FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,035
- 40,700
Sioni sababu ya Waganda kutubania ndugu zenu, hatujashiriki haya mashindano since 1980, tuoneeni huruma basi na sisi jamani, khaa, msitukazie jirani zetu.
Mechi za kupanga marufuku FIFA.Sioni sababu ya Waganda kutubania ndugu zenu, hatujashiriki haya mashindano since 1980, tuoneeni huruma basi na sisi jamani, khaa, msitukazie jirani zetu.
Ombi la upande mmoja halitasaidia kitu pasipo kuwaomba Cape verde wawafunge Lesotho au hata watoe sareSioni sababu ya Waganda kutubania ndugu zenu, hatujashiriki haya mashindano since 1980, tuoneeni huruma basi na sisi jamani, khaa, msitukazie jirani zetu.
Hamna bhanaa.., hatutawadharau, tutawaheshimu sana, shikamooni Uganda
hakuna cha kutuachia komaeni tuu tunawachapa ata kama mje na barcelona msilete visingizio tukiwachapa
Ahsanteni kwa kutuachia walau goli 3, tunashukuru sana jirani zetu, hii ndio maana halisi ya kuonyeshana undugu. Mungu awabariki na atubariki pia, ili tufike walau nusu fainali za AFCON
Acha uzwazwa wewe..nani kaachiwa apoAhsanteni kwa kutuachia walau goli 3, tunashukuru sana jirani zetu, hii ndio maana halisi ya kuonyeshana undugu. Mungu awabariki na atubariki pia, ili tufike walau nusu fainali za AFCON
Nawazingua tu