Uganda Nodding Syndrome , yaja huku madaktari wetu wakielekea kugoma tena !!!

TUJITEGEMEE

JF-Expert Member
Nov 6, 2010
23,816
22,937

By Jocelyn Edwards

PADER DISTRICT, Uganda, March 6 (Reuters) - Most mornings, Michael Odongkara takes his daughter Nancy Lamwaka outside and ties her ankle to a mango tree.

It's not something he likes to do. But the disease that gives the 12-year-old violent seizures has so diminished her mental capacity that she no longer talks and often wanders off. Once, she was lost in the bush for three days.

"It hurts me so much to tie my own daughter to a tree ... but because I want to save her life, I am forced to. I don't want her to (get) loose and die in a fire, or walk and get lost in the bushes, or even drown in the nearby swamps," he said......Lamwaka suffers from nodding syndrome, a disease of unknown origins and no known cure, which Ugandan authorities estimate affects more than 3,000 children in the country......

>>>>Uganda Nodding Syndrome Devastates Region


............................
SASA WIZARA YETU YA AFYA ITAWEZA KUkabiliana na tatizo hili, au ndo itajikita kuhakisha watanzania wanapukutika na haya majanga ya kushtukza??
 
Waganda wanatakiwa kujiuliza swali hili "Wana laana gani mpaka magonjwa yasiyokuwa na tiba huanzia kwao?" Ukimwi ulianzia kwao wakausambaza kwetu. Leo tena gonjwa hili la ajabu linaibukia kwao. GOD forbid.
 
Waganda wanatakiwa kujiuliza swali hili "Wana laana gani mpaka magonjwa yasiyokuwa na tiba huanzia kwao?" Ukimwi ulianzia kwao wakausambaza kwetu. Leo tena gonjwa hili la ajabu linaibukia kwao. GOD forbid.
:shock::shock:
 
Waganda wanatakiwa kujiuliza swali hili "Wana laana gani mpaka magonjwa yasiyokuwa na tiba huanzia kwao?" Ukimwi ulianzia kwao wakausambaza kwetu. Leo tena gonjwa hili la ajabu linaibukia kwao. GOD forbid.

Du! Mashauri!! nimekaukiwa kauli!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom