#COVID19 Uganda kumuenzi iddi amin je historia ilipindishwa?

Nimebahatika kuishi uganda miaka 5..
Iddi amini hajawahi kuwa adui kwa waganda wenzake.. Ni raisi pekee aliyefanya mabadiriko makuubwa ya kimaendeleo kwa juhudi kubwa kuliko raisi yeyote kipindi kile..

Alitanua barabara na kuzirekebisha vizuur saana.
Aliweka kipaumbele wananchi wake katika suala zima la ajira na maendeleo.
Alichukia unyanyasaji wa wawekezaji toka mataifa makubwa.
Alipunguza kodi zoote zisizokuwa za msingi.


Iddi amini alikuwa na ugomvi na mataifa makubwa na ndio waliopandikiza propaganda hadi tukawa tunaimbishwa nyimbo mashulen ili kumchukia huyu... Na ilikuwa ni kwa nia nzuuri tu ya kutujengea spirit ya kumshinda adui yetu....
Napna hujui chochote kuhusu Uganda na unaongea usichokijua wakati wa utawala wake Uchumi wa nchi hiyo ulidolola kwa kiwango kikubwa kabisa,Hata historia inasema hivyo sasa wewe unayepingana na historia endelea kumwabudu IDD AMIN!!! Na ukweli utabaki kuwa yeye alikuwa ni Dicteta wa kutupwa ndyo maana hata waganda wenyewe walikataa kumleta kuzikwa nyumbani na kama angekuwa anapendwa basi tungeona dalili za kupendwa labda ndugu zake ndiyo walikuwa wanampenda lakini historia inamsema yeye ni Dicteta.
 
Basi tujuze wewe kwanini waganda wanamuenzi,wanamtaja

His Excellency, President for Life, Field Marshal Al Hadji Doctor Idi Amin Dada, VC, DSO, MC, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular

Obote
Yussuf Lulle
Binaisa
Paul Muwanga
Tito Okello Field Marshall

Kwanini wasiwataje hawa hapo juu wote walipata kuwa viongozi baada ya kupinduliwa Amin
Napna hujui chochote kuhusu Uganda na unaongea usichokijua wakati wa utawala wake Uchumi wa nchi hiyo ulidolola kwa kiwango kikubwa kabisa,Hata historia inasema hivyo sasa wewe unayepingana na historia endelea kumwabudu IDD AMIN!!! Na ukweli utabaki kuwa yeye alikuwa ni Dicteta wa kutupwa ndyo maana hata waganda wenyewe walikataa kumleta kuzikwa nyumbani na kama angekuwa anapendwa basi tungeona dalili za kupendwa labda ndugu zake ndiyo walikuwa wanampenda lakini historia inamsema yeye ni Dicteta.
 
Kwani ni nchi gani ambayo uchumi ulikuwa imara kipindi cha iddi amini.. Kwa east africa and central.

Tatizo lako kila anayesema ukweli unadhan na ye anampenda iddi amini.

Unahangaika na historia bila kujua kuwa mara zoote historia huandikwa na mshindi.
Na yeye ndio ataamua asimulie nin.

Mimi nakwambia kitu nlichokiona kwa macho na kupata ushahidi bahadhi... Utaendelea kufata upepo hadi lini.. Kila kitu we ni kusoma soma tu
Napna hujui chochote kuhusu Uganda na unaongea usichokijua wakati wa utawala wake Uchumi wa nchi hiyo ulidolola kwa kiwango kikubwa kabisa,Hata historia inasema hivyo sasa wewe unayepingana na historia endelea kumwabudu IDD AMIN!!! Na ukweli utabaki kuwa yeye alikuwa ni Dicteta wa kutupwa ndyo maana hata waganda wenyewe walikataa kumleta kuzikwa nyumbani na kama angekuwa anapendwa basi tungeona dalili za kupendwa labda ndugu zake ndiyo walikuwa wanampenda lakini historia inamsema yeye ni Dicteta.
 
Basi tujuze wewe kwanini waganda wanamuenzi,wanamtaja

His Excellency, President for Life, Field Marshal Al Hadji Doctor Idi Amin Dada, VC, DSO, MC, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular

Obote
Yussuf Lulle
Binaisa
Paul Muwanga
Tito Okello Field Marshall

Kwanini wasiwataje hawa hapo juu wote walipata kuwa viongozi baada ya kupinduliwa Amin
Kwanza kwa mihemko yake sidhan km hao akina lulle... Binaisa ashawahi hata kuwasikia dadek...

Maana waliomuandikia kitaabu hawakamuandikia izo mambo.
 
Kwani ni nchi gani ambayo uchumi ulikuwa imara kipindi cha iddi amini.. Kwa east africa and central.

Tatizo lako kila anayesema ukweli unadhan na ye anampenda iddi amini.

Unahangaika na historia bila kujua kuwa mara zoote historia huandikwa na mshindi.
Na yeye ndio ataamua asimulie nin.

Mimi nakwambia kitu nlichokiona kwa macho na kupata ushahidi bahadhi... Utaendelea kufata upepo hadi lini.. Kila kitu we ni kusoma soma tu
Endelea kuwa mjinga!!!Shule zote lazima somo la Historia lazima liwepo wewe mbulula wa wapi usiyejua historia hata ya nchi yako??Wewe endelea kumuenzi asiye enzika.Uganda hata maiti yake tu walikataa kuiruhusu kuingia nchini mwao kuzikwa harafu wewe unakuja hapa Unabwabwaha ovyo!!!Wadanganye Mbulula wenzako wasijua kitu!!!.
 
Basi tujuze wewe kwanini waganda wanamuenzi,wanamtaja

His Excellency, President for Life, Field Marshal Al Hadji Doctor Idi Amin Dada, VC, DSO, MC, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular

Obote
Yussuf Lulle
Binaisa
Paul Muwanga
Tito Okello Field Marshall

Kwanini wasiwataje hawa hapo juu wote walipata kuwa viongozi baada ya kupinduliwa Amin
Hakuna popote IDD AMIN alienziwa nchini Uganda kama wewe unajua basi lete hapa source ya habari yako tujue na sisi.Nijuavyo mimi ni mjukuu wake tu ndiye aliiomba serikari ya Uganda imuenzi Babu yake.
 
dah namkubali saaana idd amin alikua ni mtu mtoto wangu wa kwanza anaitwa idd amin
 
Hakuna popote IDD AMIN alienziwa nchini Uganda kama wewe unajua basi lete hapa source ya habari yako tujue na sisi.Nijuavyo mimi ni mjukuu wake tu ndiye aliiomba serikari ya Uganda imuenzi Babu yake.
"Hakuna popote" maana yake nini mbona mnapenda sana kuongeA ligha hiyo eti "akuna kokote"

Ndio maana tinasema ana mabaya yake na maazuri pia hawa hapa wanaongea hapa ni waganda

 
"Hakuna popote" maana yake nini mbona mnapenda sana kuongeA ligha hiyo eti "akuna kokote"

Ndio maana tinasema ana mabaya yake na maazuri pia hawa hapa wanaongea hapa ni waganda


Ujinga ni mzigo ukifunguliwa msikiti kwa jina lako ndiyo Taifa limekuenzi???Acha umbumbumbu wewe!!!!
 
Ujinga ni mzigo ukifunguliwa msikiti kwa jina lako ndiyo Taifa limekuenzi???Acha umbumbumbu wewe!!!!
Oh oh !!!!! nitaishia hapo naona tatizo ni lugha pia hapo siwezi kukusaidia pole sana

Watakaopitia hiyo clip watasoma nani mjinga kati ya mi na wewe.

We si umesema hakuna popote . Mjomba vipi tena ?
 
Ujinga ni mzigo ukifunguliwa msikiti kwa jina lako ndiyo Taifa limekuenzi???Acha umbumbumbu wewe!!!!
Usitoke povu bila shida. Hata mimi sio mganda. Ila ana kundi kubwa tu linamkubali kinoma mpaka leo. Hiyp Clip iko wazi kwamba kuna mabaya kafanya na mazuri yapo. Na hao ni waganda wanaongea hapo walikuwepo kipindi cha
Amin. Au ulitaka mpaka M7 atangaze.
Hiyo tosha kwamba Field Marshall ana enziwa kule UG hata kama hutaki wewe au humkubali.Pole sana

Pia nimeona huna bando umesoma tu kichwa cha habari.
 
Mbona wengine huwataji waliodhulumu mali za watu kwa kisingizio cha utaifishaji na kuwaweka watu kizuizini bila ya hatia na wengine kupotezwa, kuminya demokrasia na utawala bora kwa miaka 24 aliyotawala, kuiingiza nchi kwenye umaskini mkubwa kwa sera mbovu za ujamaa na kujitegemea na mengine mengi mabaya. Wewe unaona ya Amin tu?! Acha unafiki.
Nifundishe kitu ndugu yangu.... Kwamba maovu ya mtu mwingine yanamfanya Amin awe msafi?
Labda mi ndo sikuelewa nilidhani mada inayojadiliwa Ni innocence ya Amin kaidada
 
Uhalisia ni kitu kizuri kuliko 'kudhani'.
mtwa mkulu
Makosa makubwa 6 aliyoyafanya IDD AMIN kwenye utawala wake ambayo wananchi wa Uganda na Dunia nzima hawawezi kuyasahau wala kumsamehe wala kum-enzi.
1.1971 Baada tu ya kunyakua madaraka kutoka kwa Dr.Milton Obote alianza kuua wanajeshi wa kabila la Acholi na Langi kwa sababu tu makabila hayo jeshini ndiyo walikuwa wengi na alijua walikuwa wanamuunga mkono Dr Obote.Kwa hali kama hiyo jamii ya makabila hayo hayawezi kabisa kum-enzi na hayawezi ku,sahau kwa unyama aliowafanyia vijana wao.
2.1972 Mwezi Agost IDD AMIN aliwafukuza wananchi wa Uganda wenye asili ya Asia kwa kisingizio cha vita vya kiuchumi na aliwapa siku 90 wawe wameondoka Uganda,Kisha kuwamilikisha jamaa zake biashara kubwakubwa na majumba ya waasia hao aliwagawia jamaa zake kitu kilichokuja kusababisha mdololo wa uchumi maana waliokabidhiwa biashara hizo hawakuwa na ujuzi wa biashara hizo.
3.1973 Mauaji ya watu mashuhuri nchini Uganda yalishamiri watu wenye Elimu waliuliwa kwa visingizio mbalimbali
4.1974-1976 Mauaji ya maafisa wa kijeshi wa Jeshi la Uganda kwa visingizio vya kula njama za kumpindua vilevile alianzisha uhasama na nchi zingine(Annoying Other Countries) Mbali ya Kuanzisha uhasama na nchi ya Tanzania IDD AMIN aliwachokonoa sana Kenya ambao nao walijibu kwa kufunga mpaka wao na Uganda hivyo kusababisha nchi ya Uganda kuzidi kudolola kiuchumi,Ikumbukwe kuwa Bandari ya Mombasa nchini Kenya ndiyo ilikuwa inapitisha mizigo yote ya Uganda hivyo kufungwa kwa mpaka kuliifanya Uganda kuumia kiuchumi na maumivu hayo yaliwaumiza sana wananchi wa kawaida.Kosa lingine kubwa alilolifanya IDD AMIN ni kuruhusu magaidi wa kipalestina waliokuwa wameiteka ndege ya Air France kutua kwenye uwanja wa ndege wa Entebe kitu kilichokuja kusababisha makomandoo wa Israel kuingia nchini humo na kuwakomboa mateka wao na kisha kuziharibu ndege za kijeshi za Uganda MIG-21 zilizokuwa zimeegeshwa hapio uwanjani hivyo kusababisha hasara kubwa sana kwa nchi.
5.1977 Askofu mkuu Janan Luwum aliuwawa na haikupita muda mrefu aliuwawa tena Mkuu wa Polisi OLYEMA
6.1978 Kosa kubwa kanisa alifanya la kuivamia Tanzania na kutangaza mto kagera ndiyo mpaka halali kosa hilo ndilo lililomuondoa madarakani Tarehe 11-04-1979,Maovu kama hayo niliyoyaeleza hapo juu sidhani kama kunaweza kutokea mtu akaamua kumu-enzi labda awe ndugu yake wa damu siamini kama waliweza kumu-enzi kitaifa mtu aliyefanya madudu mengi namna hii.
 
Kenya tulikuwa tunawaita manyang'au sasa hivi hatutumii tena huo usemi kwa wakenya walewale.
 
Napna hujui chochote kuhusu Uganda na unaongea usichokijua wakati wa utawala wake Uchumi wa nchi hiyo ulidolola kwa kiwango kikubwa kabisa,Hata historia inasema hivyo sasa wewe unayepingana na historia endelea kumwabudu IDD AMIN!!! Na ukweli utabaki kuwa yeye alikuwa ni Dicteta wa kutupwa ndyo maana hata waganda wenyewe walikataa kumleta kuzikwa nyumbani na kama angekuwa anapendwa basi tungeona dalili za kupendwa labda ndugu zake ndiyo walikuwa wanampenda lakini historia inamsema yeye ni Dicteta.

Kwani uchumi wa Tanzania enzi hizo ulikuwaje? Au wa Uganda tu ndiyo ulikuwa umedorora?
 
unaweza kuona nonsense but kuna mengi mazuri kuhusu huyu mtu lakini wameyaficha

Mzee, kama hujui ni kwamba historia ina tabia ya kujiandika yenyewe huwa haindikwi kwa kuwa na "yaliyofichwa." Hii tabia ya yetu ya kiswahili kuamini kuwa kila kitu ni conspiracy fulani ya kuficha mambo inatufanya tushindwe kuwa tunasoma na kutambua mambao, badala yake tunategemea kuambiwa tunayopenda kusikia tu, tupoyapenda basi tunasema "tumefichwa ukweli". Soma historia ya Amini imaendikwa sehemu mbalimbali na watu mbalimbali hata wale waliokuwa mawaziri wake, yaani wote walikaa kikao cha kuamua kukuficha wewe ukweli. Katika video hii hata mtoto wake wa kuzaa naye ameonyesha kukiri kuwa kuna mambo ambayo baba yake alifanya mabaya sana, ikiwa ni pamoja na kumuua mke wake, yaani mama wa huyo mtoto.

 
Back
Top Bottom