Uganda kumuenzi Iddi amin je historia ilipindishwa?

jerryempire

JF-Expert Member
Jan 4, 2017
5,127
8,640
Habari wana jamvi,

Niende kwenye mada hasa nikibase kwenye historia ya idd amin aliyekuwa rais wa uganda.
Historia inamtafsiri iddi amin kama raisi katili kutokea katoka katika nchi ya uganda ambae alitolewa kwa mapinduzi na majeshi ya Tanzania baada ya kuvamia mkoa wa kagera na kudai kuwa ni sehemu ya Uganda,na kukimbilia uhamishoni saudi arabia hadi pale kifo kilipompata mwaka 2003.Vyombo vya kimataifa vilimtangaza idd amin kama raisi katili Africa kiasi cha kutungiwa mpaka filamu zenye kuonyesha ukatili wa kutisha wa amin mpka kufikia hatua ya kula nyama za watu.
Leo hii serikali ya Uganda inafanya maadhimisho ya kumkumbuka raisi Idd amin kama raisi shujaa na mwanamapinduzi ambae na mwanaharakati ambae alipigania wananchi wake katika kupata maendeleo yao.
Shirika la BBC swahili limekutana na watu ambao walikuwa wakifanya kazi na kuishi ndani ya serikali ya Idd amini na kumsifia kuwa alikuwa ni raisi mwenye huruma na wananchi wake isipokuwa kulikuwa na baadhi ya askari wake waliokuwa wanatumia vibaya madaraka waliyopewa na idd amini,hivyo serikali na umoja huo wa watu waliokuwepo kwenye utawala wa idd amin wamezindua maadhimisho/maonyesho yakiambatana na makumbusho ambayo itakuwa inatoa historia halisi ya rais idd amin kama raisi shujaa wa nchi ya Uganda

Je historia ya rais Idd amin wa Uganda na kisa halisi cha vita ya kagera vilipindishwa?
20190829_220716.jpeg
 
Kila mtu ana mazuri na mabaya yake, kinachomfanya kiongozi aonekane mzuri ni pale anapofanya mambo yanayowafurahisha wengi japo kuwa huwa kuna wachache wanachukia na pia ataonekana mbaya kwa kuwaudhi wengi japo pia kutakuwa na wachane wanaofuraia.

Kwa mujibu wa andiko lako hao wanaofanya sherehe ni wale waliokuwa wakinufaika na uongozi wake, hii haiondoi dhana ya ukatili aliokuwa nao katika kipindi chake cha uongozi. Lakini pia kwa asili ya binadamu huwezi kuchukiwa na kila mtu. hata Hitla alikuwa na wapendwa wake.
 
Habari wana jamvi,

Niende kwenye mada hasa nikibase kwenye historia ya idd amin aliyekuwa rais wa uganda.
Historia inamtafsiri iddi amin kama raisi katili kutokea katoka katika nchi ya uganda ambae alitolewa kwa mapinduzi na majeshi ya Tanzania baada ya kuvamia mkoa wa kagera na kudai kuwa ni sehemu ya Uganda,na kukimbilia uhamishoni saudi arabia hadi pale kifo kilipompata mwaka 2003.Vyombo vya kimataifa vilimtangaza idd amin kama raisi katili Africa kiasi cha kutungiwa mpaka filamu zenye kuonyesha ukatili wa kutisha wa amin mpka kufikia hatua ya kula nyama za watu.
Leo hii serikali ya Uganda inafanya maadhimisho ya kumkumbuka raisi Idd amin kama raisi shujaa na mwanamapinduzi ambae na mwanaharakati ambae alipigania wananchi wake katika kupata maendeleo yao.
Shirika la BBC swahili limekutana na watu ambao walikuwa wakifanya kazi na kuishi ndani ya serikali ya Idd amini na kumsifia kuwa alikuwa ni raisi mwenye huruma na wananchi wake isipokuwa kulikuwa na baadhi ya askari wake waliokuwa wanatumia vibaya madaraka waliyopewa na idd amini,hivyo serikali na umoja huo wa watu waliokuwepo kwenye utawala wa idd amin wamezindua maadhimisho/maonyesho yakiambatana na makumbusho ambayo itakuwa inatoa historia halisi ya rais idd amin kama raisi shujaa wa nchi ya Uganda

