Ufuta unawafanya watu wawe na viburi mjini hapa

Semeni ukweli, hasara ipo. Ufuta hautaki mvua kwa mfano ukishakauka. Umepanga kwenda kuvuna kesho leo mvua imenyesha unakuwa mweusi....una faida?
Na probability ya kunyesha mvua msimu wa mavuno ni asilimia ngapi japo kwa makisio?!
 
Mambo mengine ni ya kujiongeza tu kwa sababu hakuna biashara hata moja duniani isiyo na changamoto!
Nyanya, vitunguu, ufugaji hasa wa kuku, matikiti....sasa mmehamia ufuta. Waambieni waje tu kwa fujo with heada full of expectations.

Mi nalima ufuta mwaka wa 4 huu najua michezo yote na najua hasara pia. Kwahiyo mtu hanitishi kwa lolote.
 
Nyanya, vitunguu, ufugaji hasa wa kuku, matikiti....sasa mmehamia ufuta. Waambieni waje tu kwa fujo with heada full of expectations.

Mi nalima ufuta mwaka wa 4 huu najua michezo yote na najua hasara pia. Kwahiyo mtu hanitishi kwa lolote.
Mwambie kama anapata faida kubwa hivyo wanunue trekta waongezee mashamba full stop
 
Nyanya, vitunguu, ufugaji hasa wa kuku, matikiti....sasa mmehamia ufuta. Waambieni waje tu kwa fujo with heada full of expectations.

Mi nalima ufuta mwaka wa 4 huu najua michezo yote na najua hasara pia. Kwahiyo mtu hanitishi kwa lolote.

Brother upo siriaz wewe?? Unamtishia nani kwa kulima ufuta mwaka wa 4?? Eti unavuna kesho mvua inanyesha leo?? Hivi hiyo ndio sababu yako kubwa???

Nilipo hapa watu wanajaza ghala na ghala na wanatafuta ufuta kwa hali na mali unadangabya watu

Wewe ndio unalima kwa hasara

Hapa ndio zao laoo kuu pamoja na mahindi na mpunga
 
Nyanya, vitunguu, ufugaji hasa wa kuku, matikiti....sasa mmehamia ufuta. Waambieni waje tu kwa fujo with heada full of expectations.

Mi nalima ufuta mwaka wa 4 huu najua michezo yote na najua hasara pia. Kwahiyo mtu hanitishi kwa lolote.
Yote hayo yanatoka wapi Mheshimiwa?! Mleta mada kazungumza anachokijua! Na kila mmoja anazungumza anachokijua! Na binafsi yangu hakuna popote niliposema nalima ufuta au kuwahamasisha watu wakalime ufuta! Mimi nimezungumzia uzoefu wa ndugu zangu ambao wamejikita kwenye hilo zao! Na unlike mikoa mingine, mikoa niliyotaja mimi ni ile ambayo ufuta ni kama zao lao la asili! Hata wakati ufuta hauna pesa, watu walikuwa wanalima; kwa sababu wamekuta babu zao wanalima hata kabla Nyerere hajaipatia Tanganyika uhuru!!

That being said, watu niliowazungumzia mimi huwezi kuwatisha eti sijui mvua, mara upupu kwa sababu ufuta ni zao la asili! Na ndio maana nikakuuliza hata probability ya mvua msimu wa mavuno kwa sababu, kwa kawaida yale maeneo ya asili kwa kilimo cha ufuta, majira ya mavuno yanakuwa hayana mvua!
 
Back
Top Bottom