Elections 2010 Ufunguzi wa Kampeni ya Chadema Jangwani 2010

madrassa al sul

Labda ulitaka kuona wagombea wakiwa hivi:

attachment.php


Au hivi:

8D6U9904.JPG
 
katika kuondoa dhana ya UDINI kwenye chama cha Chadema mgombea mwenza wa Chadema alivyalishwa Kanzu ili kuonekana ni chama cha wote.cha kujiuliza ni kuwa siku ya Slaa anatangaza nia ya kugombea watu wote walitokea.isipokuwa wabunge wa Kiislam walisusa baada ya kuona kuwa ni mpango wa maaskofu.kumpa shavu Slaa.Zitto KABWE,Muhonga na Alfi hawakutokea.

kitendo cha kuvalishwa kanzu mgombea yule mgombea ni danganya toto.cha ajabu ni mgombea yule akasema kuwa Chadema hakuna udini na yeye kapata chance ya ugombea.
akasema Chadema kuna usawa wa hali ya juu.swali jee kwenye viti maalum kuna mtu kapewa toka Zanzibar? jibu hakuna.

mtahaaha ona hatahmueleweki,basi twaapuuza vikaragosi wa Chama Cha Mafisadi
 
swali jee kwenye viti maalum kuna mtu kapewa toka Zanzibar? jibu hakuna.

Nakumbuka kutoka Zanzibar alipewa Bi. Maulida Anna Komu ila hakuwa Mzanzibari alikuwa anakaa Zanzibar tu ndiyo yale yale ya Nyerere akitubambikia viongozi kutoka bara akidai ni wazanzibari kwa kuwa tu wanakaa Zanzibar, jibu lako ni sahihi na chadema nao hakuna kiti maalumu alichopewa Mzanzibari.
 
katika kuondoa dhana ya UDINI kwenye chama cha Chadema mgombea mwenza wa Chadema alivyalishwa Kanzu ili kuonekana ni chama cha wote.cha kujiuliza ni kuwa siku ya Slaa anatangaza nia ya kugombea watu wote walitokea.isipokuwa wabunge wa Kiislam walisusa baada ya kuona kuwa ni mpango wa maaskofu.kumpa shavu Slaa.Zitto KABWE,Muhonga na Alfi hawakutokea.

kitendo cha kuvalishwa kanzu mgombea yule mgombea ni danganya toto.cha ajabu ni mgombea yule akasema kuwa Chadema hakuna udini na yeye kapata chance ya ugombea.
akasema Chadema kuna usawa wa hali ya juu.swali jee kwenye viti maalum kuna mtu kapewa toka Zanzibar? jibu hakuna.

Big head with no brains! huu ni upupu si kila mwenye ndevu yuko CUF! Ila ndevu ni muhimu CUF...kuvaa kanzu si lazima uwe muislam.
 
@Solomon:Jibu hoja.

Mkuu ugonjwa wa washabiki wa chadema (siyo wanachama) lazima uelewe, kuwa wabishi, wakaidi, hawataki kuambiwa ukweli wala kusikia, hawajuwi kuwashauri hata viongozi wao wanaowashabikia, wao ni kelele na fata mkumbo tu. Akitokea mtu akibaini kuna tatizo pahala akisema anaonekana adui, hajuwi kitu.

Nitatowa mfano hai humu humu JF, Rev. Kishoka, ni miongoni mwa wanachama wa kuheshimika na wenye mawazo mazuri ukisoma thread zake. Karibuni amekuja na thread kuhusu chadema ilivyokosea tangu awali kujipanga kiuchaguzi.

Alitoa hoja za maana hasa vipi chadema walipaswa wafanye kabla ya kukurupuka na kuingia katika uchaguzi wa mwaka huu.
Ajabu nilishangaa baadhi ya majibu ya matusi aliyopata kama vile kafanya dhambi gani sijuwi. Ndiyo nikapata picha kuwa washabiki wa chadema hasa humu JF kama mazuzu vile, kwao wao kila kitu kipo perfect na ukisema vinginevyo ni nongwa kwao.
 
Mkuu ugonjwa wa washabiki wa chadema (siyo wanachama) lazima uelewe, kuwa wabishi, wakaidi, hawataki kuambiwa ukweli wala kusikia, hawajuwi kuwashauri hata viongozi wao wanaowashabikia, wao ni kelele na fata mkumbo tu. Akitokea mtu akibaini kuna tatizo pahala akisema anaonekana adui, hajuwi kitu.

Nitatowa mfano hai humu humu JF, Rev. Kishoka, ni miongoni mwa wanachama wa kuheshimika na wenye mawazo mazuri ukisoma thread zake. Karibuni amekuja na thread kuhusu chadema ilivyokosea tangu awali kujipanga kiuchaguzi.

Alitoa hoja za maana hasa vipi chadema walipaswa wafanye kabla ya kukurupuka na kuingia katika uchaguzi wa mwaka huu.
Ajabu nilishangaa baadhi ya majibu ya matusi aliyopata kama vile kafanya dhambi gani sijuwi. Ndiyo nikapata picha kuwa washabiki wa chadema hasa humu JF kama mazuzu vile, kwao wao kila kitu kipo perfect na ukisema vinginevyo ni nongwa kwao.

Baadae inabidi watu wakaburudike au sio?

attachment.php
 
Nilitazama matangazo ya TBC1 ya moja kwa moja ya uzinduzi wa kampeni, na nilisikiliza hotuba ya Dk. Slaa.

Padri, Slaa HAKUWAZUNGUMZIA Ruge na THT, kwani hata kwa mtazamo wangu, hao ni watu WADOGO sana kuzungumziwa na mtu kama yeye. Ni wadogo kuliko piriton!

Slaa alizungumzia mipango ya CHADEMA itakayotekelezwa ndani ya siku 100 za urais wake. Ruge na THT wanaingia wapi kwenye agenda hiyo?

Nimekubaini, wewe ni MAMLUKI wa CCM, umekuja hapa kupandikiza maneno, kupoteza dira.

Nitaendelea KUWAUMBUA ninyi mamluki wote MPAKA MUONDOKE humu ndani. Mnachojua ni porojo, wala hamna HOJA!

Hatuna muda wa kuongea PUMBA! Tunataka hoja.

Kwa taarifa yako, Shibuda HAKUZUNGUMZIA uchumi!

Slaa HAHITAJI kukumbushwa na Shibuda. In fact, Shibuda aliwataka wananchi kumuunga mkono Slaa, na yeye pia alitangaza kumuunga mkono, lakini HAKUMKUMBUSHA juu ya uchumi. Hilo, Slaa HAHITAJI kukumbushwa na mtu yeyote!

NIPOTEZEE!

-> Mwana wa Haki

Padri, Nostradamus, na wengineo, nimewaongeza kwenye IGNORE LIST yangu!
 
Asante Quinine,

nimeedit post yangu ya kwanza ili kuweka hii picha kule.

Kina Padri na Nostradamus wao wameona kuvaa kanzu ndiyo hoja inayolisumbua taifa halafu wanataka eti tuijadili wana akili kweli dawa yao ni kuwapuuza tu.
 
Kuna watu wengine wanaboa humu. Hata hoja zisizokuwa na mshiko wanazishupalia kama washenga wa ajali, lol !
 
Back
Top Bottom