Ufunuo wa nyakati za mwisho utimilifu wa dahari na kikomo cha muda

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,606
696,720
Je ni kweli kutakuwa na mwisho wa dunia?
Je utimilifu wa dahari ni upi? Ninini?
Je kuna kikomo cha wakati...
Kitabu cha ufunuo kina mambo mengi ambayo bado wengi hatujaweza kuyang'amua... Ni magumu na yako complicated sana
Kwa mujibu wa kitabu hicho mwisho wa dunia upo na utakuwa mbaya kwa baadhi yetu... Kuna habari za kutiwa muhuri nk
Kuna kitu kinaitwa utimilifu wa dahari...! Je ni upi huo? Kwamba kutakuwa hakuna mwendelezo wa chochote tena! Kila kitu kitakomea hapo.. Chochote ulichokuwa unafanya utasimama hapohapo na ndio kutakuwa na kikomo cha nyakati...

Kuna mkanganyiko mkubwa kuhusu nyakati zinazozungumziwa kwenye maandiko na nyakati tunazomaanisha sisi... Lakini hili tulipe muda na kuangalia milango michache ya kitabu cha ufunuo inasemaje... Kikubwa hapa ni hii namba SABA... Kuna siri kubwa sana hapa

Ufunuo wa siku za mwisho unaandikiwa kwenda makanisa SABA yaliyoko Asia.... Mbele ya roho SABA zinazozunguka kiti cha enzi..
Makanisa hayo SABA ni
Efeso
Smirna
Pergamo
Thiakira
Sard
Filadelfia
Laodikia
Hapo kuna vinara SABA vya taa za dhahabu na kuna mtu mwenye nyota SABA mkono wake wa kuume... Siri ya nyota hizo SABA na vinara SABA vya dhahabu ni hii hapa..
Nyota SABA ni malaika wa yale makanisa SABA na vinara SABA ni yale makanisa SABA.... Lakini pia huko kuna vitu 24 vinavyokizunguka kiti cha enzi chenye taa SABA zikiwaka ambazo ndio roho SABA za Mungu
Pembezoni mwake kuna wazee wanne wamejaa macho mbele na nyuma.. Wazee hao ni
. Mwenye uhai wa kwanza mfano wa Simba
. Mwenye uhai wa pili mfano wa nyama
. Mwenye uhai wa tatu mfano wa mwanadamu
. Mwenye uhai wa NNE mfano wa tai arukaye.
Katikati ya kiti cha enzi na wale wenye uhai wanne kuna mwanakondoo ana pembe SABA, macho SABA ambazo ni roho saba za Mungu...

Kuna mada tulijadili kuhusu Mbingu SABA na nguvu ya namba SABA... Na hata kwenye uumbaji tumeona ulimwengu uliumbwa kwa siku sita na siku ya SABA akapumzika!
Hapo juu nilijaribu kuchukua mistari yote kuanzia mlango wa kwanza hadi wa tano inayozungumzia namba SABA
Hii inatoa tafsiri gani? Ni kwamba namba SABA ndio namba ya ukamilifu na utimilifu na ndio iliyobeba siri ya uumbaji na mwisho wa utimilifu wa dahari....
Tumeona pia kumbe Mungu ana roho SABA kwahiyo kila alichokiumba kwa siku yake kilibeba roho moja.... Tutakuja kuona huko mbele jinsi makanisa SABA yanavyopewa maagizo na mapigo saba yatakayoiteketeza dunia... Lakini lile pigo la SABA likiitwa kama SIRI KUU
Kwahiyo basi kuna uwezekano mkubwa kabisa dunia itaishi kwa nyakati SABA na utakapotimia wakati wa SABA ndio utakuwa kikomo /kiama?

Nimeona nianze na hili la namba hii SABA kisha tutaendelea na uchambuzi wa kitabu hiki cha ufunuo katika mada zijazo....!

