kamandamakini
Senior Member
- Feb 17, 2012
- 165
- 137
Pamoja na halingumu ya maisha, wananchi wa maeneo mbalimbali ya iringa mjini wameonesha kumuamini mbunge wao msigwa ambae pia ni mwenyekiti wa chama jimbo la iringa mjini baada ya kutoa michango ya pesa ambayo Msigwa amechangisha katika harambee hizo.
nawasilisha!
SOURCE:Mbunge Wako Iringa Mjini
nawasilisha!
SOURCE:Mbunge Wako Iringa Mjini
http://1.bp.blogspot.com/-OSZAoJ8HLv4/T0Zu9rb-knI/AAAAAAAAAUM/NKhzJBfF38g/s1600/IMG_2524.JPG
akihutubia umati ulio kuwa ukimsikiliza kwa makini.
moto wa msigwa waendele kupamba katika maeneo mbalimbali ya jimbo la iringa huku leo katika maeneo ya mivinjeni zaidi ya wanchama wapya 60 kujiunga na chadema, muendelezo huu wa ufunguzi wa matawi ya chadema wananchi wameweza changia zaidi ya sh laki mbili na nusu wakati leo pekee ni shilingi 80000 ileweza changwa na watu katika harambee hizo, huku akina mama wengi kujitokeza kujiunga na chadema nakuonekana kumuelewa zaidi Mhe Msigwa kwamba si mbunge wa kuwapa samaki bali ni mbunge wa kuwafundisha kuvua samaki.
wananchi wa mivinjeni wakichangia katika ufunguzi wa tawi.
akihutubia umati ulio kuwa ukimsikiliza kwa makini.
moto wa msigwa waendele kupamba katika maeneo mbalimbali ya jimbo la iringa huku leo katika maeneo ya mivinjeni zaidi ya wanchama wapya 60 kujiunga na chadema, muendelezo huu wa ufunguzi wa matawi ya chadema wananchi wameweza changia zaidi ya sh laki mbili na nusu wakati leo pekee ni shilingi 80000 ileweza changwa na watu katika harambee hizo, huku akina mama wengi kujitokeza kujiunga na chadema nakuonekana kumuelewa zaidi Mhe Msigwa kwamba si mbunge wa kuwapa samaki bali ni mbunge wa kuwafundisha kuvua samaki.
wananchi wa mivinjeni wakichangia katika ufunguzi wa tawi.