johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,445
CCM kata ya Bunju wanafungua kampeni zao katika viwanja vya shule ya Bunju.
Watu ni wengi mno baadhi wakiwa wamevalia sare za chama na wengine ni wananchi wa kawaida waliofunga biashara zao ili kuwasikiliza wagombea wa CCM wakinadi sera zao.
Nitawajuza zaidi yatakayojiri.
Maendeleo hayana vyama!
Watu ni wengi mno baadhi wakiwa wamevalia sare za chama na wengine ni wananchi wa kawaida waliofunga biashara zao ili kuwasikiliza wagombea wa CCM wakinadi sera zao.
Nitawajuza zaidi yatakayojiri.
Maendeleo hayana vyama!