johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,586
- 141,382
- Thread starter
- #121
Na siku ya maandamano Mbowe na Lowasa wakae mstari mbele siyo kusakizia wana wa wenzenu tu!Masikini Kimei anaburuzwa kwenye hasara na hawezi kupinga
Na siku ya maandamano Mbowe na Lowasa wakae mstari mbele siyo kusakizia wana wa wenzenu tu!Masikini Kimei anaburuzwa kwenye hasara na hawezi kupinga
Na siku ya maandamano Mbowe na Lowasa wakae mstari mbele siyo kusakizia wana wa wenzenu tu!
Nakushukuru kwa kutii sheria bila shuruti wahabarishe na wana Ufipa wenzio hapo Kinondoni!oyaa nenda kwenye page ya Mange ukampe huu ushauri ndiyo kaandaa haya maandamano.
NB:
Punguza jazba buku 7 imeshaingia mfukoni kwako huna haja ya kutokwa mapovu kama umemeza mnara wa sabuni.
Unaota wewe!Awamu yake ikiisha CRDB Chato itakuwa ya kwanza kufungwa.
Maandamano yana utaratibu wake siyo swala la kukurupuka tu!Hiyo amani inalindwaje! Hso waasisi wa taifa hili mbona waliendeleza hiyo amani na wananchi wakiwa na uhuru ambao unahusisha maandamano. Tuliandamana sana hata wakati wa chama kimoja; wakati mwingine tukiwapinga makaburu na mabeberu! Wakati mwingine amani inayolazimishwa ni amani isiyodumu.
Utaratibu na ufuatwe basi na siyo kuwa paranoid.Maandamano yana utaratibu wake siyo swala la kukurupuka tu!
Sawa, Mange na Chadema ni lazima walielewe hilo!Utaratibu na ufuatwe basi na siyo kuwa paranoid.
Wakati mwingine 'watoto' hufanya mzaa wakitarajia kabia reaction yako kama mzazi ambayo inaonyesha jinsi husivyoweza kuona mbali zaidi ya nguvu zako. Watu wa pembeni wazio jua wanabaki kushangaa jinsi unavyokuza kisichokuwepo!Sawa, Mange na Chadema ni lazima walielewe hilo!
Serikali haiamini katika mizaha!Wakati mwingine 'watoto' hufanya mzaa wakitarajia kabia reaction yako kama mzazi ambayo inaonyesha jinsi husivyoweza kuona mbali zaidi ya nguvu zako. Watu wa pembeni wazio jua wanabaki kushangaa jinsi unavyokuza kisichokuwepo!
Unashangaa kufungua tawi tuu!!!!? Jamaa anamaindigi mpka kufungua saloon za kawida ili apate sehemu ya kuropoka ushithole wetutawi la CRDB,Mkuu Wa nchi anazindua duuh,fedheha sana hii,tumerud miaka 60 nyuma!!!!
Acha unazi wewe. Chato wateja wa huduma za kibenki ni wengi sana.Lkn tu isije ikafika mahali CRDB wakakwambia tawi lao Chato halina wateja wa kutosha, hapo lazima watakutambua!
View attachment 709352
hiyo benki watafugia mbuzi tu kwa uchumi upi wa kuweka hela huko chattle? utawala wa kishambaAcha unazi wewe. Chato wateja wa huduma za kibenki ni wengi sana.
Lkn tu isije ikafika mahali CRDB wakakwambia tawi lao Chato halina wateja wa kutosha, hapo lazima watakujua we ni nani kama ulivowaambia waandamanaji leo...hongera sana Mr.President!
View attachment 709352
Ni suala la muda tu. Kila kitu kitakuwa wazi.Acha unazi wewe. Chato wateja wa huduma za kibenki ni wengi sana.