Making six years of being JF member!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna maajabu 7 duniani na kuna siku 7 kwa wiki. Pia kuna rangi saba za upinde wa mvua.

Wanasayansi wanasema kwamba 7 inawakilisha mashirika yasiyo ya ushirikiano. Hii inamaanisha kwamba namba haifai. Ni idadi kubwa na haiwezi kugawa kwa chochote ila yenyewe na moja. Kiasi cha wasimamizi hazizifikia 7 kama 6. 6 ni idadi kamili lakini saba sio.

Nambari saba imeonekana katika maandiko mengi ya kidini, hadithi na hadithi za kale. Mtazamo wake unaweza kuonekana katika Qurani na Agano la Kale. Pia ina uhusiano na Ugiriki, Babeli, na ustaarabu mwingine wa kale wa kale. Imeonekana pia katika maandiko ya Rig Veda.



Ushawishi wa nambari hii unaweza, kwa hiyo, kuondokana na nyakati za kale. Inaonekana kuwa na aina ya nguvu juu ya binadamu kupitia vyanzo mbalimbali. Nambari ya 7 ina viungo vingi kwenye shughuli za kiroho, tamaduni, na dini.



Ikiwa unafikiria kuhusu Numerology, namba ya 7 inaelezwa kuwa msomaji, msomaji wa kweli, na mfikiri. Nambari saba inaamini kuona zaidi ya uso na kuelewa kweli iliyofichwa. Nambari ya 7 inaelewa ukweli kwamba thamani ya uso sio kila kitu na kila kitu kina maana zaidi. Anajua kwamba kweli ikiwa mara nyingi hufichwa nyuma ya nadharia nyingi. Kiroho, idadi ya 7 ni takatifu na hubeba 'nguvu za nadharia'.

Hapa kuna mambo machache maarufu kuhusu idadi ya 7:



Upinde wa mvua una rangi saba.

Kuna mabara saba.

Katika dunia sayari kuna bahari saba.

Kila wiki ina siku saba.

Maua ya Lotus juu ya hatua ya Buddha ina pembe 7

Kuna hekima saba tu za kale au Saptarishi.

Katika mfumo wetu wa jua kuna sayari 7 za kimwili zilizo na ushawishi juu ya ubinadamu.

Katika Biblia utasoma juu ya Mihuri 7 na Makanisa 7.

Inaaminika kwamba ilichukua siku 7 kwa Mungu kuunda ulimwengu.

Unaweza pia kuzungumza juu ya roho ya Bwana na misaada 7.

Watu wa Israeli waliomboleza siku saba.

Kulingana na Mythology ya Misri kuna malaika 7.

Katika Yordani, Naamani mwenye ukoma aliponywa baada ya kupiga mbizi mara 7.

Wanapofunga fimbo, wanandoa huchukua hatua 7 kuzunguka moto ili kuunganisha.

Inaaminika kwamba kila mtu ana picha sita za kuangalia. Hiyo inakuja jumla ya 7. Hifadhi ya kuangalia inaweza kuwa popote duniani.

Wanasayansi waligundua miaka mingi iliyopita kwamba mabadiliko ya wanadamu hutokea kwa biolojia kwa miaka 7.

Tunaposema kuhusu maisha, tunazungumzia kuhusu maisha 7.

Nambari ya 7 inaashiria maisha ya milele Misri. Inamaanisha ukamilifu mkubwa au mzunguko kamili.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
kweli namba saba maana yake ni ukamilifu ila ilo la dunia kupitia katika nyakati saba ili utimilifu utokee sina uhakika nalo!
 
Kuna maajabu 7 duniani na kuna siku 7 kwa wiki. Pia kuna rangi saba za upinde wa mvua.

Wanasayansi wanasema kwamba 7 inawakilisha mashirika yasiyo ya ushirikiano. Hii inamaanisha kwamba namba haifai. Ni idadi kubwa na haiwezi kugawa kwa chochote ila yenyewe na moja. Kiasi cha wasimamizi hazizifikia 7 kama 6. 6 ni idadi kamili lakini saba sio.

Nambari saba imeonekana katika maandiko mengi ya kidini, hadithi na hadithi za kale. Mtazamo wake unaweza kuonekana katika Qurani na Agano la Kale. Pia ina uhusiano na Ugiriki, Babeli, na ustaarabu mwingine wa kale wa kale. Imeonekana pia katika maandiko ya Rig Veda.



Ushawishi wa nambari hii unaweza, kwa hiyo, kuondokana na nyakati za kale. Inaonekana kuwa na aina ya nguvu juu ya binadamu kupitia vyanzo mbalimbali. Nambari ya 7 ina viungo vingi kwenye shughuli za kiroho, tamaduni, na dini.



Ikiwa unafikiria kuhusu Numerology, namba ya 7 inaelezwa kuwa msomaji, msomaji wa kweli, na mfikiri. Nambari saba inaamini kuona zaidi ya uso na kuelewa kweli iliyofichwa. Nambari ya 7 inaelewa ukweli kwamba thamani ya uso sio kila kitu na kila kitu kina maana zaidi. Anajua kwamba kweli ikiwa mara nyingi hufichwa nyuma ya nadharia nyingi. Kiroho, idadi ya 7 ni takatifu na hubeba 'nguvu za nadharia'.

Hapa kuna mambo machache maarufu kuhusu idadi ya 7:



Upinde wa mvua una rangi saba.

Kuna mabara saba.

Katika dunia sayari kuna bahari saba.

Kila wiki ina siku saba.

Maua ya Lotus juu ya hatua ya Buddha ina pembe 7

Kuna hekima saba tu za kale au Saptarishi.

Katika mfumo wetu wa jua kuna sayari 7 za kimwili zilizo na ushawishi juu ya ubinadamu.

Katika Biblia utasoma juu ya Mihuri 7 na Makanisa 7.

Inaaminika kwamba ilichukua siku 7 kwa Mungu kuunda ulimwengu.

Unaweza pia kuzungumza juu ya roho ya Bwana na misaada 7.

Watu wa Israeli waliomboleza siku saba.

Kulingana na Mythology ya Misri kuna malaika 7.

Katika Yordani, Naamani mwenye ukoma aliponywa baada ya kupiga mbizi mara 7.

Wanapofunga fimbo, wanandoa huchukua hatua 7 kuzunguka moto ili kuunganisha.

Inaaminika kwamba kila mtu ana picha sita za kuangalia. Hiyo inakuja jumla ya 7. Hifadhi ya kuangalia inaweza kuwa popote duniani.

Wanasayansi waligundua miaka mingi iliyopita kwamba mabadiliko ya wanadamu hutokea kwa biolojia kwa miaka 7.

Tunaposema kuhusu maisha, tunazungumzia kuhusu maisha 7.

Nambari ya 7 inaashiria maisha ya milele Misri. Inamaanisha ukamilifu mkubwa au mzunguko kamili.



Sent using Jamii Forums mobile app
Unapowasikiliza wapingaji wa Bible kama huna elimu na ufahamu wa kutosha wanaweza kukushawishi kwa hoja zao... Lakini hawana kitu kabisa na wajuacho ni kidogo mvo katika kitabu hiki... Mambo kama haya uliyoandika hapa hata sidhani kama wana ufahamu nayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini kwa upande mwingine mimi niseme tu kuwa sio kweli kuwa namba 7 is more magical than other numbers...


Evey number is special since we live in a simulation built on code, every number is a code, there for 7 has its properties..

Every number has its specific code ambayo ina operate katika dimension flani..

There are also numbers kama 3,6 na 9 ambazo ndo zinabeba mfumo mzima wa divine matrix ambayo inaelezea theory nzima ya mfumo wa jua..

ukisoma vizuri Chaldean numerology vizuri utagundua kuwa kila number ni code maalumu inayohusisha concious transformation ya mwanadam katika higher centers of awareness...