Je historia ya rais Idd amin wa Uganda na kisa halisi cha vita ya kagera vilipindishwa?View attachment 1193044

wazungu bwana wameona bora kuja kwa jirani ilimradi tu .... wazungu ni kama waswahili fulani ambao hata mtu hakikulenga hata zunguka sana
 
Aliopo sasa hivi ana viashiria vya Amini anachofanya sasa ni ku neutralize historia mbaya ya Amini ili kuwapa uhalali wa afanyayo au atarajiayo kufanya!

Usishangae kikosi kimojawapo cha chombo cha usalama nchini humo kupewa jina la Idd Amin Dada!
 
Aliopo sasa hivi ana viashiria vya Amini anachofanya sasa ni ku neutralize historia mbaya ya Amini ili kuwapa uhalali wa afanyayo au atarajiayo kufanya!

Usishangae kikosi kimojawapo cha chombo cha usalama nchini humo kupewa jina la Idd Amin Dada!
M7 ameshaishiwa mbinu za kisiasa...sasa baada ya kugundua kwamba Amini nimaarufu sanaa ndani ya Uganda hususani jamii ya Arua na mpizani wake Bobwine amaahidi kurudisha mabaki yake kutoka Saudi arabia ili azikwe upya na awekewe kumbumbu kama raisi bora Uganda m7 ameanza kuhaha eti nayeye anampenda sana wakati alizuia hata maiti yake isilejeshwe nchini uganda. Mda wa huyu Dictetor umeisha Waganda wanahitaji wamabadiliko.....
 
M7 ameshaishiwa mbinu za kisiasa...sasa baada ya kugundua kwamba Amini nimaarufu sanaa ndani ya Uganda hususani jamii ya Arua na mpizani wake Bobwine amaahidi kurudisha mabaki yake kutoka Saudi arabia ili azikwe upya na awekewe kumbumbu kama raisi bora Uganda m7 ameanza kuhaha eti nayeye anampenda sana wakati alizuia hata maiti yake isilejeshwe nchini uganda. Mda wa huyu Dictetor umeisha Waganda wanahitaji wamabadiliko.....
nimeshangaa mwenyewe
 
India wanamuenzi Ghandhi ila ni kiongozi aliyetawala kwa mkono wa chuma sawasawa na Mao Tse Tung na wengine wengi.
 
Iddy Amin ni Adolf Hitler wa Uganda

Wanyonge wa huko wanawakumbuka sana Vichwa hivi vilivyong’olewa na mabeberu kwa msaada wa Wasaliti wachache
 
Habari wana jamvi,

Niende kwenye mada hasa nikibase kwenye historia ya idd amin aliyekuwa rais wa uganda.
Historia inamtafsiri iddi amin kama raisi katili kutokea katoka katika nchi ya uganda ambae alitolewa kwa mapinduzi na majeshi ya Tanzania baada ya kuvamia mkoa wa kagera na kudai kuwa ni sehemu ya Uganda,na kukimbilia uhamishoni saudi arabia hadi pale kifo kilipompata mwaka 2003.Vyombo vya kimataifa vilimtangaza idd amin kama raisi katili Africa kiasi cha kutungiwa mpaka filamu zenye kuonyesha ukatili wa kutisha wa amin mpka kufikia hatua ya kula nyama za watu.
Leo hii serikali ya Uganda inafanya maadhimisho ya kumkumbuka raisi Idd amin kama raisi shujaa na mwanamapinduzi ambae na mwanaharakati ambae alipigania wananchi wake katika kupata maendeleo yao.
Shirika la BBC swahili limekutana na watu ambao walikuwa wakifanya kazi na kuishi ndani ya serikali ya Idd amini na kumsifia kuwa alikuwa ni raisi mwenye huruma na wananchi wake isipokuwa kulikuwa na baadhi ya askari wake waliokuwa wanatumia vibaya madaraka waliyopewa na idd amini,hivyo serikali na umoja huo wa watu waliokuwepo kwenye utawala wa idd amin wamezindua maadhimisho/maonyesho yakiambatana na makumbusho ambayo itakuwa inatoa historia halisi ya rais idd amin kama raisi shujaa wa nchi ya Uganda

Je historia ya rais Idd amin wa Uganda na kisa halisi cha vita ya kagera vilipindishwa?View attachment 1193044
Tanzania tulilishwa sumu kuhusu idd Amin cha kushangaza kuna waganda ukiwauliza kuhusu idd amini wanamzungumzia in a positive way lkn Tanzania tunamuita nduli wakati hata hatukuwai kuishi Uganda .nilichojifunza watanzania sio watu wakufanyia utafiti mambo ukishawaambia kitu wao wanakichukua kama kilivyo wanakariri sana
 
yaani kwamba jambazi kaingia ndani kwako kashika bunduki kwambaa ufanyike utafiti
au kwamba wewe ni wakike alafu kibaka kakuvamia kwako mkononi ana ndomu kwamba utahitaji utafiti wa kitakachokukuta
Tanzania tulilishwa sumu kuhusu idd Amin cha kushangaza kuna waganda ukiwauliza kuhusu idd amini wanamzungumzia in a positive way lkn Tanzania tunamuita nduli wakati hata hatukuwai kuishi Uganda .nilichojifunza watanzania sio watu wakufanyia utafiti mambo ukishawaambia kitu wao wanakichukua kama kilivyo wanakariri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaani kwamba jambazi kaingia ndani kwako kashika bunduki kwambaa ufanyike utafiti
au kwamba wewe ni wakike alafu kibaka kakuvamia kwako mkononi ana ndomu kwamba utahitaji utafiti wa kitakachokukuta

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe naye ndo walewale! Kuelewa jambo simple km hili mpaka uwe rocket scientist?

Ukiambiwa utafiti basi unafikiria ma volume na ma-volume!
Si bora ungenyamaza tuu!
 
Dogo alionewa sana.
Hasa alipokwenda kinyume na wayahudi waliomuweka madarakani akajinyea kabisaa!

Muislam pekee Africa aliye fundishwa na israel kuwageuka waislam wa Sudan kaskazin na wapalestina,

Akafanya kinyume,... Western media wakamwita majina yote mabaya. Kila kukicha,

Mbaya zaidi akamwaga damu ya wayahudi ktk ardhi ya Uganda kwa mgongo PLFP ,

Km kawaida yao, Damu yao haimwagikagi bure lazma ilipwe, Tangia hapo dogo hakuinuka tena.
 
Tanzania tulilishwa sumu kuhusu idd Amin cha kushangaza kuna waganda ukiwauliza kuhusu idd amini wanamzungumzia in a positive way lkn Tanzania tunamuita nduli wakati hata hatukuwai kuishi Uganda .nilichojifunza watanzania sio watu wakufanyia utafiti mambo ukishawaambia kitu wao wanakichukua kama kilivyo wanakariri sana
Wewe ndiyo ulilishwa hiyo sumu. Sisi tulipinga hata vitani babu yangu hakwenda
 
Vijana wa Tanzania siku hizi wanaendekeza sana stori za vijiweni, kuna mahali mmoja nilimsoma kaandika eti Idd Amini alikuwa mzalendo na mpigania haki wa Afrika!!

Idd Amin alikuwa muovu, ndio maana aliondolewa na wakanda wakati wake walishangilia sana alipoondolewa! Walipanga mistari kuyalaki majeshi ya Tanzania yalipoingia Uganda.

Stori za kina MS zinazidi kuwapofua macho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nakushauri tu...
Kafanye utafiti wa kweli, Idd Amini alikuwa mshenzi kabisa! Usiendekeze dini sana utakuja kufa ukiwa na ufahamu mdogo sana
Tanzania tulilishwa sumu kuhusu idd Amin cha kushangaza kuna waganda ukiwauliza kuhusu idd amini wanamzungumzia in a positive way lkn Tanzania tunamuita nduli wakati hata hatukuwai kuishi Uganda .nilichojifunza watanzania sio watu wakufanyia utafiti mambo ukishawaambia kitu wao wanakichukua kama kilivyo wanakariri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom