samuu
Member
- May 6, 2019
- 15
- 15
Atari sanaNaujua sana ufuta. Upo kama bangi tu. Ukikuzingua unaweza kujuta sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atari sanaNaujua sana ufuta. Upo kama bangi tu. Ukikuzingua unaweza kujuta sana.
Sio kuleta kilimo cha internet sio
Lakini si inategemea na locationWatu wanalima na wanapata kila mwaka, hakuna mkulima aliachwa na hasara kwenye ufuta
Ni vizuri basi ukaweka na ufafanuzi mzuri wa jinsi ya kulima, gharama zake zukoje kwa heka na unapata kilo ngapi kwa heka, itasaidia zaidi
OkMsome mdau mmoja hapo
Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau
KILIMO BORA CHA UFUTA Ufuta (sesamum indicum) ni zao linalolimwa kwa wingi katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma, Pwani, Morogoro, Dodoma, Tanga na ukanda wa chini katika mikoa ya Rukwa na Mbeya. Zao hili hulimwa kwa ajili ya chakula na biashara. Mbegu za zao hili huwa na wastani wa mafuta...www.jamiiforums.com
Kijiji gani mkuu?
Mikoa gani hili zao linakubali?
Wanaleta mambo ya vitunguu Ruaha Mbuyuni
Sijaelewa swali; lakini kama unachouliza ni ufuta; kiujumla sehemu kubwa ya mkoa wa Lindi ufuta unakubali! Lakini kama unaulizia opportunities za pale kijijini, kwangu inaweza kuwa ngumu kidogo kukujibu kwa sababu dah, siri yangu manake ni aibu!Kijijini kwenu ni wapi kuna fursa zipi na zipi?
Noma kwel
Yalishawahi kunikuta huko kibiti.Hilo zao lisikie hivyo hivyo Kuna watu wanajinyonga huko ni hatari unaweza lima ekari nane na ukapata ufuta kg 2
Yalishawahi kunikuta huko kibiti.
🙏🙏Huku nilipo ni kijiji cha Usevya watu wanalima na wanauza saaanaa
🙏🙏
Mkoa wa Katavi?
Yalishawahi kunikuta huko kibiti.
Ndo changamoto za kibiashara hizo! Anyway, baada ya kuchunguza uligundua tatizo lilikuwa nini?! Nakumbuka Mpwa wangu badala ya kumaliza chuo, yeye alirudi bush na kufuga kuku wa mayai! Batch ya kwanza, ilikuwa very successful, lakini batch ya pili, alichoma! WHY? Alinunua dawa ambazo zilikuwa zime-expire huku zikiwa zimebadilishwa label!Hilo zao lisikie hivyo hivyo Kuna watu wanajinyonga huko ni hatari unaweza lima ekari nane na ukapata ufuta kg 2
Acha hadithi kama inakulipa ongeza shamba usitushawishi kutupa helaNdo changamoto za kibiashara hizo! Anyway, baada ya kuchunguza uligundua tatizo lilikuwa nini?! Nakumbuka Mpwa wangu badala ya kumaliza chuo, yeye alirudi bush na kufuga kuku wa mayai! Batch ya kwanza, ilikuwa very successful, lakini batch ya pili, alichoma! WHY? Alinunua dawa ambazo zilikuwa zime-expire huku zikiwa zimebadilishwa label!
Umesoma lakini na kuelewa nilichoandika?!Acha hadithi kama inakulipa ongeza shamba usitushawishi kutupa hela