza yaani mpaka Project inaisha tayari umri umekwenda wanakuwa wanamalizia malizia siku zao (assuming hakuna maradhi au ajali etc)
 
Na ukirejea maneno ya Hayati Magufuli RIP baba Shujaa wetu. Ni dhairi kuwa tukiingia kichwa kichwa na deal la Wachina pale Bandari ya Bagamoyo.

Tunaweza jikuta njiapanda kama inayowakuta wenzetu wa Uganda Sasa.

Ghafla mnasikia Bandari ya DSM ni Mali ya Beijing
 
Uganda hawajanyanganywa airport. Hizo ni story tu. Mkopo wa 2015, grace period ya miaka 7, repayment ya miaka 20. Do the math.
 
Sijasoma contents ya uliyoandika Ila nimevutiwa na jina Gisa. Nina maslahi nayo! Kama ni jina lako hongera sana.
 
Wewe kaa ukijua tu kuwa China walishapewa hiyo deal tangu 2015 na CCM, Magufuli alikuwa anaburudisha tu huku akichelewesha, lakini bandari itajengwa tutake au tusitake labda CCM watolewe madarakani.

Kama gesi ya Mtwara wachina walipewa, nini kingine watanyimwa?
 
Wewe kaa ukijua tu kuwa China walishapewa hiyo deal tangu 2015 na CCM, Magufuli alikuwa anaburudisha tu huku akichelewesha, lakini bandari itajengwa tutake au tusitake labda CCM watolewe madarakani.

Kama gesi ya Mtwara wachina walipewa, nini kingine watanyimwa?
Na kwa kuwa CCM haiwezi kutolewa madarakani, labda kwa muujiza!! Basi tujipange kisaikolojia kuwa chini ya ukoloni mpya wa China, baada ya juhudi kubwa baba zetu kumtoa Mwingereza Sasa tunapokea ukoloni wa kichina kwa furaha na bashasha!
 
Uganda hawajanyanganywa airport.. hizo ni story tuu.. mkopo wa 2015, grace period ya miaka 7, repayment ya miaka 20.. do the math..


 
Back
Top Bottom