#COVID19 Uganda kumuenzi iddi amin je historia ilipindishwa?

Idd amin dada mla nyama za watu..
Muua mtoto wake mwenyewe.
Kawamwaga watu mto wa mamba.
Kaua ndugu zetu wa kagera na mabomu yake.

Huyu boya tulitakiwa kumdaka tukamfunga bongo hapa hapa akawa analima na kuchunga ng'ombe.
Duh anakula nyama za watu?? Hizi propaganda za Nyerere naona zilibrainwash sana akili za watanganyika.
 
Mimi Nina ndugu waganda hakuna hata mmoja anayemlaani IDD amini ni huku tu ndiyo kuna sumu.
 
Habari wana jamvi,

Niende kwenye mada hasa nikibase kwenye historia ya Idd Amin aliyekuwa Rais wa Uganda.
Historia inamtafsiri Iddi Amin kama raisi katili kutokea katoka katika nchi ya Uganda ambae alitolewa kwa mapinduzi na majeshi ya Tanzania baada ya kuvamia mkoa wa Kagera na kudai kuwa ni sehemu ya Uganda, na kukimbilia uhamishoni Saudi Arabia hadi pale kifo kilipompata mwaka 2003. Vyombo vya kimataifa vilimtangaza Idd Amin kama Rais katili Africa kiasi cha kutungiwa mpaka filamu zenye kuonyesha ukatili wa kutisha wa Amin mpaka kufikia hatua ya kula nyama za watu.

Leo hii serikali ya Uganda inafanya maadhimisho ya kumkumbuka Rais Idd Amin kama Rais shujaa na mwanamapinduzi ambae na mwanaharakati ambae alipigania wananchi wake katika kupata maendeleo yao.

Shirika la BBC swahili limekutana na watu ambao walikuwa wakifanya kazi na kuishi ndani ya serikali ya Idd Amini na kumsifia kuwa alikuwa ni Rais mwenye huruma na wananchi wake isipokuwa kulikuwa na baadhi ya askari wake waliokuwa wanatumia vibaya madaraka waliyopewa na Idd Amini, hivyo serikali na umoja huo wa watu waliokuwepo kwenye utawala wa Idd Amin wamezindua maadhimisho/maonyesho yakiambatana na makumbusho ambayo itakuwa inatoa historia halisi ya Rais Idd Amin kama Rais shujaa wa nchi ya Uganda

Je historia ya Rais Idd Amin wa Uganda na kisa halisi cha vita ya Kagera vilipindishwa?
View attachment 1193038
Ukiwa Uganda usimseme vibaya Idd Amin Dada (aliitwa Dada kwa sababu tulipokuwa naye mafunzo ya kijeshi Kenya, alipenda sana kutoroka kambini na akirejea alikuwa lazima aje na mwanamke, akiulizwa anasema huyu Dada yangu, so jina akawa Idd Amin Dada). Pia kuna generation ya waganda hawapendi kiswahili kwa sababu majeshi ya Amin na ya Tz yalitumia kiswahili kubaka/kuiba etc,
 
Ukiwa Uganda usimseme vibaya Idd Amin Dada (aliitwa Dada kwa sababu tulipokuwa naye mafunzo ya kijeshi Kenya, alipenda sana kutoroka kambini na akirejea alikuwa lazima aje na mwanamke, akiulizwa anasema huyu Dada yangu, so jina akawa Idd Amin Dada). Pia kuna generation ya waganda hawapendi kiswahili kwa sababu majeshi ya Amin na ya Tz yalitumia kiswahili kubaka/kuiba etc,
Nilishangaa sana kuna kipindi nilikuwa Kampala, kuna jamaa mmoja Mganda anamsifia Idi Amin sana kwamba alikuwa anawawezesha wazalendo.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Sehemu kubwa ya wilaya ya misenyi ni Uganda hata kule wanaongea kiganda
aMipaka iliwekwa na wakoloni.ili baki hiohio kufanana lugha sio kigezo cha kuwa was huko.

Kwa logic yako kaskazini ya msumbiji wa kuwa wanaongea kimakonde basi ni Tanzania

Au makabila za Zambia ya juu yanayoongea kinyakyusa tuseme no Tanzania ...
Au nyanza province in Kenya kuria district kwa kuwa wanaongea kikurya basi tuassume ni watanzania au vice versa. That is madness the only thing that matters ni borders na amin Ali invade borders hio ni act of war hakuna excuse hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimebahatika kuishi uganda miaka 5..
Iddi amini hajawahi kuwa adui kwa waganda wenzake.. Ni raisi pekee aliyefanya mabadiriko makuubwa ya kimaendeleo kwa juhudi kubwa kuliko raisi yeyote kipindi kile..

Alitanua barabara na kuzirekebisha vizuur saana.
Aliweka kipaumbele wananchi wake katika suala zima la ajira na maendeleo.
Alichukia unyanyasaji wa wawekezaji toka mataifa makubwa.
Alipunguza kodi zoote zisizokuwa za msingi.


Iddi amini alikuwa na ugomvi na mataifa makubwa na ndio waliopandikiza propaganda hadi tukawa tunaimbishwa nyimbo mashulen ili kumchukia huyu... Na ilikuwa ni kwa nia nzuuri tu ya kutujengea spirit ya kumshinda adui yetu....
Swali je hakuvamia Tanzania ?

Na kama alivamia mlitakaje nyie wapambe wake tumuache huku askari wake wakibaka mama zetu,Dada zetu pale kagera na kuua watu wasiokuwa na hatia ??

Maana mnaongea tu as if alikuwa MTU mwema sanaa
Amin Ali kuwa mpuuzi mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muwe mnatumia walau muda wenu kidogo kutafuta ukweli wa mambo badala ya kuziachia akili zenu kulishwa ujinga na kuamini ujinga huo ndiyo ukweli. Haya uliyoandika ni upuuzi mtupu na msomi yeyote hawezi kuandika upuuzi huu.
Wewe mpambe tupe historia ya amin unayoifahamu??

Yani watu mnajidai mnaakili nyingi sana kumbe hamna kitu.

Fact ni kwamba mpuuzi amin alituvamia kijeshi,akaaharibu miundo mbinu yetu, askari wake walifanya ubakaji wa mama zetu na Dada zetu wa kagera na Dawa yake ilikuwa moja tu kumtoaa madarakani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mtwa mkulu,

Mbona wengine huwataji waliodhulumu mali za watu kwa kisingizio cha utaifishaji na kuwaweka watu kizuizini bila ya hatia na wengine kupotezwa, kuminya demokrasia na utawala bora kwa miaka 24 aliyotawala, kuiingiza nchi kwenye umaskini mkubwa kwa sera mbovu za ujamaa na kujitegemea na mengine mengi mabaya. Wewe unaona ya Amin tu?! Acha unafiki.
Wewe ni wale kikundi cha kidini wapinga nyerere mnajulikana mbona.MTU kama wewe kuwekwa kizuizini ni haki sababu upo radhi kumsaidia adui wa nchi yako kwa vigezo vya dini au ujinga wenu mwengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wana jamvi,

Niende kwenye mada hasa nikibase kwenye historia ya Idd Amin aliyekuwa Rais wa Uganda.
Historia inamtafsiri Iddi Amin kama raisi katili kutokea katoka katika nchi ya Uganda ambae alitolewa kwa mapinduzi na majeshi ya Tanzania baada ya kuvamia mkoa wa Kagera na kudai kuwa ni sehemu ya Uganda, na kukimbilia uhamishoni Saudi Arabia hadi pale kifo kilipompata mwaka 2003. Vyombo vya kimataifa vilimtangaza Idd Amin kama Rais katili Africa kiasi cha kutungiwa mpaka filamu zenye kuonyesha ukatili wa kutisha wa Amin mpaka kufikia hatua ya kula nyama za watu.

Leo hii serikali ya Uganda inafanya maadhimisho ya kumkumbuka Rais Idd Amin kama Rais shujaa na mwanamapinduzi ambae na mwanaharakati ambae alipigania wananchi wake katika kupata maendeleo yao.

Shirika la BBC swahili limekutana na watu ambao walikuwa wakifanya kazi na kuishi ndani ya serikali ya Idd Amini na kumsifia kuwa alikuwa ni Rais mwenye huruma na wananchi wake isipokuwa kulikuwa na baadhi ya askari wake waliokuwa wanatumia vibaya madaraka waliyopewa na Idd Amini, hivyo serikali na umoja huo wa watu waliokuwepo kwenye utawala wa Idd Amin wamezindua maadhimisho/maonyesho yakiambatana na makumbusho ambayo itakuwa inatoa historia halisi ya Rais Idd Amin kama Rais shujaa wa nchi ya Uganda

Je historia ya Rais Idd Amin wa Uganda na kisa halisi cha vita ya Kagera vilipindishwa?
View attachment 1193038
hiii ilikuwa kwetu TU kama angekuwa mla nyama za watu na muuwa wapinzani hakika Amin angepelekwa mahakama za haki ya binadamu ! why mpaka leo Amini ana kesi popote pale? nyerere alitulisha matango pori kuwa Amini anawapiga misumari wahasimu wake n.k
 
Duh anakula nyama za watu?? Hizi propaganda za Nyerere naona zilibrainwash sana akili za watanganyika.
Hivi vitu vingine ilikuwa ni kuwapa watu morale ya kivita tu

Hamna kitabu cha historia serious kabisa kimeandika amin Ali kuwa anakula nyama za watu.

Mkuu kama umeenda jeshi hats jkt tu nadhani utaona kuna nyimbobhazina maana ila ni kuboost morale tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom