Ugali wa Rowe unafaa sana kutumiwa na wanajeshi vitani, Chakula asili cha Wamanyema na Waha hapa kwetu Kigoma

Huu ni ugali usioharibika hata ukikaa mwezi mmoja, Ugali huu unaitwa Rowe hapa kwetu Kigoma.

Unatengenezwa kutokana na muhogo, Masharti yake usihifadhiwe kwenye jokofu ama sahani. Unaandaliwa kwa siku 4 mpaka 7.

Ugali wa Rowe baada ya kusongwa unahifadhiwa kwenye majani maalum ya mgomba, unaliwa kwa mboga ama bila mboga, unaweza kusafiri nao popote kwenye begi. Ni chakula cha asili cha watu wa Kigoma hasa kabila la Waha na wamanyema.

Ugali huu ni biashara inayopata umaarufu mkubwa siku hadi siku, magharibi mwa Tanzania na nchi za Rwanda, Burundi na Congo.

View attachment 1831816

View attachment 1831820
Umenikumbusha mbali sana,maeneo ya kumhama,kazura mimba kidahwe,Rusesa n.k huko Kigoma vijinini,nikiwa field work huko tumekula sana,unabeba ugali tuu,huko mbele utakutana na visamaki au nyama za mbuzi za kuchoma,unapiga. sema ni kama mpira/plastic hivi. unakaa saana tumboni huu ugali.ukila unashind umeshiba
 
Huu ni ugali usioharibika hata ukikaa mwezi mmoja, Ugali huu unaitwa Rowe hapa kwetu Kigoma.

Unatengenezwa kutokana na muhogo, Masharti yake usihifadhiwe kwenye jokofu ama sahani. Unaandaliwa kwa siku 4 mpaka 7.

Ugali wa Rowe baada ya kusongwa unahifadhiwa kwenye majani maalum ya mgomba, unaliwa kwa mboga ama bila mboga, unaweza kusafiri nao popote kwenye begi. Ni chakula cha asili cha watu wa Kigoma hasa kabila la Waha na wamanyema.

Ugali huu ni biashara inayopata umaarufu mkubwa siku hadi siku, magharibi mwa Tanzania na nchi za Rwanda, Burundi na Congo.

View attachment 1831816

View attachment 1831820
Nilishawahi kuula huu ugali ila ni kitambo sana.
 
Umeshawahi kuishi jeshini ?!!!

Unadhani jeshini huliwa vyakula vyepesi ?!!!

Jeshi halijaanza JANA.....

Ndani yake Kuna wataalam lukuki wa vyakula ambao hupendekeza VYAKULA VYENYE VIRUTUBISHO MBALIMBALI vikiwemo hivyo vya asili usemavyo.....

#KaziInaendelea
Ahsante sana mtaalamu wa lishe ndani ya jeshi
 
Huu ni ugali usioharibika hata ukikaa mwezi mmoja, Ugali huu unaitwa Rowe hapa kwetu Kigoma.

Unatengenezwa kutokana na muhogo, Masharti yake usihifadhiwe kwenye jokofu ama sahani. Unaandaliwa kwa siku 4 mpaka 7.

Ugali wa Rowe baada ya kusongwa unahifadhiwa kwenye majani maalum ya mgomba, unaliwa kwa mboga ama bila mboga, unaweza kusafiri nao popote kwenye begi. Ni chakula cha asili cha watu wa Kigoma hasa kabila la Waha na wamanyema.

Ugali huu ni biashara inayopata umaarufu mkubwa siku hadi siku, magharibi mwa Tanzania na nchi za Rwanda, Burundi na Congo.

View attachment 1831816

View attachment 1831820
Fanyeni mpango wa kuboresha umbo lake fyatueni uwe na mwonekano wa block au circle
 
Hapo kwenye kuweka chakula kwenye bag ndipo pameniacha hoi, anyway hongereni sana kwa ubunifu, je mnaonaje mkifanya maarifa ya kuwa na mboga ya muda mrefu kama ugali wake ulivyo
Inafungwa vizuri, haichafui mazingira ya begi lako. Ugali unabebwa kwasababu maalumu, mfno: Wawindaji wa maporini wanaokwenda kuwinda wanayama maeneo ya mbali, wasafiri wa masafa marefu, wakulima, wavuvi wanaolala kwenye maji huko mbali n.k. Mboga ya muda mrefu ni dagaa zilizo kaangwa.
 
Fanyeni mpango wa kuboresha umbo lake fyatueni uwe na mwonekano wa block au circle

_107898039_3ugali.jpg
 
Huu ni ugali usioharibika hata ukikaa mwezi mmoja, Ugali huu unaitwa Rowe hapa kwetu Kigoma.

Unatengenezwa kutokana na muhogo, Masharti yake usihifadhiwe kwenye jokofu ama sahani. Unaandaliwa kwa siku 4 mpaka 7.

Ugali wa Rowe baada ya kusongwa unahifadhiwa kwenye majani maalum ya mgomba, unaliwa kwa mboga ama bila mboga, unaweza kusafiri nao popote kwenye begi. Ni chakula cha asili cha watu wa Kigoma hasa kabila la Waha na wamanyema.

Ugali huu ni biashara inayopata umaarufu mkubwa siku hadi siku, magharibi mwa Tanzania na nchi za Rwanda, Burundi na Congo.

View attachment 1831816

View attachment 1831820
Niliukuta Burundi daah nilishindwa kula wa baridi hatari
 
Mara paap unalisha wapiganaji wanabanwa kuhara halafu muda huo adui analiamsha.

Chakula maalumu kinahitjika kwa askari aliyeko uwanja wa Vita lazima kizingatie usalama na virutubisho maalumu ambavyo Askari hatakiwi kipungukiwa.
 
Back
Top Bottom