Enny
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 962
- 130
Hamjambo wana JF. Nimekumbuka kuna kipindi nilifanya kazi mazingira ambayo ilikuwa vigumu kupata unga na kusonga ugali bali tuliweza kununua vyakula vingi vya makopo kama nyama, samaki, maharage sasa ikawa vyakula hivyo tunakula na mikate. sasa nikafikiria hivi hamna uwezekano wa kutengeneza ugali wa makopo? Na hiyo ikawa biashara nzuri hasa kwa hapa nchini?