jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,293
Apumzike kwa amani
Watu wana hasira hata hap mnaowatuma
Watu wana hasira hata hap mnaowatuma
Weka vizuri Title ya post mkuu..
uwe makini basi dogo uwekepo na angalizo
afu heading imalizie kabisa ieleweke
dah apumzike anapostahili, hiyo ni alarm kwa watawala wetu piaWeka vizuri Title ya post mkuu..
ame-ieditTitle mbona haina shida wakuu
Kwa nchi ambayo haitendi haki kwa wananchi wake mambo kama hayo huwezi yaepuka,rejea wakati wa uchaguzi na yule mfalme mmoja ambaye polisi nchini humo walivamia nyumbani kwake.Duuuh unyama hatarii
Amani au chuki hutengenezwa.Wewe ni mpuuzi sana kwa kushabikia tukio kama hilo.
Watu watatu wameuawa nchini Uganda akiwemo msemaji wa jeshi la polisi nchini humo Bwn. Andrew Felix Kaweesi.
Kaweesi ameuawa mita 100 kutoka nyumbani kwake Kulambiro mjini Kampala na kifo chake kimethibitishwa na msemaji wa ikulu Linda Nabusanyi.
=================
Three people including Police Spokesperson Andrew Felix Kaweesi have been shot dead.
View attachment 482275
Kaweesi and two other police officers were shot dead about 100 metres from his home in Kulambiro, Nakawa Division in Kampala.
Presidential Press Secretary Ms Linda Nabusayi confirmed the incident to our reporter.
"It is true and it's so sad," Ms Nabusayi said when asked to confirm whether Mr Kaweesi was one of the three police officers killed in the Friday morning shooting.
It's not yet clear how Kaweesi was killed but the Inspector General of Police Kale Kayihura and other senior security officers have rushed to the scene to ascertain what could have happened.
Kaweesi who also held the position of director human resource was in August 2016 appointed by IGP Kayihura the special police spokesman as the Force attempted to repair its image tainted by a string of brutality incidents and public relations nightmares.
Mr Kaweesi, whom Gen Kayihura had earlier removed from the Kampala Metropolitan Police command and later from the Directorate of Operations for being “in the media too often”, had been tasked to reclaim the Force’s lost public trust.
Kayihura is expected to address the media about the incident.
Source: monitor.co.ug
Amani au chuki hutengenezwa.Wewe ni mpuuzi sana kwa kushabikia tukio kama hilo.
Watu watatu wameuawa nchini Uganda akiwemo msemaji wa jeshi la polisi nchini humo Bwn. Andrew Felix Kaweesi.
Kaweesi ameuawa mita 100 kutoka nyumbani kwake Kulambiro mjini Kampala na kifo chake kimethibitishwa na msemaji wa ikulu Linda Nabusanyi.
=================
Three people including Police Spokesperson Andrew Felix Kaweesi have been shot dead.
View attachment 482275
Kaweesi and two other police officers were shot dead about 100 metres from his home in Kulambiro, Nakawa Division in Kampala.
Presidential Press Secretary Ms Linda Nabusayi confirmed the incident to our reporter.
"It is true and it's so sad," Ms Nabusayi said when asked to confirm whether Mr Kaweesi was one of the three police officers killed in the Friday morning shooting.
It's not yet clear how Kaweesi was killed but the Inspector General of Police Kale Kayihura and other senior security officers have rushed to the scene to ascertain what could have happened.
Kaweesi who also held the position of director human resource was in August 2016 appointed by IGP Kayihura the special police spokesman as the Force attempted to repair its image tainted by a string of brutality incidents and public relations nightmares.
Mr Kaweesi, whom Gen Kayihura had earlier removed from the Kampala Metropolitan Police command and later from the Directorate of Operations for being “in the media too often”, had been tasked to reclaim the Force’s lost public trust.
Kayihura is expected to address the media about the incident.
Source: monitor.co.ug