Kila namba inagive out posibility ya kitu kiendelee kuwepo kwa dimension limit flan..

namba 7 inaashilia ukomo wa jambo flani..

namba 6 ,3 na 9 ndo namba zenye nguvu kubwa sana katika utendaji kazi wa universe but when the circle turns 7 it stops and start a new circle..

ni kama stopping codon katika mzunguko wa mfumo mzima wa maisha ya kila kiti...

Codes of life are asigned into numbers and signs..

Number operates when there is no sign..

Numbers are considered to be codes to open the gat ways of high centers which connects human mind with the universal conciousness hence enables human being synchronize with higher energy under Divine matrix ...

kwa hiyo numbee zina code maalumu inayoleta frequency flan ambayo kimsing ndo connection to higher world...

Ukiweza kutumia namba vizuri unaweza escape some body missions asigned to you..

Nakumbuka kuna mipindi nilikuwa napenda kusoma Chaldean numerology nikajikuta nimeimeza chaldean yote yani nikawa nahisi mfumo flani mwilini mwangu..

Yan ilifikia mahala kila tukio likitokea nikiangalia saa inasoma 22:22 au 13:31 au 17:17 au 03:30...

yan kila tukio lolote ambalo likitokea machoni mwangu nikitazama saa nakuta kuna numerology flani zimefuatana..

nilijaribu kumshirikisha mtu flan akaniambia you have to learn how to use those numbers always happen kila ukiangalia...
Another option alinipa niache kuconcetrate na Chaldea numerology kwani itanifanya nisynchronize na matukio yote mabaya kwenye kichwa changu...

......,....................




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapowasikiliza wapingaji wa Bible kama huna elimu na ufahamu wa kutosha wanaweza kukushawishi kwa hoja zao... Lakini hawana kitu kabisa na wajuacho ni kidogo mvo katika kitabu hiki... Mambo kama haya uliyoandika hapa hata sidhani kama wana ufahamu nayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga hoja.
Hua hawasomi biblia ili kufunilliwa yaliyomo humo baliili waje kupinga yaliyomo ndani ya biblia. Mwisho wa siku hoja zao hua nyepesi zikikutana na wataalam wa Theology.
 
kuna baadhi ya walimu wabiblia wanasema namba 3 ni namba inayosimamia mambo ya kiroho kwa sababu katika Uungu kuna nafsi tatu(Baba,Mwana na Roho Mtakatifu)

Namba 4 wanasema kwamba ni nambari ya kujumlishia mambo yote ya kidunia. katika Biblia twasikia habari za 'pembe nne' za dunia(Isa 11;12,Eze 7;2,37;9, Mt24;31)

Namba 7 wanasema ni hesabu iliyokamili maana Mungu alimaliza kazi yake yote siku ya 6 na alipumzika siku ya 7(mwanzo2;2) yaa

pia 3+4=7 (yaani imejumuisha mambo yote ya kiroho(3) na mambo yote ya kimwili pia(4). kwahiyo ni hesabu ya ukamilifu
 
kuna baadhi ya walimu wabiblia wanasema namba 3 ni namba inayosimamia mambo ya kiroho kwa sababu katika Uungu kuna nafsi tatu(Baba,Mwana na Roho Mtakatifu)

Namba 4 wanasema kwamba ni nambari ya kujumlishia mambo yote ya kidunia. katika Biblia twasikia habari za 'pembe nne' za dunia(Isa 11;12,Eze 7;2,37;9, Mt24;31)

Namba 7 wanasema ni hesabu iliyokamili maana Mungu alimaliza kazi yake yote siku ya 6 na alipumzika siku ya 7(mwanzo2;2) yaa

pia 3+4=7 (yaani imejumuisha mambo yote ya kiroho(3) na mambo yote ya kimwili pia(4). kwahiyo ni hesabu ya ukamilifu
CC : lifecoded

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

23 Reactions
Reply
Back
Top Bottom