joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Mnakaa kichwani kwa Uganda kwa kuzuia bidhaa zao " illegally? ", try that to Tanzania muone kitakachowakuta, Jaguar aliporopoka ujinga, Kenya nzima ilitikisika na kulazimisha Uhuru kwenda Chato bila kupendaW
Wacha tukae juu ya kichwa cha Uganda. Si wewe ndiye uliyesema kuwa Uganda wanaweza kupambana na Kenya? Sasa mbona unalialia tunapozaba Uganda makofi?
Sent using Jamii Forums mobile app