Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,769
- 10,650
na baada ya hapo alirudishwa kazini haraka sana.
Uganda minister orders arrest of Dr Stella Nyanzi, lecturer who stripped in public
na baada ya hapo alirudishwa kazini haraka sana.
PhD is not for everyone, it is for the very strong willed individuals.Kwann
you gotta be kiddin' man.....PhD is not for everyone, it is for the very strong willed individuals.
Kwanza process za kuipata requires one to sacrifice their life, family and friends tupa kule, social life zero. After working so hard for 4 or 5 years anapata PhD and most people find out they didn't have to go through all that trouble after all. Maisha yako kawaida kama sio magumu zaidi kabla ya PhD. Wanajipata wako peke yoa mategemeo na malengo hayajatimia, mambo madogo kama working space inakuwa shida kupata.
I tell you very few are able to cope with such a situation bila kuingiwa na uchizi.
Profesa wa matusi!!!! She is shaming the academic world!! The academic world is a wonderful place!!! Stripping is for strip dancers in bars and not for academicians. She is at the wrong place. She should go to the bars and strip dance there.
Katika sehemu nilipozidi kuwadharau Waganda, ni hapo! Tena , eti wakaamuru areudushie ofisi yake, badala ya kumfukuza kazi...!
mkuu, mimi naona hapa kuna cultural conflict kubwa sana inaendelea miongoni mwa kipi bora kati ya westernization and upholding our very culture. kwa tamaduni za kiganda huyu mama yupo sahihi sana, ila kwa tamaduni zilizostaarabika za kimagharibi (ndio hizo academics zako) huyu mama anaonekana hayupo sahihi kabisa. this issue is still contentious and should be deeply debated. but i am not condoning such a thing eitherHuo ni uchi kwa wazungu, kwa waafrika hakuna uchi hapo
An not kidding, most end up thinking they wasted their time, they don't see the reward for their hard work.you gotta be kiddin' man.....
if that case is real, kumbe ni hatari sana aisee. but what kind of rewards do they expect? are they not paid salaries?An not kidding, most end up thinking they wasted their time, they don't see the reward for their hard work.
Mategemeo na malengo yanatofautiana kati ya mtu na mtu, most PhD holders can only find jobs in academia and if its a big salary one is looking for huko sio rahisi kupataif that case is real, kumbe ni hatari sana aisee. but what kind of rewards do they expect? are they not paid salaries?
kuna tofauti gani kati ya uch* wa mzungu na huo wa mwafrika mkuu???????Huo ni uchi kwa wazungu, kwa waafrika hakuna uchi hapo
Kwa mwafrika maziwa hayana ishu mpaka uone chini kabisa, wakati mzungu maziwa ndo.......duuuuu....sijuikuna tofauti gani kati ya uch* wa mzungu na huo wa mwafrika mkuu???????
yani ni hatari tupu mwanangu......hili ni balaa kwa sisi vijana wa siku hizi hatuwezi shughuli kama hiiPhD is not for everyone, it is for the very strong willed individuals.
Kwanza process za kuipata requires one to sacrifice their life, family and friends tupa kule, social life zero.
Kaka huo moto ungeupelekaje?Mbona hapo chumbani jamani
Ningekuwa karibu hawa ningewapelekea moto kote kote mpaka nyeti zao zivimbe
Kaka huo moto ungeupelekaje?
Kaka wewe!!
Kaka wewe!!
Ni mila za kabila lake kwa hiyo hii ni fahari kwake na kabila lake. She was/is proud of her tribal culture hence it's prestigious for learned people from their tribe to practically demonstrate their ancient cultural means of transferring msgs . Ndiyo fahari hiyo!KAMPENI YAKE IMEFANIKIWA..AMESHARUDISHWA KAZINI..SIJAJUA ATAIWEKA WAPI SURA YAKE WAKATI WA KUFUNDISHA...
kaka, hata ukeketaji ni mila za baadhi ya makabila yetu ya hapa barani africa lakini serikali zetu bado zina kataza na kukemea mila hizo potofu. where is professorial demonstration of civilization??? binadamu si kama bata wala mbuzi waliokosa utashi bali sisi tunaishi wa utaratibu ndio maana watu hawajisaidii sebuleni kaka. yeye kama professor ndiye anayepaswa kuwa role model wa civilization and not the other way roundNi mila za kabila lake kwa hiyo hii ni fahari kwake na kabila lake. She was/is proud of her tribal culture hence it's prestigious for learned people from their tribe to practically demonstrate to their culture. Ndiyo fahari hiyo!