NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,002
Huu ugali niliutest kipindi fulani maeneo ya Kamenge Burundi ulinishinda kabisa kuula.
Ni maalumu kwa wasafiri wa masafa marefuMuwape na kayoga.😝😝😝
Utakuwa ulitengenezwa vibaya na kwenye mazingira mabaya, karibu uje ule wa hapa kwetu Kigoma, hakika hautajutia. Tutakufungashia mwingine upelekee watoto nyumbani.Huu ugali niliutest kipindi fulani maeneo ya Kamenge Burundi ulinishinda kabisa kuula.
Sasa umewasaidia nini wana Kigoma?Huu ni ugali usioharibika hata ukikaa mwezi mmoja, Ugali huu unaitwa Rowe hapa kwetu Kigoma.
Warundi katika ubora wenuHuu ni ugali usioharibika hata ukikaa mwezi mmoja, Ugali huu unaitwa Rowe hapa kwetu Kigoma.
Unatengenezwa kutokana na muhogo, Masharti yake usihifadhiwe kwenye jokofu ama sahani. Unaandaliwa kwa siku 4 mpaka 7.
Ugali wa Rowe baada ya kusongwa unahifadhiwa kwenye majani maalum ya mgomba, unaliwa kwa mboga ama bila mboga,
Sasa jombaaa umeshazoea vyakula vinono mixer beer pembeni afu leo ule vyakula vinavyotumika nchi zenye vita unadhani utaviweza kweli?Huu ugali niliutest kipindi fulani maeneo ya Kamenge Burundi ulinishinda kabisa kuula.
%100 indeed.Sasa jombaaa umeshazoea vyakula vinono mixer beer pembeni afu leo ule vyakula vinavyotumika nchi zenye vita unadhani utaviweza kweli?
Umetusaidia kuboresha miili yetuSasa umewasaidia nini wana Kigoma?
Ahsante. Tunashukuru pia ewe Mtanzania nambari 1Warundi katika ubora wenu
Ugali wa Rowe na Migebuka utavipata kwa Peter Msechu, kama unaishi Dar es salaam huyu bwana anapatikana Kibamba.Nitumie Rowe 3 na Migebuka 10.
Sema ukishuhudia mazingira ya maandalizi yake hautatamani kuula. Wachache sana wanauandaa katika mazingira ya u
Unaandaliwa kwenye mazingira masafi, wachache sana ndio huandaa kwenye mazingira machafuSema ukishuhudia mazingira ya maandalizi yake hautatamani kuula. Wachache sana wanauandaa katika mazingira ya usafi.
Mkuu kwani una ubatizo?😝😝😝😝Nitumie Rowe 3 na Migebuka 10.
Ahsante tunashukuru pia. Tunapendekeza utumiwe na wanajeshi wetu wakati wa shughuli zao kwenye nchi zenye migogorook sawa.. nashauri mngewekeza kufuga migebuka kibiashara kuliko huu utopolo
Umeshawahi kuishi jeshini ?!!!Huu ni ugali usioharibika hata ukikaa mwezi mmoja, Ugali huu unaitwa Rowe hapa kwetu Kigoma.
Unatengenezwa kutokana na muhogo, Masharti yake usihifadhiwe kwenye jokofu ama sahani. Unaandaliwa kwa siku 4 mpaka 7.
Ugali wa Rowe baada ya kusongwa unahifadhiwa kwenye majani maalum ya mgomba, unaliwa kwa mboga ama bila mboga, unaweza kusafiri nao popote kwenye begi. Ni chakula cha asili cha watu wa Kigoma hasa kabila la Waha na wamanyema.
Ugali huu ni biashara inayopata umaarufu mkubwa siku hadi siku, magharibi mwa Tanzania na nchi za Rwanda, Burundi na Congo.
View attachment 1831816
View attachment 1831820
Mbona unakuwa mkali utadhani weye pekee ndiye ulipita jeshini?Muda mwingine muwe mnatulia.JF ni sehemu ya kutaniana na kuburudishana.Siyo kila kitu ni kutembea kwa kapani.😝😝😝😝😝Umeshawahi kuishi jeshini ?!!!
Unadhani jeshini huliwa vyakula vyepesi ?!!!
Jeshi halijaanza JANA.....
Ndani yake Kuna wataalam lukuki wa vyakula ambao hupendekeza VYAKULA VYENYE VIRUTUBISHO MBALIMBALI vikiwemo hivyo vya asili usemavyo.....
#KaziInaendelea
Atakuwa askari mjinga asiyekula.Vitani hawaendi kula