Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,756
Sio kula kula bila utaratibu, askari sio robotAtakuwa askari mjinga asiyekula.
Sio kula kula bila utaratibu, askari sio robotAtakuwa askari mjinga asiyekula.
Ila kula kupo palepale muheshimiwa.Ule kwa fujo au ukiwa unapiga nyakuanyakua ni kula tu.Kula oyeeeeee!😝😝😝😝😝😝Sio kula kula bila utaratibu, askari sio robot
🤣🤣🤣Mkuu wangu ni uasilishaji tu wa hoja mkuu...hamna ukali....samahani kama nimekukwaza hau!!!!Mbona unakuwa mkali utadhani weye pekee ndiye ulipita jeshini?Muda mwingine muwe mnatulia.JF ni sehemu ya kutaniana na kuburudishana.Siyo kila kitu ni kutembea kwa kapani.😝😝😝😝😝
Umenikumbusha mbali sana,maeneo ya kumhama,kazura mimba kidahwe,Rusesa n.k huko Kigoma vijinini,nikiwa field work huko tumekula sana,unabeba ugali tuu,huko mbele utakutana na visamaki au nyama za mbuzi za kuchoma,unapiga. sema ni kama mpira/plastic hivi. unakaa saana tumboni huu ugali.ukila unashind umeshibaHuu ni ugali usioharibika hata ukikaa mwezi mmoja, Ugali huu unaitwa Rowe hapa kwetu Kigoma.
Unatengenezwa kutokana na muhogo, Masharti yake usihifadhiwe kwenye jokofu ama sahani. Unaandaliwa kwa siku 4 mpaka 7.
Ugali wa Rowe baada ya kusongwa unahifadhiwa kwenye majani maalum ya mgomba, unaliwa kwa mboga ama bila mboga, unaweza kusafiri nao popote kwenye begi. Ni chakula cha asili cha watu wa Kigoma hasa kabila la Waha na wamanyema.
Ugali huu ni biashara inayopata umaarufu mkubwa siku hadi siku, magharibi mwa Tanzania na nchi za Rwanda, Burundi na Congo.
View attachment 1831816
View attachment 1831820
Nilishawahi kuula huu ugali ila ni kitambo sana.Huu ni ugali usioharibika hata ukikaa mwezi mmoja, Ugali huu unaitwa Rowe hapa kwetu Kigoma.
Unatengenezwa kutokana na muhogo, Masharti yake usihifadhiwe kwenye jokofu ama sahani. Unaandaliwa kwa siku 4 mpaka 7.
Ugali wa Rowe baada ya kusongwa unahifadhiwa kwenye majani maalum ya mgomba, unaliwa kwa mboga ama bila mboga, unaweza kusafiri nao popote kwenye begi. Ni chakula cha asili cha watu wa Kigoma hasa kabila la Waha na wamanyema.
Ugali huu ni biashara inayopata umaarufu mkubwa siku hadi siku, magharibi mwa Tanzania na nchi za Rwanda, Burundi na Congo.
View attachment 1831816
View attachment 1831820
Ungekuwa umepitia kozi yetu ya u sniper + comandoo ungenielewa we kuruta wa jeshi 😀😀😀😀😀😀 ( joke )Ila kula kupo palepale muheshimiwa.Ule kwa fujo au ukiwa unapiga nyakuanyakua ni kula tu.Kula oyeeeeee!😝😝😝😝😝😝
Ahsante sana mtaalamu wa lishe ndani ya jeshiUmeshawahi kuishi jeshini ?!!!
Unadhani jeshini huliwa vyakula vyepesi ?!!!
Jeshi halijaanza JANA.....
Ndani yake Kuna wataalam lukuki wa vyakula ambao hupendekeza VYAKULA VYENYE VIRUTUBISHO MBALIMBALI vikiwemo hivyo vya asili usemavyo.....
#KaziInaendelea
Hapo kwenye kuweka chakula kwenye bag ndipo pameniacha hoi, anyway hongereni sana kwa ubunifu, je mnaonaje mkifanya maarifa ya kuwa na mboga ya muda mrefu kama ugali wake ulivyoUgali wa Rowe baada ya kusongwa unahifadhiwa kwenye majani maalum ya mgomba, unaliwa kwa mboga ama bila mboga, unaweza kusafiri nao popote kwenye begi.
Hauwezi kufunga choo!?Hapana, ugali huu hauwekewi chumvi bali una ladha yake ya asili ambapo hukufanya wewe mlaji uweze kuula bila hata mboga, na pia unaweza kuukata kata kwa vipande mfano wa beskuti kama picha hii
Fanyeni mpango wa kuboresha umbo lake fyatueni uwe na mwonekano wa block au circleHuu ni ugali usioharibika hata ukikaa mwezi mmoja, Ugali huu unaitwa Rowe hapa kwetu Kigoma.
Unatengenezwa kutokana na muhogo, Masharti yake usihifadhiwe kwenye jokofu ama sahani. Unaandaliwa kwa siku 4 mpaka 7.
Ugali wa Rowe baada ya kusongwa unahifadhiwa kwenye majani maalum ya mgomba, unaliwa kwa mboga ama bila mboga, unaweza kusafiri nao popote kwenye begi. Ni chakula cha asili cha watu wa Kigoma hasa kabila la Waha na wamanyema.
Ugali huu ni biashara inayopata umaarufu mkubwa siku hadi siku, magharibi mwa Tanzania na nchi za Rwanda, Burundi na Congo.
View attachment 1831816
View attachment 1831820
Inafungwa vizuri, haichafui mazingira ya begi lako. Ugali unabebwa kwasababu maalumu, mfno: Wawindaji wa maporini wanaokwenda kuwinda wanayama maeneo ya mbali, wasafiri wa masafa marefu, wakulima, wavuvi wanaolala kwenye maji huko mbali n.k. Mboga ya muda mrefu ni dagaa zilizo kaangwa.Hapo kwenye kuweka chakula kwenye bag ndipo pameniacha hoi, anyway hongereni sana kwa ubunifu, je mnaonaje mkifanya maarifa ya kuwa na mboga ya muda mrefu kama ugali wake ulivyo
Hapana, muhogo haufungi chooHauwezi kufunga choo!?
Fanyeni mpango wa kuboresha umbo lake fyatueni uwe na mwonekano wa block au circle
Niliukuta Burundi daah nilishindwa kula wa baridi hatariHuu ni ugali usioharibika hata ukikaa mwezi mmoja, Ugali huu unaitwa Rowe hapa kwetu Kigoma.
Unatengenezwa kutokana na muhogo, Masharti yake usihifadhiwe kwenye jokofu ama sahani. Unaandaliwa kwa siku 4 mpaka 7.
Ugali wa Rowe baada ya kusongwa unahifadhiwa kwenye majani maalum ya mgomba, unaliwa kwa mboga ama bila mboga, unaweza kusafiri nao popote kwenye begi. Ni chakula cha asili cha watu wa Kigoma hasa kabila la Waha na wamanyema.
Ugali huu ni biashara inayopata umaarufu mkubwa siku hadi siku, magharibi mwa Tanzania na nchi za Rwanda, Burundi na Congo.
View attachment 1831816
View attachment 1831820
Ahsante piaAhsante kwa kutufahamisha...