UGANDA: Msemaji wa Jeshi la Polisi auawa kwa risasi pamoja na walinzi wake wote

Hili ni jambo la kusikitisha saana ni kilio kwa ndugu mke na watoto ambao bado wanamhitaji baba yao
 
....Nimesikia Radio Free Africa wakisema aliyeuwawa pamoja na walinzi wake ni MSEMAJI WA JESHI LA POLISI LA UGANDA.
 
Chadema in blood mnajaribu kutuma ujumbe gani kupitia tukio hilo?
 
Na nyie mods wacheni umburura basi! Hiyo heading mnaiona imekaa vizuri? Watu tunakuja mbio hapa kumbe litaahira lilikuwa linamaanisha IGP wa Uganda!
 
Mkuu fanya marekebisho kidogo andika IGP Msaidizi wa Uganda na mlinzi wake wapigwa risasi
 
Wewe ni mpuuzi sana kwa kushabikia tukio kama hilo.
Amani au chuki hutengenezwa.
Watu watatu wameuawa nchini Uganda akiwemo msemaji wa jeshi la polisi nchini humo Bwn. Andrew Felix Kaweesi.

Kaweesi ameuawa mita 100 kutoka nyumbani kwake Kulambiro mjini Kampala na kifo chake kimethibitishwa na msemaji wa ikulu Linda Nabusanyi.

=================

Three people including Police Spokesperson Andrew Felix Kaweesi have been shot dead.
View attachment 482275
Kaweesi and two other police officers were shot dead about 100 metres from his home in Kulambiro, Nakawa Division in Kampala.

Presidential Press Secretary Ms Linda Nabusayi confirmed the incident to our reporter.

"It is true and it's so sad," Ms Nabusayi said when asked to confirm whether Mr Kaweesi was one of the three police officers killed in the Friday morning shooting.

It's not yet clear how Kaweesi was killed but the Inspector General of Police Kale Kayihura and other senior security officers have rushed to the scene to ascertain what could have happened.

Kaweesi who also held the position of director human resource was in August 2016 appointed by IGP Kayihura the special police spokesman as the Force attempted to repair its image tainted by a string of brutality incidents and public relations nightmares.

Mr Kaweesi, whom Gen Kayihura had earlier removed from the Kampala Metropolitan Police command and later from the Directorate of Operations for being “in the media too often”, had been tasked to reclaim the Force’s lost public trust.

Kayihura is expected to address the media about the incident.



Source: monitor.co.ug
 
Wewe ni mpuuzi sana kwa kushabikia tukio kama hilo.
Amani au chuki hutengenezwa.
Watu watatu wameuawa nchini Uganda akiwemo msemaji wa jeshi la polisi nchini humo Bwn. Andrew Felix Kaweesi.

Kaweesi ameuawa mita 100 kutoka nyumbani kwake Kulambiro mjini Kampala na kifo chake kimethibitishwa na msemaji wa ikulu Linda Nabusanyi.

=================

Three people including Police Spokesperson Andrew Felix Kaweesi have been shot dead.
View attachment 482275
Kaweesi and two other police officers were shot dead about 100 metres from his home in Kulambiro, Nakawa Division in Kampala.

Presidential Press Secretary Ms Linda Nabusayi confirmed the incident to our reporter.

"It is true and it's so sad," Ms Nabusayi said when asked to confirm whether Mr Kaweesi was one of the three police officers killed in the Friday morning shooting.

It's not yet clear how Kaweesi was killed but the Inspector General of Police Kale Kayihura and other senior security officers have rushed to the scene to ascertain what could have happened.

Kaweesi who also held the position of director human resource was in August 2016 appointed by IGP Kayihura the special police spokesman as the Force attempted to repair its image tainted by a string of brutality incidents and public relations nightmares.

Mr Kaweesi, whom Gen Kayihura had earlier removed from the Kampala Metropolitan Police command and later from the Directorate of Operations for being “in the media too often”, had been tasked to reclaim the Force’s lost public trust.

Kayihura is expected to address the media about the incident.



Source: monitor.co.ug
 
Nchi hii nzuri inaendelea kunajisiwa na visasi vya umwagaji damu kitu kitakachoongeza muda wa utulivu kuchelewa wakati palishaanza kuwa na matumaini makubwa ya amani!
 
Hii hali tunaweza kuizungumzia kwa kawaida sana lakini ninachoweza kufikiri ni wanasiasa kutufikisha hapa tulipo,Tanzania sisalama kivile kuona matukio yanayotukia nchi za wenzetu hayawezi kutukia kwetu,nayaona matukio kama hayo yakijongea kwa kasi ya ajabu sana.

Tuombe Mungu amwongezee hekima igweee wetu abadirike lakini akiendelea kwa mwendo huo miaka mitano mingi sana .
 
Back
Top Bottom