Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Bundi mwenzangu usiyejaliwa usingizi umejifunza nini ?Ni baada ya kupokea rushwa na kuwa ahidi atawapa tender alaf mambo yakawa ndivyo sivyo
Na hapo ndipo nlijifunza kitu kikubwaaa sana
. https://youtu.be/03XZUEneHac
"Rushwa ni adui mkubwa wa haki" kama wange fanikiwa kupata tender hiyo hakika wangefanya kwa kiwango cha chini ya kiwango kwa sababu wamebebwa na MTU kwa kumpa rushwa na hana uwezo wa kuuuliza kwa sababu anajua chake kashakichua tyrBundi mwenzangu usiyejaliwa usingizi umejifunza nini ?
Wamejidhalilisha imefikia mpaka tunasema WAPIGWE TU.Mchina anapata wapi ujasiri wa kumpiga waziri halali wa taifa la kigeni? Napata shaka miaka kadhaa ijayo waafrika watafutika barani humu badala yake wachina watachukua nafasi
Nakubaliana na wewe, ndiyo maana naingiwa na woga, maana nguvu wanayopewa wachina na viongozi wa bara hii itapelekea kufutika kwa mtu mweusiWamejidhalilisha imefikia mpaka tunasema WAPIGWE TU.
aaah Mzee pesa ni kitu kingne kabisaKuna vijana pale TSNROADS mjini wanazipiga hela za wachina ni balaa. Wakienda kukagua barabara mikoani wanarudi na viroba vya hela. Nashangaa TAKURUKURU hawalitambui hili ilhali wanspitia barabara na madaraja hayo hayo
We hujui kuwa hizo pesa mchina alizotoa akirudi kwao watamnyonga?Mchina anapata wapi ujasiri wa kumpiga waziri halali wa taifa la kigeni? Napata shaka miaka kadhaa ijayo waafrika watafutika barani humu badala yake wachina watachukua nafasi
Hii siyo uwongo. Wachina wanaamini sana katika rushwa. Na wakiishatoa rushwa hawana adabu kabisa.Mchina anapata wapi ujasiri wa kumpiga waziri halali wa taifa la kigeni? Napata shaka miaka kadhaa ijayo waafrika watafutika barani humu badala yake wachina watachukua nafasi
Rubbish. Wananyongwa wakifanya huko kwao. Huku wametumwa kutafuta kwa niaba ya taifa lao.We hujui kuwa hizo pesa mchina alizotoa akirudi kwao watamnyonga?