Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,816
Nchi ya Uganda imeingiza kiasi cha dola bilioni 1.3 kutokana na uwepo wa kampuni ya kuchakua dhahabu dhahabu ya “Africa Gold Refinery”. Kiasi hicho kinaifanya Uganda kuwa miongoni mwa nchi za Afrika zenye mapato makubwa yatokanayo na mauzo ya dhahabu.
Kampuni ya Africa Gold Refinery ina makazi yake mjini Entebbe, kilometer kadhaaa kutoka mji mkuu Kampala.
Kampuni ya Africa Gold Refinery ina makazi yake mjini Entebbe, kilometer kadhaaa kutoka mji mkuu Kampala.