Uganda yaingiza dola billion 1.3 kutokana na mauzo ya dhahabu

Tz boy 4tino

JF-Expert Member
Sep 14, 2014
1,598
1,816
Nchi ya Uganda imeingiza kiasi cha dola bilioni 1.3 kutokana na uwepo wa kampuni ya kuchakua dhahabu dhahabu ya “Africa Gold Refinery”. Kiasi hicho kinaifanya Uganda kuwa miongoni mwa nchi za Afrika zenye mapato makubwa yatokanayo na mauzo ya dhahabu.

Kampuni ya Africa Gold Refinery ina makazi yake mjini Entebbe, kilometer kadhaaa kutoka mji mkuu Kampala.

563E7441-40AF-435B-B0E4-64F53523493B.jpeg
4E11026A-DF10-486B-82AB-4D4DEFCD7969.jpeg
564D6C6E-48AD-4F59-A429-670722112A07.jpeg
A643B9E0-D6FB-4499-AEB3-7FD9A5242435.jpeg
563E7441-40AF-435B-B0E4-64F53523493B.jpeg
4E11026A-DF10-486B-82AB-4D4DEFCD7969.jpeg
564D6C6E-48AD-4F59-A429-670722112A07.jpeg
A643B9E0-D6FB-4499-AEB3-7FD9A5242435.jpeg
 
Uganda kuna Migodi ya dhahabu hiyo wanayochakata kiwandani inatoka wapi? Su ndo hiyo ya kutoka Congo?

Maswali ni mengi kwa kweli
 
Back
Top Bottom