Ugaidi ni itikadi imetengenezwa na mabeberu kuzivuruga nchi za Mashariki ya Kati ili waweze kuvuna rasilimali zao

Arafat23

Member
Oct 12, 2017
98
100
Russia Blames U.S. for Terrorism and War in the Middle East

Russian Foreign Minister Sergey Lavrov has said the U.S. is to blame for the terrorism, war and instability racking the Middle East.

In a statement read out to participants of a Russian-organized conference on peace in the region, Lavrov said Russia is committed to a process of peaceful dialogue to help solve the Middle East’s problems, and suggested that heavy-handed western foreign policy has caused a range of regional crises, the state-backed Tass news agency reported.

“The Middle East, which has been enduring a period of severe tests, still holds a central place on the global agenda,” the statement read out by Russian Presidential Envoy for the Middle East and Africa and Deputy Foreign Minister Mikhail Bogdanov said. “Both the future of the region’s governments, international security and stability hinge on how the situation will develop there.”

But in a thinly-veiled jab at the U.S. and its allies, the message criticized “methods of geopolitical engineering, attempts at imposing foreign models of development and values on the people of the Middle East and North Africa, especially through the use of force,” which Lavrov suggested had “led to the weakening or collapse of states and an unprecedented surge in international terrorism across a whole number of countries.”

“In addition, [it] has led to a massive migration crisis, destabilizing the ethno-confessional balance that had consolidated throughout the centuries,” the statement continued.

Moscow has been consistently critical of U.S. and western involvement in the Middle East, particularly in the ongoing civil war in Syria. While Russia has thrown its weight behind President Bashar al-Assad, the western allies denounced the dictator and offered diplomatic, financial and military support to rebels fighting to overthrow him.

These rebels were largely consumed by more effective Islamist militias, some with links to Al-Qaeda. Syria and its allies—including Iran—have thus accused the U.S. of supporting terrorism within the country.

Russia has also propagated unproven conspiracy theories that the U.S. armed and assisted the ISIS militant as it tore across Syria and Iraq.

Though Lavrov lauded Russia’s supposed peaceful approach, Moscow is complicit in a wide range of suspected war crimes committed by forces loyal to Assad. These include repeated chemical weapon attackson civilians in rebel-held areas, which Russia has sought to cover up or blame on other groups.

Indeed, Russian forces themselves have been accused—as have the U.S. and its allies—of committing their own war crimes in Syria. Massive aerial bombing campaigns have been used by all sides, but the Russian air force has repeatedly employed less sophisticated and unguided “dumb munitions,” which critics say almost guarantee significant civilian casualties.

Despite such allegations, Lavrov said Moscow has shown its commitment to diplomacy and compliance with international law.

The Kremlin has also been a long-time opponent of American involvement in Afghanistan and its war in Iraq. Last year, for example, the Russian Ministry of Defense said the emergence of ISIS was “a direct and undisputed result of the US military invasion of the country under a false pretext about Saddam Hussein’s possession of chemical weapons.”

And in Afghanistan—where the U.S. has accused Russia of supplying weapons to the Taliban—Moscow is attempting to circumvent Washington by holding peace talks between the government and the Taliban, something the U.S. has yet to agree to.
Of course, much of the current instability in Afghanistan can be linked to a Soviet invasion of the country during the Cold War. Thousands of Russians died in the nine-year intervention, fighting in support of a puppet communist government installed in Kabul.

The conflict provided a formative training ground for a huge number of militants that would go on to influence the global Islamic terrorism movement. These included Al-Qaeda founder Osama bin Laden, current leader Ayman al-Zawahiri and Abu Musab al-Zarqawi—the creator of Al-Qaeda’s affiliate in Iraq that would eventually morph into ISIS.
 
Silaha wanatuuzia wao na Ndiyo wanatuchonganisha ili wapate soko la bidhaa za viwanda vyao....wanahubiri human rights lakini wanayoyafanya ni uibilisi mkubwa
 
Russia Blames U.S. for Terrorism and War in the Middle East
newsweek.com
Feb 19, 2019 7:53 PM
Russian Foreign Minister Sergey Lavrov has said the U.S. is to blame for the terrorism, war and instability racking the Middle East.
In a statement read out to participants of a Russian-organized conference on peace in the region, Lavrov said Russia is committed to a process of peaceful dialogue to help solve the Middle East’s problems, and suggested that heavy-handed western foreign policy has caused a range of regional crises, the state-backedTass news agency reported.



“The Middle East, which has been enduring a period of severe tests, still holds a central place on the global agenda,” the statement read out by Russian Presidential Envoy for the Middle East and Africa and Deputy Foreign Minister Mikhail Bogdanov said. “Both the future of the region’s governments, international security and stability hinge on how the situation will develop there.”
But in a thinly-veiled jab at the U.S. and its allies, the message criticized “methods of geopolitical engineering, attempts at imposing foreign models of development and values on the people of the Middle East and North Africa, especially through the use of force,” which Lavrov suggested had “led to the weakening or collapse of states and an unprecedented surge in international terrorism across a whole number of countries.”

“In addition, [it] has led to a massive migration crisis, destabilizing the ethno-confessional balance that had consolidated throughout the centuries,” the statement continued.
Moscow has been consistently critical of U.S. and western involvement in the Middle East, particularly in the ongoing civil war in Syria. While Russia has thrown its weight behind President Bashar al-Assad, the western allies denounced the dictator and offered diplomatic, financial and military support to rebels fighting to overthrow him.
These rebels were largely consumed by more effective Islamist militias, some with links to Al-Qaeda. Syria and its allies—including Iran—have thus accused the U.S. of supporting terrorism within the country.
Russia has also propagated unproven conspiracy theories that the U.S. armed and assisted the ISIS militant as it tore across Syria and Iraq.
Though Lavrov lauded Russia’s supposed peaceful approach, Moscow is complicit in a wide range of suspected war crimes committed by forces loyal to Assad. These include repeated chemical weapon attackson civilians in rebel-held areas, which Russia has sought to cover up or blame on other groups.
Indeed, Russian forces themselves have been accused—as have the U.S. and its allies—of committing their own war crimes in Syria. Massive aerial bombing campaigns have been used by all sides, but the Russian air force has repeatedly employed less sophisticated and unguided “dumb munitions,” which critics say almost guarantee significant civilian casualties.
Despite such allegations, Lavrov said Moscow has shown its commitment to diplomacy and compliance with international law.
The Kremlin has also been a long-time opponent of American involvement in Afghanistan and its war in Iraq. Last year, for example, the Russian Ministry of Defense said the emergence of ISIS was “a direct and undisputed result of the US military invasion of the country under a false pretext about Saddam Hussein’s possession of chemical weapons.”
And in Afghanistan—where the U.S. has accused Russia of supplying weapons to the Taliban—Moscow is attempting to circumvent Washington by holding peace talks between the government and the Taliban, something the U.S. has yet to agree to.
Of course, much of the current instability in Afghanistan can be linked to a Soviet invasion of the country during the Cold War. Thousands of Russians died in the nine-year intervention, fighting in support of a puppet communist government installed in Kabul.
The conflict provided a formative training ground for a huge number of militants that would go on to influence the global Islamic terrorism movement. These included Al-Qaeda founder Osama bin Laden, current leader Ayman al-Zawahiri and Abu Musab al-Zarqawi—the creator of Al-Qaeda’s affiliate in Iraq that would eventually morph into ISIS.
To the elite that is a well known fact - The super powers of the world are wrestling each other to gain influence and dominate 'poor' countries but rich in natural resources, in order to deplete it for free! as the case in Libya, and Iraq.
 
Takbiiiiiiiiiiiiiir
Watu wa mashariki ya kati ni wa pumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
1550658152959-png.1027245



Maaskofu na mapadri hunyemelea watawa kimapenzi – Papa Francis
Na MASHIRIKA
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki ulimwenguni, Papa Francis amekiri watawa wengi wamekuwa wakidhulumiwa kimapenzi na mapadri na maaskofu.

Hii ni sakata nyingine inayohusu dhuluma za ngono katika kanisa hilo ambalo limekuwa likikumbwa na kashfa tele za wahubiri wake kulawiti watoto wa kiume.

Akizungumza Jumatano akiwa safarini kwenye ndege yake kutoka ziara ya Milki ya Kiarabu (UAE) kuelekea Vatican, Papa Francis alisema makao makuu ya Kanisa Katoliki yalipokea ripoti kuhusu mapadri wanaodhulumu watawa hapa Afrika katika miaka ya tisini, na kuongeza kuwa tatizo hilo bado lipo hadi sasa hasa katika makanisa mapya.
“Kuna mapadri na hata maaskofu ambao wamewahi kufanya hivyo. Nadhani ni kitu ambacho kingali kinaendelea kwa sababu hiki si kitu ambacho huisha tu ghafla, la hasha!” akasema.

Aliongeza: “Sitaki kusikia ikisemekana kwamba kanisa halina tatizo hili, kwa sababu ukweli ni kuwa lipo. Tunahitajika kujitahidi zaidi kulikomesha na tuna nia ya kufanya hivyo.”

Alisema hayo alipoulizwa swali kuhusu ripoti iliyochapishwa majuzi kwenye jarida la ‘Women Church World’ ambalo husambazwa na gazeti la Osservatore Romano linalochapishwa Vatican.

Ripoti hiyo ilifichua jinsi watawa wamekuwa kimya kuhusu dhuluma ambazo wamekuwa wakipitia kwa miongo mingi mikononi mwa maaskofu na mapadri kwa sababu wanaogopa kuadhibiwa wwakifichua.
Suala hilo liligonga vichwa vya habari mwaka uliopita baada ya mtawa kudai askofu wa kanisa lililo nchini India alimbaka mara kadhaa.

Katika kisa hicho, Askofu Franco Mulakkal wa miaka 53, alikamatwa Septemba 21 kwa kushukiwa kumbaka mtawa huyo mara 13 kati ya mwaka wa 2014 na 2016. Papa Francis alimsimamisha kazi kwa muda siku moja kabla akamatwe.
Nchini Kenya, kumekuwa na kashfa tele katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu madai ya ubakaji na ulawiti unaotendwa na viongozi wa kanisa hilo. Kisa cha majuzi kiliripotiwa Kiambu ambapo padri alidaiwa kushiriki ngono na wasichana wachanga waumini na pia kuwasaidia kuavya mimba.

Mwaka uliopita, shirika la International Catholic Organisation lilitoa wito kwa akina mama wenye watoto ambao baba zao ni mapadri wajitokeze ili watoto hao wafanyiwe uchunguzi wa DNA kwa ajili ya kufanya baba zao wawajibikie ulezi wao.
Papa Francis alisema kuna viongozi wengi wa kidini katika kanisa hilo ambao wamesimamishwa kazi kwa kudhulumu watawa na afisi yake imekuwa ikijitahidi kusuluhisha tatizo hilo kwa muda mrefu.

Kulingana naye, tatizo lenyewe ni la kidesturi lililo na mizizi yake katika jinsi wanawake wanavyotazamwa kuwa wasio na thamani katika jamii.

Alitoa mfano wa kisa kilichotokea Ufaransa ambapo mtangulizi wake, Papa Benedict wa 16 alijaribu kuchukua hatua lakini juhudi zake zikazimwa na baadhi ya maafisa wakuu wa Vatican:
Kumekuwa na mapendekezo kuwa Kanisa Katoliki liwaruhusu mapadri wake kuoa.

Maaskofu na mapadri hunyemelea watawa kimapenzi – Papa Francis – Taifa Leo
 
1550658152959-png.1027245



Maaskofu na mapadri hunyemelea watawa kimapenzi – Papa Francis
Na MASHIRIKA
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki ulimwenguni, Papa Francis amekiri watawa wengi wamekuwa wakidhulumiwa kimapenzi na mapadri na maaskofu.

Hii ni sakata nyingine inayohusu dhuluma za ngono katika kanisa hilo ambalo limekuwa likikumbwa na kashfa tele za wahubiri wake kulawiti watoto wa kiume.

Akizungumza Jumatano akiwa safarini kwenye ndege yake kutoka ziara ya Milki ya Kiarabu (UAE) kuelekea Vatican, Papa Francis alisema makao makuu ya Kanisa Katoliki yalipokea ripoti kuhusu mapadri wanaodhulumu watawa hapa Afrika katika miaka ya tisini, na kuongeza kuwa tatizo hilo bado lipo hadi sasa hasa katika makanisa mapya.
“Kuna mapadri na hata maaskofu ambao wamewahi kufanya hivyo. Nadhani ni kitu ambacho kingali kinaendelea kwa sababu hiki si kitu ambacho huisha tu ghafla, la hasha!” akasema.

Aliongeza: “Sitaki kusikia ikisemekana kwamba kanisa halina tatizo hili, kwa sababu ukweli ni kuwa lipo. Tunahitajika kujitahidi zaidi kulikomesha na tuna nia ya kufanya hivyo.”

Alisema hayo alipoulizwa swali kuhusu ripoti iliyochapishwa majuzi kwenye jarida la ‘Women Church World’ ambalo husambazwa na gazeti la Osservatore Romano linalochapishwa Vatican.

Ripoti hiyo ilifichua jinsi watawa wamekuwa kimya kuhusu dhuluma ambazo wamekuwa wakipitia kwa miongo mingi mikononi mwa maaskofu na mapadri kwa sababu wanaogopa kuadhibiwa wwakifichua.
Suala hilo liligonga vichwa vya habari mwaka uliopita baada ya mtawa kudai askofu wa kanisa lililo nchini India alimbaka mara kadhaa.

Katika kisa hicho, Askofu Franco Mulakkal wa miaka 53, alikamatwa Septemba 21 kwa kushukiwa kumbaka mtawa huyo mara 13 kati ya mwaka wa 2014 na 2016. Papa Francis alimsimamisha kazi kwa muda siku moja kabla akamatwe.
Nchini Kenya, kumekuwa na kashfa tele katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu madai ya ubakaji na ulawiti unaotendwa na viongozi wa kanisa hilo. Kisa cha majuzi kiliripotiwa Kiambu ambapo padri alidaiwa kushiriki ngono na wasichana wachanga waumini na pia kuwasaidia kuavya mimba.

Mwaka uliopita, shirika la International Catholic Organisation lilitoa wito kwa akina mama wenye watoto ambao baba zao ni mapadri wajitokeze ili watoto hao wafanyiwe uchunguzi wa DNA kwa ajili ya kufanya baba zao wawajibikie ulezi wao.
Papa Francis alisema kuna viongozi wengi wa kidini katika kanisa hilo ambao wamesimamishwa kazi kwa kudhulumu watawa na afisi yake imekuwa ikijitahidi kusuluhisha tatizo hilo kwa muda mrefu.

Kulingana naye, tatizo lenyewe ni la kidesturi lililo na mizizi yake katika jinsi wanawake wanavyotazamwa kuwa wasio na thamani katika jamii.

Alitoa mfano wa kisa kilichotokea Ufaransa ambapo mtangulizi wake, Papa Benedict wa 16 alijaribu kuchukua hatua lakini juhudi zake zikazimwa na baadhi ya maafisa wakuu wa Vatican:
Kumekuwa na mapendekezo kuwa Kanisa Katoliki liwaruhusu mapadri wake kuoa.

Maaskofu na mapadri hunyemelea watawa kimapenzi – Papa Francis – Taifa Leo
Tumswalie mtume,aendelee kugonga kitimoto.
 
Watu wa mashariki ya kati ni wa pumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
Watawa wanawake wa Kanisa Katoliki nchini India wafichua ufuska wanaofanyiwa na makasisi
Jan 04, 2019 02:43 UTC
  • 4bsd8f6b96c26b1c187_800C450.jpg
Watawa wanawake wa Kanisa Katoliki nchini India wamefichua namna maaskofu, mapadri na hata makasisi wastaafu wa kanisa hilo wanavyowadhalilisha kingono wasijue cha kufanya.

Upekuzi na mahojiano yaliyofanywa na shirika la habari la Associated Press yamefichua kuwa, watawa hao wa kike wa Kanisa Katoliki nchini India wamekuwa wakibakwa na watu hao ambao wamekuwa wakiwatazama kama viongozi wa kidini na wacha-Mungu, lakini kila wakiripoti hakuna hatua zinaochukuliwa dhidi yao.

Mmoja wa wahanga wa uozo huo ameliambia shirika la habari la AP kuwa, "(Kasisi) alikuwa amelewa, alinibusu na kisha kunivuta upande wake kwa nguvu. Hujui namna ya kusema hapana kwao! Hawa ni watu tumelelewa tukijua kuwa ni wawakilishi wa Yesu Kristo!"

Mhanga mwingine wa uchafu huo ambaye hakutaka jina lake litajwe katika jimbo la Kerala amesema, "Baada ya kuwaarifu watawa wenzangu kuhusu uchafu niliofanyiwa, walianza kunitenga na kusema kuwa nalipiga vita kanisa. Nimekuwa nikipokea baruapepe za chuki pia baada ya kufichua kashfa hiyo."

Kwa mujibu wa Associated Press, Vatican, makao makuu ya Kanisa Katoliki Duniani ina habari kuhusu kesi hizo za kudhalilishwa kingono watawa wa kike wa kanisa hilo katika nchi za Asia, Ulaya, Amerika Kusini na Afrika, lakini haijachukua hatua za maana za kusimamisha ufuska huo.
4bpw6a3103b55a1bnzr_800C450.jpg
Maaskofu wa Kanisa Katoliki

Haya yanaripotiwa chini ya wiki mbili baada ya Mwanasheria Mkuu wa jimbo la Illinois nchini Marekani kusema kuwa makasisi 700 wa Kanisa Katoliki katika jimbo hilo wamewalawiti watoto, ikiwa ni idadi kubwa mno ikilinganishwa na ile iliyokuwa imetolewa na kanisa hilo huko nyuma.

Kuna mamia ya kesi za ubakaji na ulawiti zinazowakabili makasisi na viongozi wengine wa kanisa hilo, ambazo zimerundikana katika mahakama za Ulaya na Marekani zikisubiri kufanyiwa uchunguzi, jambo ambalo limeshusha hadhi ya Kanisa Katoliki duniani.

http://parstoday.com/sw/news/world-...ndia_wafichua_ufuska_wanaofanyiwa_na_makasisi
 
Tumswalie mtume,aendelee kugonga kitimoto.
Papa Francis amekiri kuwa makasisi wa kanisa katoliki wanawatumia watawa kama watumwa wa ngono
  • 6 Februari 2019

_105490075_mediaitem105490074.jpg
Haki miliki ya pichaEPAImage captionPapa Francis amekiri kuwa watawa wa kanisa katoliki wananyanyaswa kingono

Papa Francis amekiri kuwa makasisi wa kanisa katoliki wanawatumikisha kingono watawa wa kanisa hilo na kwamba tatizo hilo limekuwa likiendelea

Alisema kuwa mtangulizi wake Papa Benedict, alilazimika kufunga shirika la zima la watawa ambao walikuwa wakidhulumiwa kingono na makasisi.

Inaaminiwa kuwa hii ni mara ya kwanza Papa Francis amekiri hadharani kuhusu dhulima za kingono dhidi ya watawa wa kanisa hilo kubwa zaidi duniani.
Amesema kuwa kanisa limejaribu kukabiliana na tatizo hilo na kwamba juhudi hizo bado ''zinaendelea''.
Papa alitoa tamko hilo kwa wanahabari akiwa kwenye ziara yake kihistoria katika eneo la mashariki ya kati.
Alikiri kuwa makasisi na maaskofu wamekuwa wakiwanyanyasa watawa, na kwamba kanisa "linashughulikia suala hilo".
"Ni mpango ambao tumekuwa tukiendeleza,"alisema.

_105486361_a11e315e-6dfe-4413-8bca-b6ce33499821.jpg
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES

Mwezi Novemba mwaka jana kongamano la kimataifa la watawa wa kanisa katoliki duniani lililaani "utamaduni wa ukimya na usiri" ambao unawazuia kuzungumzia changamoto wanazopitia.
Siku chache zilizopita jarida la wanawake wa Vatican linalofahamika kama Women Church World lililaani vikali unyanyasaji huo ikiongeza kuwa katika visa vingine watawa wanalazimishwa kuavya mimba ya makasisi hao kwasababu kuwa na watoto-ni kitu kinachoenda tofauti na maadili ya ukatoliki.

Watawa watumishwa kama watumwa wa ngono
 
Tumswalie mtume,aendelee kugonga kitimoto.
Papa: Kashfa za ngono na ulawiti za Kanisa Katoliki Chile zimelipaka matope kanisaJanuary 16, 2018
1550658894922.png

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ameonyesha kusikitishwa kwake kutokana na kashfa za ngono na ulawiti zinazolikabili kanisa hilo huko nchini Chile.


Papa Francis ambaye jana Jumatatu alielekea Chile na Peru kwa ziara ya siku sita, amesema katika hotuba yake ya kwanza akiwa pamoja na Rais Michelle Bachelet wa Chile kuwa, kashfa hizo zimelichafua mno kanisa hilo.

Papa Francis amesema, na hapa tunanukuu: “Sina budi katika kikao hiki kueleza juu ya ‘uchungu na fedheha’ zinazolichafulia jina Kanisa Katoliki….makovu yasiyoweza kupona waliyonayo watoto, kutokana na ufuska waliofanyiwa na baadhi ya mawaziri wetu.”
Wafuasi wa Kanisa Katoliki walighadhabishwa na hatua ya Papa Francis mwaka 2015 kumteua Askofu Juan Barros kuwa mkuu wa Dayosisi ya Osorno, kusini mwa Chile, licha ya kutuhumiwa kumkingia kifua mwalimu wake Fernando Karadima, ambaye Vatican ilimpata na hatia mwaka 2011 ya kuwalawiti vijana wadogo wa kiume nchini Chile.

Kashfa mbalimbali za kimaadili na kifedha zilizoikumba Vatican na Kanisa Katoliki katika miaka ya hivi karibuni zimekuwa zikigonga vichwa vya habari na kuwa gumzo kubwa lisilokwisha katika kila kona ya dunia.

Kuna mamia ya kesi za ubakaji na ulawiti zinazowakabili makasisi wa kanisa hilo, ambazo zimerundikana katika mahakama za Ulaya na Marekani zikisubiri kufanyiwa uchunguzi, jambo ambalo limeshusha hadhi ya Kanisa Katoliki duniani.

Papa: Kashfa za ngono na ulawiti za Kanisa Katoliki Chile zimelipaka matope kanisa | Tovuti ya Kiswahili ya ukweli wa Afrika.
 
Papa: Kashfa za ngono na ulawiti za Kanisa Katoliki Chile zimelipaka matope kanisaJanuary 16, 2018
View attachment 1027250
https://twitter.com/intent/tweet?te...&via=Tovuti+ya+Kiswahili+ya+ukweli+wa+Afrika.
https://plus.google.com/share?url=h...nisa-katoliki-chile-zimelipaka-matope-kanisa/
https://pinterest.com/pin/create/bu...anisa+Katoliki+Chile+zimelipaka+matope+kanisa
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ameonyesha kusikitishwa kwake kutokana na kashfa za ngono na ulawiti zinazolikabili kanisa hilo huko nchini Chile.


Papa Francis ambaye jana Jumatatu alielekea Chile na Peru kwa ziara ya siku sita, amesema katika hotuba yake ya kwanza akiwa pamoja na Rais Michelle Bachelet wa Chile kuwa, kashfa hizo zimelichafua mno kanisa hilo.

Papa Francis amesema, na hapa tunanukuu: “Sina budi katika kikao hiki kueleza juu ya ‘uchungu na fedheha’ zinazolichafulia jina Kanisa Katoliki….makovu yasiyoweza kupona waliyonayo watoto, kutokana na ufuska waliofanyiwa na baadhi ya mawaziri wetu.”
Wafuasi wa Kanisa Katoliki walighadhabishwa na hatua ya Papa Francis mwaka 2015 kumteua Askofu Juan Barros kuwa mkuu wa Dayosisi ya Osorno, kusini mwa Chile, licha ya kutuhumiwa kumkingia kifua mwalimu wake Fernando Karadima, ambaye Vatican ilimpata na hatia mwaka 2011 ya kuwalawiti vijana wadogo wa kiume nchini Chile.

Kashfa mbalimbali za kimaadili na kifedha zilizoikumba Vatican na Kanisa Katoliki katika miaka ya hivi karibuni zimekuwa zikigonga vichwa vya habari na kuwa gumzo kubwa lisilokwisha katika kila kona ya dunia.

Kuna mamia ya kesi za ubakaji na ulawiti zinazowakabili makasisi wa kanisa hilo, ambazo zimerundikana katika mahakama za Ulaya na Marekani zikisubiri kufanyiwa uchunguzi, jambo ambalo limeshusha hadhi ya Kanisa Katoliki duniani.

Papa: Kashfa za ngono na ulawiti za Kanisa Katoliki Chile zimelipaka matope kanisa | Tovuti ya Kiswahili ya ukweli wa Afrika.
Takbiiiiiiiir
 
To the elite that is a well known fact - The super powers of the world are wrestling each other to gain influence and dominate 'poor' countries but rich in natural resources, in order to deplete it for free! as the case in Libya, and Iraq.
Very true
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom