babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,071
- 15,928
hahahah Pj acha vituko jamani
Hivi kumbe miaka hiyo ya 1959 walikuwapo warembo hivi!
Walipakaa AMBI nini?
kuna watu wanazimia tege mkuuSijui namatatizo ya MACHO au kwa vile nimependa tayari....sioni kitu hapo juu kawaida mno pozi nyingine kama komedi. Mmoja ana tege kama beki wa taifa stars
...Mmmmmmmh! mambo ya tikiti maji haya......duh!hahahah Pj acha vituko jamani