Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Dodoma tu linakubali sana Mkuu
Unajua 95% ya wakulima hawatumii social networks. Tunaobishana humu ni zao la akina KABUDI hatujui lolote.mtoa mada mi nimekuelewa sana.Ukienda kulima fursa unampa nani??
Kukodi heka moja hadi kuvuma haizidi 500,000 hiyo ni fursa??
Nikitaka kuanza hiki kilimo nini kinatakiwaUfuta umeufanya my bro family iachane na maisha ya Dar na kutumia muda wao mwingi kijijini! My sister, ambae maisha yake yote yupo town, analazimika kubaki Dar kwa sababu tu na mwanae wa mwisho bado yupo Form IV vinginevyo angekuwa kesharudi kijijini! Kuna ndugu yangu mmoja, ah Mungu Mkubwa kwa kweli! Alikuwa na maisha dhalili hadi ilikuwa inatia uchungu! Siku hizi sasa, akipiga simu (zamani ilikuwa lazima nipige mimi), utamsikia, "Kaka njoo utusaidie kuvuna ufuta bhana!" Ananitega huyu binti, yaani Ibilis wa kukupa totoz ana afadhali!
To be honest, kwa vijana wasio na issue za kueleweka town ni kupoteza muda tu kuendelea kung'ang'ania kuwa dar! Ni vile tu maisha yangu yanategemea Internet kwa 100% na kwa bahati mbaya, ingawaje Bush kwetu huduma karibu zote zipo including umeme, lakini Internet imekuwa ni bonge la changamoto! Vinginevyo, lazima ningekuwa na makazi ya muda bush kwetu na kwa sasa nimeshaanza kutafuta kiwanja cha kujenga!!
Mkuu kwa eka moja waeza pata junia ngapi?
Mkuu gunia 7 za ujazo gani, huku kwetu gunia 2 - 3 za kilo mia,mbegu mnapanda ipi?4 to 7
kwa ninavyoujua ufuta,ulime had upate gunia 5 hilo shamba liwe shamba kweli kweli na jasho utokeKaribuni tulime jamani, msije sema hamkupewa fursa, mashamba kukodi bei sawa na bure! View attachment 1125715View attachment 1125717
Mkuu gunia 7 za ujazo gani, huku kwetu gunia 2 - 3 za kilo mia,mbegu mnapanda ipi?
Hilo zao lisikie hivyo hivyo Kuna watu wanajinyonga huko ni hatari unaweza lima ekari nane na ukapata ufuta kg 2
Mimi muongo wakati kwenye familia yangu Kuna mtu yameshawahi kumkuta unabishaje kitu usichokijua bata weweKwanini unakua muongo
Hilo ni kweli.Hilo zao lisikie hivyo hivyo Kuna watu wanajinyonga huko ni hatari unaweza lima ekari nane na ukapata ufuta kg 2