Siyabonga101
JF-Expert Member
- Mar 8, 2016
- 2,424
- 2,297
Mungu awalaze mahala Pema peponi. Poleni sana ndugu, jamaa na marafiki katika msiba mzito.
Mungu awafanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu.
Huwa napinga sana kwa watu wa familia moja au ndugu kusafiri pamoja. Ikitokea la kutokea madhara huwa ni mazito na makubwa sana.
Mungu awafanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu.
Huwa napinga sana kwa watu wa familia moja au ndugu kusafiri pamoja. Ikitokea la kutokea madhara huwa ni mazito na makubwa sana.