Solomon David
JF-Expert Member
- Mar 1, 2009
- 1,148
- 16
madrassa al sul
Labda ulitaka kuona wagombea wakiwa hivi:
Au hivi:
Labda ulitaka kuona wagombea wakiwa hivi:
Au hivi:
hoja gani? upuuzi dawa yake si kupuuzwa@Solomon:Jibu hoja.
katika kuondoa dhana ya UDINI kwenye chama cha Chadema mgombea mwenza wa Chadema alivyalishwa Kanzu ili kuonekana ni chama cha wote.cha kujiuliza ni kuwa siku ya Slaa anatangaza nia ya kugombea watu wote walitokea.isipokuwa wabunge wa Kiislam walisusa baada ya kuona kuwa ni mpango wa maaskofu.kumpa shavu Slaa.Zitto KABWE,Muhonga na Alfi hawakutokea.
kitendo cha kuvalishwa kanzu mgombea yule mgombea ni danganya toto.cha ajabu ni mgombea yule akasema kuwa Chadema hakuna udini na yeye kapata chance ya ugombea.
akasema Chadema kuna usawa wa hali ya juu.swali jee kwenye viti maalum kuna mtu kapewa toka Zanzibar? jibu hakuna.
swali jee kwenye viti maalum kuna mtu kapewa toka Zanzibar? jibu hakuna.
katika kuondoa dhana ya UDINI kwenye chama cha Chadema mgombea mwenza wa Chadema alivyalishwa Kanzu ili kuonekana ni chama cha wote.cha kujiuliza ni kuwa siku ya Slaa anatangaza nia ya kugombea watu wote walitokea.isipokuwa wabunge wa Kiislam walisusa baada ya kuona kuwa ni mpango wa maaskofu.kumpa shavu Slaa.Zitto KABWE,Muhonga na Alfi hawakutokea.
kitendo cha kuvalishwa kanzu mgombea yule mgombea ni danganya toto.cha ajabu ni mgombea yule akasema kuwa Chadema hakuna udini na yeye kapata chance ya ugombea.
akasema Chadema kuna usawa wa hali ya juu.swali jee kwenye viti maalum kuna mtu kapewa toka Zanzibar? jibu hakuna.
Kwani kuna hoja gani hapo ya kuvaa kanzu@Solomon:Jibu hoja.
@Solomon:Jibu hoja.
Mkuu ugonjwa wa washabiki wa chadema (siyo wanachama) lazima uelewe, kuwa wabishi, wakaidi, hawataki kuambiwa ukweli wala kusikia, hawajuwi kuwashauri hata viongozi wao wanaowashabikia, wao ni kelele na fata mkumbo tu. Akitokea mtu akibaini kuna tatizo pahala akisema anaonekana adui, hajuwi kitu.
Nitatowa mfano hai humu humu JF, Rev. Kishoka, ni miongoni mwa wanachama wa kuheshimika na wenye mawazo mazuri ukisoma thread zake. Karibuni amekuja na thread kuhusu chadema ilivyokosea tangu awali kujipanga kiuchaguzi.
Alitoa hoja za maana hasa vipi chadema walipaswa wafanye kabla ya kukurupuka na kuingia katika uchaguzi wa mwaka huu.
Ajabu nilishangaa baadhi ya majibu ya matusi aliyopata kama vile kafanya dhambi gani sijuwi. Ndiyo nikapata picha kuwa washabiki wa chadema hasa humu JF kama mazuzu vile, kwao wao kila kitu kipo perfect na ukisema vinginevyo ni nongwa kwao.
Asante Quinine,
nimeedit post yangu ya kwanza ili kuweka hii picha kule.
Mbona majina hayo yote ni ya dini fulani?
mbona hakuna wasanii wengine??