kobokocastory
JF-Expert Member
- Aug 30, 2014
- 1,073
- 1,267
Kwani lazima tufanye au kuiga kila kitu kutoka marekani jamani what if kama wametoa hiyo research based on the fact that hawapendi ugali?
By the way kama ugali unadumaza akili vipi kwa asilimia kubwa ya wanafunzi tuliosoma na wanaoendelea kusoma shule za boarding na wanafanya vizuri na wanaendelea kufanya vizuri?
By the way kama ugali unadumaza akili vipi kwa asilimia kubwa ya wanafunzi tuliosoma na wanaoendelea kusoma shule za boarding na wanafanya vizuri na wanaendelea kufanya vizuri?