Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,703
- 8,481
Habari za asubuhi mabibi na Mabwana,
Naendelea na uchunguzi sehemu mbali mbali unaweza ukafanya nini kwenye vijiji vyetu vilivyobarikiwa na Mungu wakati sisi vijana woote tunataka tuishi mjini huku tukiendesha mikoko mikali
Ni hivi
Huku bwana ni wakati wa mavuno, aseee watu wanapiga pesaa balaaa, hiki kijiji masemi hayakauki si kubeba mpunga (gunia limepanda hadi 50,000), mahindi nayo yanabebwa si utani, yaani Wasukuma wana pesa chafu sahivi, ikifika jioni ni ngomaa tu mpaka asubuji wanaenda kunywa supu.
Ufuta, ufuta ufuta hapa ndio funga kazi, mazee unafatwa shambani kwako au store kwako wazee wanataka ufuta, kuna mazee mmoja yeye anauza 260k kwa gunia, ila wazee wamefika 255k amegoma na hataki maelezo, mzee anagunia zake 40 za 80kg kila moja.
Jamaa mmoja amejenga ghala la kuhifadhi ufuta asee, hakuna ujinga kama Bachelor degree kwa kweli, ndani ya wiki moja tu pesa anayotengeneza anajua Mungu tu
Ghala halikai na mzigo, ni lulu jamani zao hili.
Nawasilisha tu kwa wakuu humu, mwenye masikio na asikie.
Naendelea na uchunguzi sehemu mbali mbali unaweza ukafanya nini kwenye vijiji vyetu vilivyobarikiwa na Mungu wakati sisi vijana woote tunataka tuishi mjini huku tukiendesha mikoko mikali
Ni hivi
Huku bwana ni wakati wa mavuno, aseee watu wanapiga pesaa balaaa, hiki kijiji masemi hayakauki si kubeba mpunga (gunia limepanda hadi 50,000), mahindi nayo yanabebwa si utani, yaani Wasukuma wana pesa chafu sahivi, ikifika jioni ni ngomaa tu mpaka asubuji wanaenda kunywa supu.
Ufuta, ufuta ufuta hapa ndio funga kazi, mazee unafatwa shambani kwako au store kwako wazee wanataka ufuta, kuna mazee mmoja yeye anauza 260k kwa gunia, ila wazee wamefika 255k amegoma na hataki maelezo, mzee anagunia zake 40 za 80kg kila moja.
Jamaa mmoja amejenga ghala la kuhifadhi ufuta asee, hakuna ujinga kama Bachelor degree kwa kweli, ndani ya wiki moja tu pesa anayotengeneza anajua Mungu tu
Ghala halikai na mzigo, ni lulu jamani zao hili.
Nawasilisha tu kwa wakuu humu, mwenye masikio na asikie.