Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
...sawa mkuu!Km ukiilima kwa kufuata mstari uwezekano wa kutandika turubai upo....by the way hilo ni wazo langu linaweza kuwa sahihi au sio sahihi.
...sawa mkuu!Km ukiilima kwa kufuata mstari uwezekano wa kutandika turubai upo....by the way hilo ni wazo langu linaweza kuwa sahihi au sio sahihi.
Wapi huko kaka?Wewe ndio unaesema kilimo cha internet, Wasukuma huku hawajuu hata smartphone, wanatumia michina ile ya zamani yenye masauti makubwa
Hivi kila kilimo ni kilimo cha internet??
Mbarali pia kuna barabara ya kwenda madibira pia kuna watu wanalima na unakubali tu🤝🤝🤝🤝
Vip una idea na mkoa wa Mbeya kujihusisha na hili zao?
Naujua sana ufuta. Upo kama bangi tu. Ukikuzingua unaweza kujuta sana.