Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Assuming your assertion is true then impliedly, it is impossible for anyone to know that they do not know the real truthTo my understanding so far nobody knows the real truth.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh... Asante sana please endelea tafadhali, ni wengi wangetaka kufahamu zaidiMshana Jr
Bahati mbaya kabisa hii mada nimeiona late.
Lakini hakuna jambo gumu hapo
Soma Hapa chini:
Ufunuo wa Yohana 10:7
[7]isipokuwa katika siku za sauti ya malaika wa saba atakapokuwa tayari kupiga baragumu; hapo ndipo siri ya Mungu itakapotimizwa, kama alivyowahubiri watumishi wake hao manabii.
Yaani usipate tabu. Siri ya biblia nzima iko wazi na imewekwa wazi kwa mujibu wa andiko hilo hapo Juu. Ukitaka kuijua inabidi umpata huyo malaika wa Saba. Kulikuwa na makanisa saba kila kanisa lina mjumbe/malaika wake.
Ila Mungu aliahidi kuwa katika siku za sauti za malaika wa Saba atakapokuwa tayari kupiga Baragumu siri yooote ya Mungu utamalizika, itawekwa wazi.
Kwa hiyo shida siyo siri shida ni umpata huyo mjumbe basi utapata siri yote kuanzia mwanzo hadi ufunuo.
Siri iko wazi sasa ilifichwa ili ifunuliwe wakati huu kuanzia mwanzo hadi ufunuo
Natamani ningepata muda wa kutosha kuyaeleza yote haya lakini muda hautoshi ila ni halisia na ya kustaajabisha mnoo
Ni vema ukatupa msaada kuujua ukweli huoMshana Jr
Bahati mbaya kabisa hii mada nimeiona late.
Lakini hakuna jambo gumu hapo
Soma Hapa chini:
Ufunuo wa Yohana 10:7
[7]isipokuwa katika siku za sauti ya malaika wa saba atakapokuwa tayari kupiga baragumu; hapo ndipo siri ya Mungu itakapotimizwa, kama alivyowahubiri watumishi wake hao manabii.
Yaani usipate tabu. Siri ya biblia nzima iko wazi na imewekwa wazi kwa mujibu wa andiko hilo hapo Juu. Ukitaka kuijua inabidi umpata huyo malaika wa Saba. Kulikuwa na makanisa saba kila kanisa lina mjumbe/malaika wake.
Ila Mungu aliahidi kuwa katika siku za sauti za malaika wa Saba atakapokuwa tayari kupiga Baragumu siri yooote ya Mungu utamalizika, itawekwa wazi.
Kwa hiyo shida siyo siri shida ni umpata huyo mjumbe basi utapata siri yote kuanzia mwanzo hadi ufunuo.
Siri iko wazi sasa ilifichwa ili ifunuliwe wakati huu kuanzia mwanzo hadi ufunuo
Natamani ningepata muda wa kutosha kuyaeleza yote haya lakini muda hautoshi ila ni halisia na ya kustaajabisha mnoo
Nimejiuliza sana maana hata yule joka alikua na vichwa 7 na yule mnyama wa baharini alikua na vichwa 7
Mshana Jr
Bahati mbaya kabisa hii mada nimeiona late.
Lakini hakuna jambo gumu hapo
Soma Hapa chini:
Ufunuo wa Yohana 10:7
[7]isipokuwa katika siku za sauti ya malaika wa saba atakapokuwa tayari kupiga baragumu; hapo ndipo siri ya Mungu itakapotimizwa, kama alivyowahubiri watumishi wake hao manabii.
Yaani usipate tabu. Siri ya biblia nzima iko wazi na imewekwa wazi kwa mujibu wa andiko hilo hapo Juu. Ukitaka kuijua inabidi umpata huyo malaika wa Saba. Kulikuwa na makanisa saba kila kanisa lina mjumbe/malaika wake.
Ila Mungu aliahidi kuwa katika siku za sauti za malaika wa Saba atakapokuwa tayari kupiga Baragumu siri yooote ya Mungu utamalizika, itawekwa wazi.
Kwa hiyo shida siyo siri shida ni umpata huyo mjumbe basi utapata siri yote kuanzia mwanzo hadi ufunuo.
Siri iko wazi sasa ilifichwa ili ifunuliwe wakati huu kuanzia mwanzo hadi ufunuo
Natamani ningepata muda wa kutosha kuyaeleza yote haya lakini muda hautoshi ila ni halisia na ya kustaajabisha mnoo