MAKAMU WA RAIS AMUWAKILISHA RAIS SAMIA UGANDA, MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI.. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango leo tarehe 1 Februari 2022 amemuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Samia Suluhu Hassan katika hafla ya kutoa maamuzi ya mwisho ya uwekezaji (Final Investement Decision).
katika mradi wa ujenzi wa bomba la kusafirisha mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani Tanga nchini Tanzania (EACOP). Hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya sherehe vya Kololo vilivyopo mjini Kampala Uganda.
===
Chinese, French oil majors seal $10 billion deal for Uganda megaproject
Tuesday, February 01, 2022TotalEnergies chairman and CEO Patrick Pouyanné during the signing of the MoU on Renewable Energy between the government and TotalEnergies at Kololo Airstrip in Kampala on February 1, 2022. PHOTO/ ABUBAKER LUBOWA
The Final Investment Decision was announced at a ceremony in Kampala by the heads of France's TotalEnergies and the China National Offshore Oil Corporation.
Chinese and French oil giants finally sealed a $10-billion deal Tuesday to unlock Uganda's energy resources and build a vast regional oil pipeline, a mega-project that has incensed environmental groups.
The $10 billion investment deal was announced at a ceremony in Kampala by the heads of France's TotalEnergies and the local arm of the China National Offshore Oil Corporation (CNOOC).
The companies want to extract the huge crude oil reserves under Lake Albert, a 160-kilometre (100-mile) long natural border between Uganda and the Democratic Republic of Congo.
'A masterpiece'
The oil would be pumped from Uganda in a 1,443-kilometre (900-mile) heated pipeline -– said to become the longest of its type when completed -- through Tanzania to the Indian Ocean port of Tanga.